Kuchitimbo
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 439
- 366
Vipi kiongozi wetu ndo angekuwa anakosolewa na watu Kama wamarekani wafanyavyo?.Huko Marekani wenyewe wanajiandaa kumshtaki raisi wao,kiongfozi huyo huyo wa Marekani alitaka kuweka ukuta kujitenganisha na nchi fulani.
Marekani hiyo hiyo watu weusi wanakula chuma hadi wakiendesha gari vibaya,lakini siyo vibaya ukiruka mavi ukakanyaga dimba.
Unahisi Nini kingetokea?