Roma amtolea uvivu Nikki Mbishi, Fanya muziki acha majungu badilika muda unaenda haurudi nyuma

true mkuu,

Ila ukifanya kitu kwa ajili yako bila kutegemea someday kuwa huyo mtu atakufanyia vivyo hivyo inasaidia sana

kingine ni kujiepusha na watu ambao unaona kabisa ni users na toxic. Quality over quantity [emoji110][emoji110]
Kuwaepuka ni ngumu kwa sababu wahenga wanakwambia kikulacho kinguoni mwako.
 
show gani Roma amewahi kufanya na akajaza peke ake?
 
wewe ni introvert bila shaka.... wanasema shukrani ya punda mateke.vipi hao uliowasaidia. hawajawahi kukupiga mateke?
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nakuona introvert
 



Niki afanye hayo ya miaka ile acha Uchawi wa mjini kweupe watu hawako hivi sasa.
Kama ameshindwa aje tulime dengu huku tulipo.
 
true mkuu,

Ila ukifanya kitu kwa ajili yako bila kutegemea someday kuwa huyo mtu atakufanyia vivyo hivyo inasaidia sana

kingine ni kujiepusha na watu ambao unaona kabisa ni users na toxic. Quality over quantity [emoji110][emoji110]
You are right 100%
 
tabia gani??? nasikia ni mzee wa tungi sana
tungi bishoo dharau...kila anachokitaka anataka atumie jina la nick mbishi kukipata akitaka demu anamtaka kwa lazima yaani kila kitu yeye apewe priority ..of coz nilimuona mshambamshamba fulani
 
Yes, kwa matajiri ni kanuni ya #UnyamaUnyamaTu.
 
Asingekuwa analalamika, analalamikia hip hop artists wenye subscribers wengi na wanaoshangiliwa sana kwenye live performances kwa sababu gani.
Kaambiwa kujifanya mkali ukiwa ghetto unaandika mistari lakini ukipanda kwenye stage wananzengo wanakupigia kelele ushuke apande mwingine you gotta now you lacking something hivyo ajifunze, kufanikiwa ni ku attract mashabiki. Most of his loyal fans ni wale wanaofurahia ile ya yake ya kwamba mgumu na anakuwa kakolea ganja all time, you some of us passed that ganja era hivyo naelewa wanaomkubali kwa hilo lakini kikubwa ajue ile ni profession hivyo lazima aifanye kibiashara kuliko kuchukia wenye mashabiki wengi.
 

Rafiki yako gani wa JF aliyefariki last year?
 
Amempa shule tosha sana ,nikki mbishi aufanyie kazi ushauri wa roma utamsaidia sana.
Yule jamaa hashauriki hivi juzi hapo nay wa mitego alihojiwa ataje rappers wakali lakini pamoja na utofauti wao ye na nikki bado mchizi alimtaja nikki mbishi kua ni moja ya wasanii wazuri na anao wakubali japo hailewi ni kwanini mchizi ana chuki na yeye

Kuna moja ya interview zake nikki mbishi alisema enzi za kikwete kulitolewa list ya wasanii walioitwa ikulu na kikwete kulikua na mchongo, lakini waliopewa hiyo list waliambiwa wawashirikishe na wenzao wawape taarifa wajumuike wote siku hiyo

Inavyodaiwa ni kua roma ni miongoni mwa watu walikua na hiyo list na mara ya mwisho roma walionan na nikki siku mbili kabla ya hiyo event na mchizi akala buyu hakutaka kumuambia kua nawewe umealikwa

So baada ya hiyo event kupita ndio ikaja kugundulika kumbe walikua wasanii wengi tu walialikwa ila machizi walialikana kimatabaka ili mradi wao wavimbe, hiyo ndo sababu nayo ijua mimi ya nikki kumdiss roma

Ila hoja ya kusema roma ka trend kwasababu ya kutekwa haijakaa vizuri, miaka ya 2011 roma alitrend sana kuliko hata saizi tena katika season ambayo mitandao ya kijamii haijawa popular
 

Mbishi is a know-it-all kinda guy. Namjua tangu akiwa MUST Mbeya kabla hajaanza kufoka foka na kubatizwa jina la mbishi.

Kashawadis hadi wanae kabisa akina Wakazi, Mawenge nk although nadhani they're in good terms as of now ila sababu mbishi yupo dakika mbili mbele hachelewi kuwavuruga tena.

Jamaa ana stress sana, he's an elite rapper no doubt, a very smart guy to say the least ila mambo hayaendi vile atakavyo inampa msongo wa mawazo sana, badala apambane na hali yake anaanza kuchawia wenzake. Huu ni usela mavi.
 
sio lazma ujaze ukumbi , ukishakuwa na fan base kubwa kama mainstream artist lazma kuna faida unapata kama influencer, kuuza muziki online na show ndogo ndogo hazikupigi chenga
wewe ni msanii....mmekutana wasanii kumi mkaingiza watu 2000 hii haina maana kwamba hao watu 2000 wamekuja kukuangalia wewe.nguvu ya msanii inapimwa na show yake mwenyewe na sio za fiesta
 
same way homie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…