Pilato 007
JF-Expert Member
- Sep 6, 2017
- 447
- 470
Mkuu umewaza mbali sana [emoji23] [emoji23]Wafungie na wimbo wa Taifa, maana yale maneno wabariki na viongozi wake, viongozi wenyewe vilaza tupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umewaza mbali sana [emoji23] [emoji23]Wafungie na wimbo wa Taifa, maana yale maneno wabariki na viongozi wake, viongozi wenyewe vilaza tupu.
Kwanini hawakukagua kabla wakajiridhisha ndipo Wadanganyika tuanze kusizikia nyimbo hzo ila wakafanya kinyume chake? Trump is always right shithole country.Unafurahia matusi badala ya mziki?
Natamani ningeuliza mimi hili swali[emoji122] [emoji122] [emoji122]Mkulu yeye ni mzalendo?
Yaani Hata huyo manfongo keshamaliza pension yakehiyo hakunaga ushemaji imehit weeh sasa hivi imepotea ndio wanakumbuka kuifungia....basata bwana
Kama umeisikiliza hiyo nyimbo sema hilo tusiUnafurahia matusi badala ya mziki?
Anzisha hayo machafuko basi. Sio unakaa unapayuka payuka hovyo mtandaoni kila siku; haisaidii kitu.KUTII KIVIPI? yeye ana studio ya matangazo tuseme bado anaucheza huo wimbo? Kama hana hela ya kufanya hayo marekebisho akaamua aachane na huo wimbo sabababu ishafungiwa kuna kosa hapo?... Aisee hii serikali ya sasa inahamasisha machafuko aki.
Unafurahia matusi badala ya mziki?
Ney kaitikia wito na kakiri na kuaidi kulekebsha makosa.Kumbe walikuwa wanamtafuta yeye aisee sasa amebaki nani Nay na Nikki mbishi?
LeoLini hebu jazia jazia
Akiongea na waandishi wa habari Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Juliana Shonza amesema kuwa amechukua maamuzi hayo kutokana na kumwita msanii huyo ili aweze kufika kwenye mkutano huo lakini hakuweza kufika wala hakutoa taarifa yoyote ile.Msanii Roma anaeunda kundi la ROSTAM amefungiwa kutokujihusisha na sanaa kwa muda wa miezi sita ikiwa ni kama adhabu ya yeye kutokutii agizo la baraza la sanaa tanzania (BASATA) la kufungiwa kwa nyimbo yake ya KIBAMIA akiwa na Stamina wakimshirikisha Maua Sama!
Nyimbo hio ilifungiwa mapema jana tarehe 28/02 na kumtaka ROMA kubadilisha maudhui ya nyimbo hio.....!Nyimbo zingine zilizofungiwa ni pamoja na
1.Hallelujah ya Diamond.
2.Waka ya Diamond.
3.Hakuna Ushemeji ya Man Fongo.
4.Pale kati ya Nay.
5.Chura ya Snura
6.Nampa Papa ya Giggy money
7.Bongo bahati mbaya ya Young Dee na zingine 7!!!