Tetesi: Roma Mkatoliki akimbia nchi, sasa anaishi uhamishoni

Tetesi: Roma Mkatoliki akimbia nchi, sasa anaishi uhamishoni

Kifurukutu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
4,641
Reaction score
6,694
Happy new year 2020 wanaJF

Kwa kitendo hiki kama ni kweli kulingana na nilivyosikia, basi nchi yetu imefikia pabaya

Msanii wa Hip hop Roma Mkatoliki baada ya kutoa ule wimbo wake "Naitwa roma" unaohusu maswala ya siasa za hapa nchini hususani zinamrengo wa kuipinga serikali, msanii huyo sasa amekimbia nchi kwa kuhofia usalama wake kufuatia kutoa kibao hicho

Roma Mkatoliki kwa sasa amekimbilia nchini Marekani akihofia kukamatwa, kutekwa, na kuuliwa na serikali hii ya Rais Magufuli

itakumbukwa miaka ya nyuma msanii huyo alitekwa na kuumizwa vibaya, mpaka sasa waliofanya tukio hilo ni watu wasiojulikana

Nahoji kama Mtanzania wa kawaida, haki ya mtanzania kuishi katika nchi yake hapa inatazamwa vipi?

Uhuru wa kujieleza na kukosoa hapa nchini ni wa kitabaka tu? Yaani CCM ndio wanahaki ya kuukosoa upinzani pekee?
 
Happy new year 2020 wanaJF



Kwa kitendo hiki kama ni kweli kulingana na nilivyosikia, basi nchi yetu imefikia pabaya



Msanii wa Hip hop Roma mkatoriki baada ya kutoa ule wimbo wake "naitwa roma" unaohusu maswala ya siasa za hapa nchini hususani zinamrengo wa kuipinga serikali, msanii huyo sasa amekimbia nchi kwa kuhofia usalama wake kufuatia kutoa kibao hicho



Roma mkatoriki kwa sasa amekimbilia nchini Marekani akihofia kukamatwa, kutekwa, na kuuliwa na serikali hii ya Magufuli



itakumbukwa miaka ya nyuma msanii huyo alitekwa na kuumizwa vibaya, mpaka sasa waliofanya tukio hilo ni watu wasiojulikana



Nahoji kama mtanzania wa kawaida, haki ya mtanzania kuishi katika nchi yake hapa inatazamwa vipi?



Uhuru wa kujieleza na kukosoa hapa nchini ni wa kitabaka tu? yaani ccm ndio wanahaki ya kuukosoa upinzani peekee?
Nasogea goligota yule mchizi yupo wapi siku hizi?
 
Ni mradi alioubuni kwa muda mrefu, kujiteka, kutoa nyimbo ya kuchafuwa watu fulani ili iwe kisingizio kama hapa Tanzania hayuko salama. Lakini Wamarekani sio wajinga, Bobi Wine alishidwa kubadili ukaaji wake nje, sidhani kama Roma ana kigezo chochote cha kubeba kesi yake.
 
huwezi mfananisha bob wine na Roma
Bob ni mbunge hawezi uacha, Roma hana cha kupoteza hivyo anapigania usalama wake
Ni mradi alioubuni kwa muda mrefu, kujiteka, kutoa nyimbo ya kuchafuwa watu fulani ili iwe kisingizio kama hapa Tanzania hayuko salama. Lakini Wamarekani sio wajinga, Bobi Wine alishidwa kubadili ukaaji wake nje, sidhani kama Roma ana kigezo chochote cha kubeba kesi yake.
 
Na waliyonifanyiaga central haki ya mungu siwezi sema,
Maana wale wasenge walidiriki mpaka kunigeuza nyuma,
Wakanimwagia Mbegu siwezi meza siwezi tema,
Ndo maana sikushangaa ile ghafla toka CCM kwenda chadema,
Wanasema kitanda ukitandika sharti ukilalie,
Nikajitia ukamanda yatakwisha wacha nivumilie,
Kila kiza kikitanda ndo machozi wacha mi nilie,
Penzi akatia parapanda kuwaalika waje washambulie....
Ooh mbona sikomiii
Sikomi.....
Licha ya mateso haya
 
Na waliyonifanyiaga central haki ya mungu siwezi sema,
Maana wale wasenge walidiriki mpaka kunigeuza nyuma,
Wakanimwagia Mbegu siwezi meza siwezi tema,
Ndo maana sikushangaa ile ghafla toka CCM kwenda chadema,
Wanasema kitanda ukitandika sharti ukilalie,
Nikajitia ukamanda yatakwisha wacha nivumilie,
Kila kiza kikitanda ndo machozi wacha mi nilie,
Penzi akatia parapanda kuwaalika waje washambulie....
Ooh mbona sikomiii
Sikomi.....
Licha ya mateso haya
umeenda na beat kabisa
 
Huko Marekani wenyewe wanajiandaa kumshtaki raisi wao,kiongfozi huyo huyo wa Marekani alitaka kuweka ukuta kujitenganisha na nchi fulani.
Marekani hiyo hiyo watu weusi wanakula chuma hadi wakiendesha gari vibaya,lakini siyo vibaya ukiruka mavi ukakanyaga dimba.
 
huwezi mfananisha bob wine na Roma
Bob ni mbunge hawezi uacha, Roma hana cha kupoteza hivyo anapigania usalama wake
Hakuna anayemtafuta au hata kumtisha maisha yake hapa Tanzania, amekaa hapa muda wote hata baada ya hoja ya kutekwa bila kuguswa na yoyote. Uhamiaji wa marekani wana mtandao mpana kujuwa nani yuko hatarini, nani ni mbabaishaji. Muda utaongea.
 
unafikiri alitekwa kwa sababu zipi kile kipindi
Hakuna anayemtafuta au hata kumtisha maisha yake hapa Tanzania, amekaa hapa muda wote hata baada ya hoja ya kutekwa bila kuguswa na yoyote. Uhamiaji wa marekani wana mtandao mpana kujuwa nani yuko hatarini, nani ni mbabaishaji. Muda utaongea.
 
Back
Top Bottom