Col Miraji
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 546
- 510
Umeskia wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu namshauri Roma kama kuna kitu ambacho kitamkosti basi afikilie juu ya familia yake tu.Kila mtu mpenda haki na demokrasia katika nchi yetu anapenda kusikia ni nini kiliwapata kina Roma pamoja wenzake...
- Ni nani aliyewateka?
- Walipelekwa wapi?
- Walifanywa nini?
- Aliyewateka alikuwa na lengo gani?
Sasa sisi kama watanzania tumekuwa tukisisitiza waseme ukweli bila woga hata kama maisha yao yatakuwa hatarini kiasi gani ila tunawataka waseme ukweli, Sasa hoja yangu ni hii, kwa unafiki wa tulio wengi ni nini tutakifanya kama watanzania endapo watatutajia aliyewateka?
Nini tutakifanya endapo kama utekaji huo utakuwa ulifanywa na kiongozi wa serikali/ raia wa kawaida?
Je, tutaendeleza unafiki wakusema tunaishauri serikali/rais achukue hatua wakati alishasema tusimpangie cha kufanya?
Nini tunaenda kufanya kama tukiujua ukweli na muhusika wa huu unyama!?
Tuweke itikadi zetu kando, tujadili kama watanzania. UNAFIKI NI DHAMBI MBELE ZA MUNGU.
Zito mtoeNamshauri ROMA akae kimya tu!maana watanzania wote tuko kimya tu!
kati ya watu 50mil waliomajasiri ni watatu tu
TUNDU LISSU,G,LEMA na Zito!!!!
Yeah, mimi nawajua Makonda na genge lake la kiharamia.Hawezi kutaja kihivyoooo, kwa sababu za kiuchunguzi. Ataelezea tu mpango wao na walio nyuma yake ulivyokwenda. Au na wale wa ngada pia si mnawajua au!?
Zitto kenge tu!Namshauri ROMA akae kimya tu!maana watanzania wote tuko kimya tu!
kati ya watu 50mil waliomajasiri ni watatu tu
TUNDU LISSU,G,LEMA na Zito!!!!
Aangalie mwenyewe usalama wake asije akaongea kufurahisha mashabiki halafu uhai wake ukawa mashakani
Uhai ni bora kuliko maneno ya kufurahisha watu
Clouds sio TBC kwanini ukadhulumiwe Wakati zipo Radio nyingi? Ndo Yale Yale ya Bashite kulalamika kwanini Hawajarusha 'kipindi' chake!!
Gwajima, mange na nay wa mitego hao wengine chenga tuNamshauri ROMA akae kimya tu!maana watanzania wote tuko kimya tu!
kati ya watu 50mil waliomajasiri ni watatu tu
TUNDU LISSU,G,LEMA na Zito!!!!