Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona kwa Millard wanamuita ibrahimu mussaNimeona kwenye list yao ya jana,wameifungia nyimbo ya kibamia ya Abelnago aka Roma mkatoliki, mmhhh sizani kama BASATA, wanasikiliza na kuwafahamu wasanii wa bongo fleva
Mkuuu ushapigana nae??Roma afungiwe hata miaka yote tu
Just like an acolyteUnafurahia matusi badala ya mziki?
na wanazidi kuchafua kile kipengele cha amani na umoja... nakazalikaWafungie na wimbo wa Taifa, maana yale maneno wabariki na viongozi wake, viongozi wenyewe vilaza tupu.
Sio issue.Hakuna alie salama nimeelewa ila pale pa - Fidq kuzaa???
Mkuu achana na hawa mazuzu , muda wao unakaribiaNtajie tusi kwenye yale mashairi ni lip?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mambo mengine yanatia kichefuchefuhiyo hakunaga ushemaji imehit weeh sasa hivi imepotea ndio wanakumbuka kuifungia....basata bwana
Bado wao kwa wao , acha wacheke tu saivimlianza na wanasiasa wa upinzani, mkaja kwa vyombo vya habari, makenda kwa nyumba za ibada, mkafungia bunge live, mkafunga mikutano ya siasa,
leo ni zamu ya wasanii.
serikali ya wamu ya 5 ni katili kwa kila mtanzania.
Mkulu alisema kusema hivo ni KUKOSA UZALENDO.Kwani kuzaliwa Bongo sio Bahati mbaya?
tusi ni ww unavyotafsiriUnafurahia matusi badala ya mziki?
Mkulu yeye ni mzalendo?Mkulu alisema kusema hivo ni KUKOSA UZALENDO.
Duu bado tu wanaye... Kwani kule haikutosha?Msanii Roma anaeunda kundi la ROSTAM amefungiwa kutokujihusisha na sanaa kwa muda wa miezi sita ikiwa ni kama adhabu ya yeye kutokutii agizo la baraza la sanaa tanzania (BASATA) la kufungiwa kwa nyimbo yake ya KIBAMIA akiwa na Stamina wakimshirikisha Maua Sama!
Nyimbo hio ilifungiwa mapema jana tarehe 28/02 na kumtaka ROMA kubadilisha maudhui ya nyimbo hio.....!Nyimbo zingine zilizofungiwa ni pamoja na
1.Hallelujah ya Diamond.
2.Waka ya Diamond.
3.Hakuna Ushemeji ya Man Fongo.
4.Pale kati ya Nay.
5.Chura ya Snura
6.Nampa Papa ya Giggy money
7.Bongo bahati mbaya ya Young Dee na zingine 7!!!