Roma afungiwa miezi sita kujihusisha na sanaa

Roma afungiwa miezi sita kujihusisha na sanaa

Haya lakin too late kafungie na SD CArd, YouTube, na kwenye platform mbalmbal ni vizur maudhui mkaya pitia b4
 
Atasamehewa soon, hii adhabu imempa promo kubwa.
 
Watafunga na ya dudu baya....

Unaitwa nishasema sasa ww unasemajee

Au watamwambia jina lake c la kisanaa dudu baya... Unalijua dudu nyie alafu baya

Hawa ndo mawaziri wetu wanatafsiri mambo ki Zwazwa
 
Juliana ana matatizo ya akili. Sio juu ya msanii kurekebisha wimbo. Kurekebisha wimbo ni kuingia tena studio. Je, gharama za studio atalipa yeye waziri au BaSaTa!? Huu ni upumbavu. Kama msanii ameona haina maana kuurudia upya si anaachana nao tu, tatizo liko wapi!? Radio/ TV stations ndio ziadhibiwe iwapo zitaucheza.
 
Pole sana braza kwa rungu lilokupata safari hii tena licha ya mateso makali uloyapata katika kuvuka milima,mabonde na jangwa kuelekea Zimbabwe.
Braza tunajua kuwa safari yako ilitokana na wewe kuchimbwa mikwara kidogo,ila hayo tuyaache.
Braza nakupa pole sana kutokana na adhabu ulopewa baada kutoa kale kawa kawimbo ka "SITAKI KIBAXXXX MWANAUME MASHINE"
Sasa braza inakuaje rungu limekuangukia peke yako,kwani yule jamaa mwingine na kale kadada wao walifutika kwenye wimbo au ndo nanilii bado inaendelea ?
pia braza mbona safari yako ya Zimbabwe imekubadili sana hadi unaandika mambo ya ajabu ajabu sana,kwani walikulisha nini kule ?
labda nikushauri tu,hebu rudia tu katika tungo zako za zamani ila zipangilie vyema,siuna ona mjomba sizo za nje anavyofanya yani anagawa dozi na wala hata hawamsumbui,na wewe fanya tu kama yeye ili ubaki kuwa rapa na baba wa familia.
hivi vinyimbo yani kama vile vinakushusha CV yako kimtindo bila we kujijua
 
Nilikuja speed mzee nikjua ulienda Zimbabwe kusaka na sasa umevuna mavuno mfukoni unarudi bongo na kutusimulia vijana wenzio mazao uliyovuna katika mishe za utafutaji.
Hahaaa
 
Nikuhonge mali
Basi zidisha utundu
Nipe michezo ya hatari
Ninyonye mpaka.......
Roma romaaaa
Mixksa kabali....

Na ninapolala chali ndo wananitoka
wazunguuuu

Kabiti katamu sanaaaa sema tumashairi twake sasa apa ban lazma imuhusu
 
Back
Top Bottom