Roma amtolea uvivu Nikki Mbishi, Fanya muziki acha majungu badilika muda unaenda haurudi nyuma

Roma amtolea uvivu Nikki Mbishi, Fanya muziki acha majungu badilika muda unaenda haurudi nyuma

Kifupi Nikki Mbishi ana stress
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
nick ana vijimambo ya kishamba nilimkuta chuo vijitabia vyake vya kidwanzi sana.. na akafeli
MUST, Mi nimekaa nae room moja pale namuelewa vizuri yule ni very stubborn person yaan ni mbish kweri kweri
 
wewe ni msanii....mmekutana wasanii kumi mkaingiza watu 2000 hii haina maana kwamba hao watu 2000 wamekuja kukuangalia wewe.nguvu ya msanii inapimwa na show yake mwenyewe na sio za fiesta
Hasira na chuki nyingi zilizosababisha NIKKI akaropoka aliyoropoka imetokana na hiyo list hapo chini, yaani kuonekana rap artist aliyemo kwenye top ten ni ROMA peke yake hilo jambo halikumfurahisha ndiyo maana akadai kuwa popularity ya ROMA imesababishwa na 'kiki' ya kutekwa na si muziki wake.
IMG_20210802_224011.jpg
 
Sanaa ina pande nyingi unazotakiwa kuzitimiza ili ufanikiwe, Nikki ni mzuri kwenye kuandika kuliko wasanii wengi na hapa ndipo panapompa kichwa, ila ni m'bovu sana jukwaani katika kuiteka hadhira na hapa ndio penye pesa na wengi wanamzidi kama kina Nay wa Mitego, Roma, Stamina n.k na ndipo chuki inapochukua nafasi yake.
Lakini pia ulimwengu wa leo hata uwe na kipawa gani ila ili ufanikiwe connection ni muhimu, na nidhamu ndiyo nguzo...ukijifanya mjuaji na kutukana kila mtu unaachwa.
 
Hasira na chuki nyingi zilizosababisha NIKKI akaropoka aliyoropoka imetokana na hiyo list hapo chini, yaani kuonekana rap artist aliyemo kwenye top ten ni ROMA peke yake hilo jambo halikumfurahisha ndiyo maana akadai kuwa popularity ya ROMA imesababishwa na 'kiki' ya kutekwa na si muziki wake. View attachment 1883964
ni kweli lakini popularity ya roma imeongezwa na kutekwa.wimbo wa kwanza wa roma kuwa na viewers wengi ni ule alioutoa baada ya kutekwa
 
Sanaa ina pande nyingi unazotakiwa kuzitimiza ili ufanikiwe, Nikki ni mzuri kwenye kuandika kuliko wasanii wengi na hapa ndipo panapompa kichwa, ila ni m'bovu sana jukwaani katika kuiteka hadhira na hapa ndio penye pesa na wengi wanamzidi kama kina Nay wa Mitego, Roma, Stamina n.k na ndipo chuki inapochukua nafasi yake.
Lakini pia ulimwengu wa leo hata uwe na kipawa gani ila ili ufanikiwe connection ni muhimu, na nidhamu ndiyo nguzo...ukijifanya mjuaji na kutukana kila mtu unaachwa.
Nimewahi kumuona pale kilingeni anapafomu yupo vizuri sana.ngoja nirudie kuziangalia show alizofanya wasafi then ntatoa comment
 
Nikk wakati wake unaelekea ukingoni na fans wake wengi ni hustlers hawana pesa ya kununua kazi zake hivyo anakufa taratibu kimziki ndio maana anatapatapa.

Halafu jamaa ni mswahili sana hawezi kutoa nyimbo bila kumdisi msaniii
 
Nikk wakati wake unaelekea ukingoni na fans wake wengi ni hustlers hawana pesa ya kununua kazi zake hivyo anakufa taratibu kimziki ndio maana anatapatapa.

Halafu jamaa ni mswahili sana hawezi kutoa nyimbo bila kumdisi msaniii
Roma mashabiki wake wanweza kununua kazi zake? Roma hata hata album wala mixtape.Nikki mbishk album yake ya Sam Magoli mbona kauza mkwanja mrefu tu
 
Back
Top Bottom