Roma afungiwa miezi sita kujihusisha na sanaa

Roma afungiwa miezi sita kujihusisha na sanaa

Wangetofautisha kati ya video na audio, video ikiwa mbaya haimaanishi ufungie na audio
 
Ule wimbo wa halelujah uliwakwaza wengi sana...
 
KUTII KIVIPI? yeye ana studio ya matangazo tuseme bado anaucheza huo wimbo? Kama hana hela ya kufanya hayo marekebisho akaamua aachane na huo wimbo sabababu ishafungiwa kuna kosa hapo?... Aisee hii serikali ya sasa inahamasisha machafuko aki.
Ndio hapo sasa, kwani walimpa pesa ya kubadilisha hayo maudhui? Na kwani ni lazima? Kama walifungia usichezwe hiyo inatosha, ilibidi wawabane wenye vyombo vya habari, sio kumuadhibu yeye..
 
Mambo ya Kikiki! Hizi sanaa(Muziki) kabla hazijaimbwa sizinapitiwa na Basata au? . Hizi nyimbo sizimekuwa hewani muda wa karibu nusu mwaka??
 
Mtoa post hata ww haupo salama. Siku yako ikifika FidQ anazaa na ww tu!
 
Ofisi inaendeshwa kwa simu? Huo wito wangempa kwa barua...akija sema hakua na simu ila alikua amejifungia stdio watabisha??
Nilisafiri nikaacha simu nyumban" keshashinda kesi ...hiv hawajui ofisi zao zilipo wawe wanapeleka barua za wito?
 
Back
Top Bottom