Roma bado inatawala dunia

Roma bado inatawala dunia

Siku sahihi ya ibada ni Jumamosi.
Mwenyewe bado ni mroma lakini ukweli mchungu.
 
Ukweli gani..? Aliyekuambia Wakristo wanasali Jumamosi ni nani...?

Kumbuka Wasabato siyo Wakristo
Aliyekwambia jumapili ni siku ya kusali ni nan?
Wapi kwenye biblia imeandikwa?
Kwanini tunaweka sanamu kanisani?
Je zile picha zilizo kanisani ni za yesu? sura halisi ya yesu imehifadhiwa wapi?
Kwanii kwenye Salamu.Maria tunakiri kuwa Ni mama wa Mungu
Je mungu anazaliwa?
Ikiwa yeye ni mungu kwanin wakati anabatizwa na Yohane sauti inasikika ikitoka juu ikisema huyu ndiye mwanangu mpendwa nliye pendezwa naye...
Je huoni yupo mwenye mamlaka mkuu zaidi yake?
Je isingefaa iwe Mama wa mwana wa Mungu?
 
Roma bado inatawala dunia: ingawa ilianguka mwaka 476 AD ila athari zake zilikula dunia yote, ndo maana primary tulisoma no. za Kirumi na hata saa na Kalenda tunatumia za Kirumi na mataifa mengi yana sheria za Roma mpaka lugha zao tunazitumia. Roma haikuanguka kama inavyosemwa bali ilisambaratika na kuwa nchi za Ulaya ambazo zilikuja kuwa zenye nguvu na kutawala karibu dunia yote na kusambaza utamaduni wao. Mfano Uingereza imetawala bara Asia mpaka bara Arabu, hata ufalme wa Yordan, Saudia, Qatar zimewekwa na Uingereza. Kwaiyo ukisikia jumuiya ya madola tambua hizo ni nchi zilizotawaliwa na the greater Britain. Na Ufaransa, Spain, Portugal nazo hivo hivo.
Ulaya(Roma ya zamani) bado ina mkono mkubwa juu ya nchi za dunia hii. Ndo maana wameweka mahakama yenye sheria za Roma(The hague) ambayo daima ikiwahukumu viongozi wa nchi maskini, utake usitake ukiitwa hapo utaenda tu, na ukibisha utatolewa kwa bunduki.
Nabii Daniel alisema hivi juu ya Roma.
23 Akanena hivi, Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia, utakaokuwa mbali na falme zile zote, nao utakula dunia yote, na kuikanyaga, na kuivunja vipande vipande. Daniel 7
Huu utawala wa Roma utadumu mpk Kuja kwa Yesu. Roma imeathiri dunia kisiasa, kidini, kisheria na kitamaduni na nchi yeyote inayokataa hoja za Roma lazima iangamizwe. Sadamu, Gadafi waliangamizwa sababu walipingana na utawala wa Roma, na sahivi Assad anakinywea kisha # Iran itapotezwa. Nabii aliona jinsi wana wa Ishmael(waarabu) wanavyopinduliwa na Roma maana hao waliifukuza Roma karne ya 7 na Roma ikajirudi tena kwa namna ya kuwaweka vibaraka wao ktk falme za Kiarabu kama ufalme wa Saudia, Qatari, UEA na Jordan hao wote ni puppet wa Roma. Na wote watakao pinga watafanyiwa hivi:-
Naye ataunyosha mkono wake juu ya nchi hizo, hata na nchi ya Misri haitaokoka. Daniel 11:42
Utawala wa Roma utaziangusha nchi zote pinzani zikiwemo nchi za Kiarabu na dunia itamstajabiwa mnyama yule(ufalme huo) na kuufata. Ufunuo 13:3 NIV
ROMA itatengeneza utawala wa dini na kulazimisha dunia yote kufata dini hiyo na watakao pinga watauawa.
Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe. Ufunuo 13:5
Roma haitaangushwa na wanadamu......
......wakisema, Ni nani afananaye na mnyama huyu? Tena ni nani awezaye kufanya vita naye? Ufunuo 13:4
Roma itaangushwa na Mungu tu.
Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemhukumu ni mwenye nguvu. Ufunuo 18:8
Take care usije anguka na Roma

a1175df048e7c5de0a0fe3db44ef801f.jpg
Hebu ntasoma nikitulia
 
Kaka nashukuru sana kwa maelezo mazuri, ila kwa kuongezea ni kwamba.

Kumbuka biblia imesema kuwa rumi ya kimwili haiondoki kabisa. Ni kweli rumi yenyewe iliyokuwepo mwanzo iligawanyika Mara kumi, na mpaka sasa hayo mataifa yaliyounda rumi ya kale yapo kasoro mawili yaliyoharibiwa kabisa kwa maksudi na utawala wa papa.

Na tunaambiwa katika biblia kwamba kuna rumi nyingine ya kiroho, ambayo ilikuwa imepata jeraha baadae na likapona ( huo ni upapa) kumbuka upapa ulikuwa umeshaondolewa hapo mwanzo katika mapinduzi ya ufaransa, papa aliuwawa na mamlaka yake yakaondolewa kabisa.

Lakini tunakuja kuona baadae mfalme mwingine wa ufaransa anakuja kumrejeshea tena mamalaka na kupewa tena kipande cha nchi( Vatican) kwa hiyo yule mnyama mwenye kunena kakufuru aliyekuwa amepata jeraha la mauti hatimaye jeraha hilo likapona akaendelea kunena maneno makuu ya makufuru na mataifa yote wakampa nguvu zao, akapata kazidi kutawala na kunena makufuru.

Kumbuka papa anaposema kwamba hakosei na wala hawezi kukosea, hiyo ni kufuru, pia wanasema kwamba papa anachukuwa nafasi ya mungu hapa duniani, papa amebadili amri kumi za mungu ( na bilbia inaongelea habari za hiyo myama kubadili sheria za mungu, majira na nyakati) kwa mujiba wa mwandishi mmoja wa kikatoliki ni kwamba papa ana uwezo wa kubadilisha maandiko ya biblia, na tayari wamekisha Fanya hivyo. Hiyo yote ni kufanya kinyume na maagizo ya mungu (kukufuru).

Hivyo basi bila kumungunya maneno mnyama anayefuatia ni upapa dunia ianafanya maandalizi ya kukabidhi mamlaka na madaraka yote kwa papa. Kutakuwepo na Dino moja na selikali moja duniani na maandalizi hayo yalikwishaanza kitambo.

Kuna mnyama anayetoka katika nchi yaani marekani ndiye atakayemkabidhi papa mamlaka, kumbuka marekani imetabiriwa ndani ya biblia.biblia ikisema mnyama anatoka baharini au maji mengi ina mahanisha kwamba ni mtawala mwenye nguvu kutoka miongoni mwa nchi yenye watu wengi, lakini ukisoma biblia kuwa mnyama anatoaka katika nchi, maana yake ni kuwa mtawala huyo anatokea sehemu isiyokuwa na watu kidogo sana UA hakuna kabisa, kumbuka na taifa la marekani lilianzishwa na wazungu, ndio waliolivumbua hilo bara akina kolumbas hapakuwepo na watu wengi mpaka wlipokuja kuchukuwa waafrica kuwafanya watumwa. Nchi ya marekani watu wanaokaa himo aslimia 99.999 wote ni watu wa kuja, taifa hilo liliundwa na wageni.

Hivyo unabii wa biblia unatimizwa bila shaka. Na tumeambiwa mpinga kristo na nabii wa uongo wote watatoka rumi ( miongoni mwa nchi za ula ya) kumbuka rumi ya zamani iliundwa na nchi kumi za ulaya, watu wengine udhani kuwa rumi ni Italy pekee. Rumi ya mwanzo ilikuwa ni pamoja na
1 ujerimani
2 uingereza
3 ufaransa
4 Hispania
5 Italy
7 Swiss land
8 ureno na mataifa mengine mawili yaliyoondolewa kama vile wavandali na waostigos.
Hizo hadith zenu ni uzushi mtupu
 
Kaka nashukuru sana kwa maelezo mazuri, ila kwa kuongezea ni kwamba.

Kumbuka biblia imesema kuwa rumi ya kimwili haiondoki kabisa. Ni kweli rumi yenyewe iliyokuwepo mwanzo iligawanyika Mara kumi, na mpaka sasa hayo mataifa yaliyounda rumi ya kale yapo kasoro mawili yaliyoharibiwa kabisa kwa maksudi na utawala wa papa.

Na tunaambiwa katika biblia kwamba kuna rumi nyingine ya kiroho, ambayo ilikuwa imepata jeraha baadae na likapona ( huo ni upapa) kumbuka upapa ulikuwa umeshaondolewa hapo mwanzo katika mapinduzi ya ufaransa, papa aliuwawa na mamlaka yake yakaondolewa kabisa.

Lakini tunakuja kuona baadae mfalme mwingine wa ufaransa anakuja kumrejeshea tena mamalaka na kupewa tena kipande cha nchi( Vatican) kwa hiyo yule mnyama mwenye kunena kakufuru aliyekuwa amepata jeraha la mauti hatimaye jeraha hilo likapona akaendelea kunena maneno makuu ya makufuru na mataifa yote wakampa nguvu zao, akapata kazidi kutawala na kunena makufuru.

Kumbuka papa anaposema kwamba hakosei na wala hawezi kukosea, hiyo ni kufuru, pia wanasema kwamba papa anachukuwa nafasi ya mungu hapa duniani, papa amebadili amri kumi za mungu ( na bilbia inaongelea habari za hiyo myama kubadili sheria za mungu, majira na nyakati) kwa mujiba wa mwandishi mmoja wa kikatoliki ni kwamba papa ana uwezo wa kubadilisha maandiko ya biblia, na tayari wamekisha Fanya hivyo. Hiyo yote ni kufanya kinyume na maagizo ya mungu (kukufuru).

Hivyo basi bila kumungunya maneno mnyama anayefuatia ni upapa dunia ianafanya maandalizi ya kukabidhi mamlaka na madaraka yote kwa papa. Kutakuwepo na Dino moja na selikali moja duniani na maandalizi hayo yalikwishaanza kitambo.

Kuna mnyama anayetoka katika nchi yaani marekani ndiye atakayemkabidhi papa mamlaka, kumbuka marekani imetabiriwa ndani ya biblia.biblia ikisema mnyama anatoka baharini au maji mengi ina mahanisha kwamba ni mtawala mwenye nguvu kutoka miongoni mwa nchi yenye watu wengi, lakini ukisoma biblia kuwa mnyama anatoaka katika nchi, maana yake ni kuwa mtawala huyo anatokea sehemu isiyokuwa na watu kidogo sana UA hakuna kabisa, kumbuka na taifa la marekani lilianzishwa na wazungu, ndio waliolivumbua hilo bara akina kolumbas hapakuwepo na watu wengi mpaka wlipokuja kuchukuwa waafrica kuwafanya watumwa. Nchi ya marekani watu wanaokaa himo aslimia 99.999 wote ni watu wa kuja, taifa hilo liliundwa na wageni.

Hivyo unabii wa biblia unatimizwa bila shaka. Na tumeambiwa mpinga kristo na nabii wa uongo wote watatoka rumi ( miongoni mwa nchi za ula ya) kumbuka rumi ya zamani iliundwa na nchi kumi za ulaya, watu wengine udhani kuwa rumi ni Italy pekee. Rumi ya mwanzo ilikuwa ni pamoja na
1 ujerimani
2 uingereza
3 ufaransa
4 Hispania
5 Italy
7 Swiss land
8 ureno na mataifa mengine mawili yaliyoondolewa kama vile wavandali na waostigos.
Ugiriki haipo kwenye hiyo rumi. Mbona ni taifa la zamani sana.
 
Roma bado inatawala dunia: ingawa ilianguka mwaka 476 AD ila athari zake zilikula dunia yote, ndo maana primary tulisoma no. za Kirumi na hata saa na Kalenda tunatumia za Kirumi na mataifa mengi yana sheria za Roma mpaka lugha zao tunazitumia. Roma haikuanguka kama inavyosemwa bali ilisambaratika na kuwa nchi za Ulaya ambazo zilikuja kuwa zenye nguvu na kutawala karibu dunia yote na kusambaza utamaduni wao. Mfano Uingereza imetawala bara Asia mpaka bara Arabu, hata ufalme wa Yordan, Saudia, Qatar zimewekwa na Uingereza. Kwaiyo ukisikia jumuiya ya madola tambua hizo ni nchi zilizotawaliwa na the greater Britain. Na Ufaransa, Spain, Portugal nazo hivo hivo.
Ulaya(Roma ya zamani) bado ina mkono mkubwa juu ya nchi za dunia hii. Ndo maana wameweka mahakama yenye sheria za Roma(The hague) ambayo daima ikiwahukumu viongozi wa nchi maskini, utake usitake ukiitwa hapo utaenda tu, na ukibisha utatolewa kwa bunduki.
Nabii Daniel alisema hivi juu ya Roma.
23 Akanena hivi, Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia, utakaokuwa mbali na falme zile zote, nao utakula dunia yote, na kuikanyaga, na kuivunja vipande vipande. Daniel 7
Huu utawala wa Roma utadumu mpk Kuja kwa Yesu. Roma imeathiri dunia kisiasa, kidini, kisheria na kitamaduni na nchi yeyote inayokataa hoja za Roma lazima iangamizwe. Sadamu, Gadafi waliangamizwa sababu walipingana na utawala wa Roma, na sahivi Assad anakinywea kisha # Iran itapotezwa. Nabii aliona jinsi wana wa Ishmael(waarabu) wanavyopinduliwa na Roma maana hao waliifukuza Roma karne ya 7 na Roma ikajirudi tena kwa namna ya kuwaweka vibaraka wao ktk falme za Kiarabu kama ufalme wa Saudia, Qatari, UEA na Jordan hao wote ni puppet wa Roma. Na wote watakao pinga watafanyiwa hivi:-
Naye ataunyosha mkono wake juu ya nchi hizo, hata na nchi ya Misri haitaokoka. Daniel 11:42
Utawala wa Roma utaziangusha nchi zote pinzani zikiwemo nchi za Kiarabu na dunia itamstajabiwa mnyama yule(ufalme huo) na kuufata. Ufunuo 13:3 NIV
ROMA itatengeneza utawala wa dini na kulazimisha dunia yote kufata dini hiyo na watakao pinga watauawa.
Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe. Ufunuo 13:5
Roma haitaangushwa na wanadamu......
......wakisema, Ni nani afananaye na mnyama huyu? Tena ni nani awezaye kufanya vita naye? Ufunuo 13:4
Roma itaangushwa na Mungu tu.
Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemhukumu ni mwenye nguvu. Ufunuo 18:8
Take care usije anguka na Roma

a1175df048e7c5de0a0fe3db44ef801f.jpg
[emoji3]
Bila shaka ndugu wewe ni msomaji wa vitabu vya Danieli na Ufunuo!
Ukisoma vizuri Danieli 9:20-27, utaelewa kwamba utawala wa Roma utatawala juma la 70 (wiki 1). Kinabii wiki 1 = miaka 7. Kipindi hicho kitaanza baada ya unyakuo wa kanisa (waliompokea Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao walipokuwa duniani). Wakati huo serikali zote duniani zitakuwa chini ya serikali kuu moja zikipokea amri za kiutawala kutoka kwa mkuu mmoja ambaye ni serikali ya Roma (mfano wa utawala huo ni kama Raisi Magulifuli alivyo na mamlaka kwa wakuu wote wa mikoa yote ya Tanzania). Huyo Rumi (Kaisari) atatawala kwa kushirikiana na mataifa mengine 10 (rejea Danieli 2:33, 41 - sanamu aliyoota Nebukadreza). Wakati huo hakuna atakayekiuka amri hata moja ya mtawala huyo yaani Rumi. Huyo Rumi (Kaisari) atakuwa na nguvu sana, na ndiye Mpinga Kristo.
Tujiulize, kama Roma ndiyo inatawala dunia kwa sasa je, kila serikali iliyoko duniani inatii kila amri kutoka kwa huyo mkuu (Kaisari=mpinga kristo)? Je hizo serikali zinatekeleza policy za huyo Mrumi? Jibu ni hapana. Kipindi hicho bado hakijafika ila hakiko mbali (2Thesolanike 2:1-10). Wateule kuweni macho!

utawala wa nyayo ni utawa wa humanoid under alliens ...

alliens wameshaanza kutengeneza human hybrid ambao ni half human na halfu alliens na hao ndo wanakuja kumonopolise this universe...ndo mana Nchi kibwa kama japan,america,uingereza na zingine zimeanza kutengeneza robot wenye ngozi kama binadamu kabsa na hao robot wana uwezo wa kupiga stori na mwanafamu wa kawaida kabsa bila kumshtukia ...
kwa hiyo binadamu wa kawaida have to be perished away kwa kasi ya ajabu snaa ili kuacha universe hii ndani ya mikono ya wengine....
inshot ndo mana sumu nyibgi zinatengenezwa ili kufupisha life span ya mwnadamu halisi....

it is a battle btn God and satarn let' s enjoy it...hakika wanajuana malengo yao ni nini sio sisi tunaochezeshwa kama mazombi....
 
Back
Top Bottom