Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

Mwakyembe nae ni mwathirika wa hile kuwa akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa..
 
Alafu nilazima mkumbuke kijana anamlenga mtu mwingine kabisa wala sio hao tunawafhani. Sio waziri wala sio rais ila kuna mtu anamlenga. End
Bashite ndiye aliyelengwa. Huyo kakurupuka kumshukia Roma,na ndiyo tunaanza kutilia shaka hicho ki PhD chake anachoringia.
 
Huyo ndo mwakyembe anaye shadadia uendelevu wa ndoa za watoto wa umri chini ya miaka 18. Ana degree 2x2
 
Waziri wangu Mwakyembe, sikupenda ulivyokuwa unajimwambafy na elimu yako! tunakujua uu msomi mzuri sana.
Watakuuliza elimu yako imewanyia nini wa Tz. sijui utasemaje.
 
Nimeupenda mstari huu..........'UNAPIGA BOMU MOCHWARI UNAJISIFU UMEUA"

Huyu jamaa ni zaidi ya PhD ya waziri mwenye degree nne.
[emoji16][emoji16][emoji16] Dogo yupo vizuri_mziki wake hauna maslahi lakini unaishi

Mimi nimependa pale aliposema "Ubora wa ndama ndio hulipa zizi la ng'ombe uhakika"

Na "Kuna waliotumbuliwa kuhusu vyeti mwaka mmoja kabla ya kustahafu"

Hii ya mwisho imenigusa, sana kama ni kweli serikali yapaswa kuwaangalia hao jamaa haijalishi kwa lolote wawape stahiki zao
 
Kuna kusoma na kuelimika halikadhalika kuna kusoma ili kuhitimu. Hao ndiyo wengi tulionao yaani waliosoma kwa kuhitimu huku vichwa vikiwa wazi. Hebu ajaribu kujiathmini juu ya elimu yake kwenye jamii ni alama gani kaiweka ili imuenzi??
 
Kweli kabisa,ukienda huko akili zinakombwa wanabakishiwa za kuvukia barabara tu na kusifia.
 
Roma mimbo yake inafundishwa kwenye Vyuo vikubwa duniani.

Fasihi jinsi inavyoweza kuchochea mijadala mikubwa ya kukosoa jamii.

Dr mwakyembe amejishusha kujibu jibu Kama la mtu asiye dokta.

Viva Roma Viva zimbabwe
Upambe unamponza hadi anaonekana kituko
 
Hayo maneno akamwambie Kasheku Msukuma, mbona anamhanya huyo darasa la saba! Ila msameheni huyo msomi kuna wakati sumu inapanda kichwani.
 
hicho kipande kinasemaje cha huyo dg4
 
Ww ambae hujui chochote nhsu muzk ungemshaur aimbe kuhsu nn?
 
dah heshima kitu cha bure kweli wahenga walinena, Tatizo la Watanzania tuliowengi tunapenda sana kuwa wanyonge ndio mwishowe yanatokea kama haya ya kudharau wengine tukisahau Mungu alituumba kila mtu na kipaji na task zake duniani hapa.. Sasa huyu kwakuwa ana PHD anaamini kila kitu alipaswa kuwa nayo na kama hana ni mzembe, very interested went to school but not educated..

Mzee anasahau kwamba akina diamond ni darasa saba lakini wanamfanya asilale na inamlazimu kwenda kwenye matamasha yao, Mzee anasahau zaidi ya watanzania 60% darasa la saba ndio ndio wanamlipa mshahara na kuchangia elimu yake kupitia kodi zao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…