Tetesi: Roma Mkatoliki akimbia nchi, sasa anaishi uhamishoni

Tetesi: Roma Mkatoliki akimbia nchi, sasa anaishi uhamishoni

Kama kakimbia Nchi basi nadhani ndio muda mzuri wa kuanika kila kitu kuhusu kutekwa kwake.
 
Happy new year 2020 wanaJF

Kwa kitendo hiki kama ni kweli kulingana na nilivyosikia, basi nchi yetu imefikia pabaya

Msanii wa Hip hop Roma Mkatoliki baada ya kutoa ule wimbo wake "Naitwa roma" unaohusu maswala ya siasa za hapa nchini hususani zinamrengo wa kuipinga serikali, msanii huyo sasa amekimbia nchi kwa kuhofia usalama wake kufuatia kutoa kibao hicho

Roma Mkatoliki kwa sasa amekimbilia nchini Marekani akihofia kukamatwa, kutekwa, na kuuliwa na serikali hii ya Rais Magufuli

itakumbukwa miaka ya nyuma msanii huyo alitekwa na kuumizwa vibaya, mpaka sasa waliofanya tukio hilo ni watu wasiojulikana

Nahoji kama Mtanzania wa kawaida, haki ya mtanzania kuishi katika nchi yake hapa inatazamwa vipi?

Uhuru wa kujieleza na kukosoa hapa nchini ni wa kitabaka tu? Yaani CCM ndio wanahaki ya kuukosoa upinzani pekee?
Ameamua kuitumia fursa ipasavyo, walimtengenezea mazingira, na sasa ameyatumia ipasavyo.
Nina imani akina Tundu pia watafuata mkondo huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zimbabwe imekuwa marekani alisema ataenda Zimbabwe?????


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ametumia opportunity tu ya kwenda kutafuta huruma ya wamarekani wampe ugali wa kila siku. Ila tukumbuke vya bure vina gharama. Mpeni huu ushaurii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona mnaombea, mnatamani Sana nchi ichafuke iwe na mauaji..!

Nawashangaa Sana, hiking sio kitu cha kuombea kabisa. ngoja yatupate tuanze kuwa wakimbizi.
 
Hakuna anayemtafuta au hata kumtisha maisha yake hapa Tanzania, amekaa hapa muda wote hata baada ya hoja ya kutekwa bila kuguswa na yoyote. Uhamiaji wa marekani wana mtandao mpana kujuwa nani yuko hatarini, nani ni mbabaishaji. Muda utaongea.kiasi hicho...Hata huko mauaji na udharirishwaji wa watu weusi umekithiri, licha ya mapambio kuwa ndio kwenye haki na demokrasia iliyotukuka
!!!
Sidhani kama Marekani Ni wajinga hivyo
 
Utakuwa Mangekimambi kamshauri aende Marekani,Nakumbuka post yake moja alimwambia akimbilie Marekani.
 
Back
Top Bottom