Kuchitimbo
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 439
- 366
Vipi kiongozi wetu ndo angekuwa anakosolewa na watu Kama wamarekani wafanyavyo?.Huko Marekani wenyewe wanajiandaa kumshtaki raisi wao,kiongfozi huyo huyo wa Marekani alitaka kuweka ukuta kujitenganisha na nchi fulani.
Marekani hiyo hiyo watu weusi wanakula chuma hadi wakiendesha gari vibaya,lakini siyo vibaya ukiruka mavi ukakanyaga dimba.
Mpaka leo Roma hajathibitisha nani alimteka, duniani kila siku watu wanatekwa, wengine wanajiteka kwasabubu mbali mbali lakini haisababishi wao kukimbilia kukimbilia nje na kuomba hifadhi. Swala la hifadhi ni pana kuliko mnavyolifikiria. Mpaka athibitishe kama misha yake yako hatarini Kwa sababu za KISIASA, KIJINSIA au KIIMANI ndio atasikilizwa. Maswala mengine yote yanatakiwa yashugukikiwe na dola ya nchi husika anayotoka.unafikiri alitekwa kwa sababu zipi kile kipindi
mbona wimbo wenyewe ule sio wa kumfanya mtu akimbie nchi, wangeweza wakamsumbua sumbua lakini sio jambo kubwa hadi kumfanya akimbie nchi.
Unaongea kirahisi sana. Hivi unafahamu kosa la Azory? Shetani ni shetani tu hana huruma na wewe wala familia yako.mbona wimbo wenyewe ule sio wa kumfanya mtu akimbie nchi, wangeweza wakamsumbua sumbua lakini sio jambo kubwa hadi kumfanya akimbie nchi.
Huko Marekani wenyewe wanajiandaa kumshtaki raisi wao,kiongfozi huyo huyo wa Marekani alitaka kuweka ukuta kujitenganisha na nchi fulani.
Marekani hiyo hiyo watu weusi wanakula chuma hadi wakiendesha gari vibaya,lakini siyo vibaya ukiruka mavi ukakanyaga dimba.
Watu sasahivi wamebuni njia za kupiga hela huko ughaibuni. Alianza Ansbert Ngurumo, akafuatia TL na sasa Roma.Hakuna anayemtafuta au hata kumtisha maisha yake hapa Tanzania, amekaa hapa muda wote hata baada ya hoja ya kutekwa bila kuguswa na yoyote. Uhamiaji wa marekani wana mtandao mpana kujuwa nani yuko hatarini, nani ni mbabaishaji. Muda utaongea.
Na wewe hujui kitu kuhusu Roma ni bora ukafunga mdomo wakohujui kitu kuhusu marekani ni vema ukafunga domo
Haahahaahaa!!! Nilifikiri unaimba ipap kumbe unabana pua,usamehewe amina.Na waliyonifanyiaga central haki ya mungu siwezi sema,
Maana wale wasenge walidiriki mpaka kunigeuza nyuma,
Wakanimwagia Mbegu siwezi meza siwezi tema,
Ndo maana sikushangaa ile ghafla toka CCM kwenda chadema,
Wanasema kitanda ukitandika sharti ukilalie,
Nikajitia ukamanda yatakwisha wacha nivumilie,
Kila kiza kikitanda ndo machozi wacha mi nilie,
Penzi akatia parapanda kuwaalika waje washambulie....
Ooh mbona sikomiii
Sikomi.....
Licha ya mateso haya
Happy new year 2020 wanaJF
Kwa kitendo hiki kama ni kweli kulingana na nilivyosikia, basi nchi yetu imefikia pabaya
Msanii wa Hip hop Roma mkatoriki baada ya kutoa ule wimbo wake "naitwa roma" unaohusu maswala ya siasa za hapa nchini hususani zinamrengo wa kuipinga serikali, msanii huyo sasa amekimbia nchi kwa kuhofia usalama wake kufuatia kutoa kibao hicho
Roma mkatoriki kwa sasa amekimbilia nchini Marekani akihofia kukamatwa, kutekwa, na kuuliwa na serikali hii ya Magufuli
itakumbukwa miaka ya nyuma msanii huyo alitekwa na kuumizwa vibaya, mpaka sasa waliofanya tukio hilo ni watu wasiojulikana
Nahoji kama mtanzania wa kawaida, haki ya mtanzania kuishi katika nchi yake hapa inatazamwa vipi?
Uhuru wa kujieleza na kukosoa hapa nchini ni wa kitabaka tu? yaani ccm ndio wanahaki ya kuukosoa upinzani peekee?
Ni mradi alioubuni kwa muda mrefu, kujiteka, kutoa nyimbo ya kuchafuwa watu fulani ili iwe kisingizio kama hapa Tanzania hayuko salama. Lakini Wamarekani sio wajinga, Bobi Wine alishidwa kubadili ukaaji wake nje, sidhani kama Roma ana kigezo chochote cha kubeba kesi yake.
Hahahaha, hizi ndio akili za WatanzaniaNi mradi alioubuni kwa muda mrefu, kujiteka, kutoa nyimbo ya kuchafuwa watu fulani ili iwe kisingizio kama hapa Tanzania hayuko salama. Lakini Wamarekani sio wajinga, Bobi Wine alishidwa kubadili ukaaji wake nje, sidhani kama Roma ana kigezo chochote cha kubeba kesi yake.
mbona wimbo wenyewe ule sio wa kumfanya mtu akimbie nchi, wangeweza wakamsumbua sumbua lakini sio jambo kubwa hadi kumfanya akimbie nchi.
kusumbuliwa kwenyewe hatujui uwa nini?mbona wimbo wenyewe ule sio wa kumfanya mtu akimbie nchi, wangeweza wakamsumbua sumbua lakini sio jambo kubwa hadi kumfanya akimbie nchi.
Sio Roma pekee ambaye yuko hatarii, kila mtanzania hivi sasa anaishi kwa hofu!Hakuna anayemtafuta au hata kumtisha maisha yake hapa Tanzania, amekaa hapa muda wote hata baada ya hoja ya kutekwa bila kuguswa na yoyote. Uhamiaji wa marekani wana mtandao mpana kujuwa nani yuko hatarini, nani ni mbabaishaji. Muda utaongea.
Kwanini wamsumbue sumbue?mbona wimbo wenyewe ule sio wa kumfanya mtu akimbie nchi, wangeweza wakamsumbua sumbua lakini sio jambo kubwa hadi kumfanya akimbie nchi.