Roma amtolea uvivu Nikki Mbishi, Fanya muziki acha majungu badilika muda unaenda haurudi nyuma

Roma amtolea uvivu Nikki Mbishi, Fanya muziki acha majungu badilika muda unaenda haurudi nyuma

Muziki ni burudani, Wasanii ni wengi na soko ni kubwa sana tu…. hizo mambo za kutaka au kulinganisha nani bora kuliko nani ni UPUUZI MTUPU.
 
Ukitaka kutunza misingi sijui michano baki kilingeni, ila mtaani tunataka kupelekeana moto na amapiano…. magodoro tumeloweka.

Nina hamu ya kutoooo……too too… dadadeeki![emoji23]
 
Yule jamaa hashauriki hivi juzi hapo nay wa mitego alihojiwa ataje rappers wakali lakini pamoja na utofauti wao ye na nikki bado mchizi alimtaja nikki mbishi kua ni moja ya wasanii wazuri na anao wakubali japo hailewi ni kwanini mchizi ana chuki na yeye

Kuna moja ya interview zake nikki mbishi alisema enzi za kikwete kulitolewa list ya wasanii walioitwa ikulu na kikwete kulikua na mchongo, lakini waliopewa hiyo list waliambiwa wawashirikishe na wenzao wawape taarifa wajumuike wote siku hiyo

Inavyodaiwa ni kua roma ni miongoni mwa watu walikua na hiyo list na mara ya mwisho roma walionan na nikki siku mbili kabla ya hiyo event na mchizi akala buyu hakutaka kumuambia kua nawewe umealikwa

So baada ya hiyo event kupita ndio ikaja kugundulika kumbe walikua wasanii wengi tu walialikwa ila machizi walialikana kimatabaka ili mradi wao wavimbe, hiyo ndo sababu nayo ijua mimi ya nikki kumdiss roma

Ila hoja ya kusema roma ka trend kwasababu ya kutekwa haijakaa vizuri, miaka ya 2011 roma alitrend sana kuliko hata saizi tena katika season ambayo mitandao ya kijamii haijawa popular
ila pia tuwe wakweli
Roma ni snitch sana anapenda kuongelewa yeye tu basi.
Walipotekwa yeye moni na kina Bin Laden, akawaambia wakae kimya wasiseme kitu.
Cha ajabu yeye akaitisha press na kuongelea yote ni nini kama sio usnitch huo?
Ndio chanzo cha kuzinguana na moni na Bin Laden lakini laden na Roma zinaiva saivi
 
ila pia tuwe wakweli
Roma ni snitch sana anapenda kuongelewa yeye tu basi.
Walipotekwa yeye moni na kina Bin Laden, akawaambia wakae kimya wasiseme kitu.
Cha ajabu yeye akaitisha press na kuongelea yote ni nini kama sio usnitch huo?
Ndio chanzo cha kuzinguana na moni na Bin Laden lakini laden na Roma zinaiva saivi
Yap naye hayo ndo mapungufu yake hata kiharakati jamaa kamtenga moni, naskia moni alizinguana naye baada ya wao kutekwa
 
Yap naye hayo ndo mapungufu yake hata kiharakati jamaa kamtenga moni, naskia moni alizinguana naye baada ya wao kutekwa
Ndio uone usnitch wake Roma japo nikki nae ni hot tempered lakini Roma nae pia ana ubinafsi.. Kila mtu ana mapungufu yake hata moni alisema hilo wazi.

Sipo upande wa yoyote
 
yani akili yangu yote nikawa najua anaesemwa humu ni nikki wa pili kumbe ni hilo vuta bangi
 
Nikki hajui kitu hip hop sio kuchezea chezea maneno tu hip hop ni art, inshort end product ya hip hop ni good music sio unatoa nyimbo mbaya alafu unafosi watu waipende.

Akasikilize hit em up ya pac ni diss track lakini ni sound nzuri.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mbishi kivipi?? anapiga watu au ana ubabe wa kishamba Kama jiwe?
Hapana sio ubishi wa kupiga watu,ni ule ubishi wa ujuaji,huwezi kumshauri kitu akafata ushauri wako. Anaamini katika maamuzi yake
 
Naskia hata hiyo Diploma ya computer hakufanikiwa kuipata hapo MUST,ni kweli?
Ni kweli,tulikua nae mwaka mmoja lakini katika idara tofauti,lakin ilibidi arudie mwaka mmoja nyuma kutokana na ubishi wake,pmj na kurudia hakuweza kuchukua diploma
 
Roma mashabiki wake wanweza kununua kazi zake? Roma hata hata album wala mixtape.Nikki mbishk album yake ya Sam Magoli mbona kauza mkwanja mrefu tu
Mbona analialia mitandaoni kuwa Roma anamzidi popularity kwa sababu ya kiki ya kutekwa.
 
Back
Top Bottom