pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
[emoji16][emoji16][emoji16] Dogo yupo vizuri_mziki wake hauna maslahi lakini unaishi
Mimi nimependa pale aliposema "Ubora wa ndama ndio hulipa zizi la ng'ombe uhakika"
Na "Kuna waliotumbuliwa kuhusu vyeti mwaka mmoja kabla ya kustahafu"
Hii ya mwisho imenigusa, sana kama ni kweli serikali yapaswa kuwaangalia hao jamaa haijalishi kwa lolote wawape stahiki zao
Amedanganywa vipi?Roma amedanganywa na wanasiasa wabaya tu
Una akili mbovu ambayo haijawahi kuonekana humu JF tangu kuanzishwa kwakeRoma arudi shule jamani
Mtu anaefundisha au aliwahi kufundisha chuo sio wa kumfananisha na alieishia darasa la saba jamani huo ni ukweli usiopingika
Mwakyembe alipasua GPA kubwa Bachelor akabakizwa kuwa mwanataaluma UDSM huwezi fananisha na Msanii yeyote hapa nchini
Nitamfikishia taarifa.Basi atulie ajilie posho zake za uwaziri.
basi utakuja kulala na ww maana mtt wa kike una wivu sanaHuyo Roma naona amechoka kulala na mkewake..ni mpenda sifa za kijinga
Huyu jamaa alishawahi kulikana andiko lake mwenyewe.Mwanamuziki ni mwanafasihi ni Kama mwandishi wa kazi za kifasihi anaweza kuandika au kuimba matatizo yanayoikumba hadhira yake na kujaribu kutoa suluhisho kupitia kazi yake ya kifasihi. Mwambie huyo Dr ampe hai Farouk topan na Tamthiliya zake Aliyeonja Pepo na Mfalme Juha.
Nijuavyo mimi wanasiasa na wanaharakati wengi wenye mafanikio wakiwemo wasanii ni wale wenye elimu ya kawaida kabisa.
Angalia elimu za wanasiasa waliowahi kupata umaarufu mkubwa na kusikilizwa kama Sokoine Kawawa, Mrema aliyepewa hadi uNaibu Waziri mkuu, Lowassa, Rostam Aziz na wengine wengi hawana hizo degree 4 lakini wamefanya mambo makubwa kuliko Le Mutuz mwenye degree 7 na wote wakiwa CCM.
Muangalie msanii Diamond mhitimu wa shule ya msingi pale Tandale hata akiingia bungeni PhD zote zinasimama kumpigia makofi.
Watu wenye ujasiri hawahitaji elimu kubwa isipokuwa wale waliopungukiwa karama ya ujasiri.
Waangalie vijana wote wanaowika sasa ndani ya CCM na hata Chadema elimu zao, utafurahi na roho yako.
Niwatakie Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Amedanganywa vipi?
Huyu Mwakyembe hajui kuwa madaraka hulevya!!!? Maneno haya ni uthibitisho kuwa Mwakyembe Ni mlevi wa madaraka.Hivi degree zinaleta busara!!!? Hata hivyo ukiwa kwenye Chama Cha Maibilisi (CCM), huhitaji degree yoyote kwa jambo lolote!!!"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?"
Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
Aibu nimeona mimi"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?"
Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
nikiwa chuoni mkufunzi wangu alipenda sana kutupatia hili swali kila monthly test. ""unaweza ukasoma usielimike, na unaweza ukaelimika pasipo kusoma, jadili. ""hii hoja naiona leo kwa mwakyembe, amesoma ila hajaelimika. Roma hajasoma ila ameelimika.Nijuavyo mimi wanasiasa na wanaharakati wengi wenye mafanikio wakiwemo wasanii ni wale wenye elimu ya kawaida kabisa.
Angalia elimu za wanasiasa waliowahi kupata umaarufu mkubwa na kusikilizwa kama Sokoine Kawawa, Mrema aliyepewa hadi uNaibu Waziri mkuu, Lowassa, Rostam Aziz na wengine wengi hawana hizo degree 4 lakini wamefanya mambo makubwa kuliko Le Mutuz mwenye degree 7 na wote wakiwa CCM.
Muangalie msanii Diamond mhitimu wa shule ya msingi pale Tandale hata akiingia bungeni PhD zote zinasimama kumpigia makofi.
Watu wenye ujasiri hawahitaji elimu kubwa isipokuwa wale waliopungukiwa karama ya ujasiri.
Waangalie vijana wote wanaowika sasa ndani ya CCM na hata Chadema elimu zao, utafurahi na roho yako.
Niwatakie Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Hekima ni kati hazina kubwa hapa duniani.Waziri Mwakyemmbe umeteleza,iombe msamaha jamii,mambo yaishe.Nijuavyo mimi wanasiasa na wanaharakati wengi wenye mafanikio wakiwemo wasanii ni wale wenye elimu ya kawaida kabisa.
Angalia elimu za wanasiasa waliowahi kupata umaarufu mkubwa na kusikilizwa kama Sokoine Kawawa, Mrema aliyepewa hadi uNaibu Waziri mkuu, Lowassa, Rostam Aziz na wengine wengi hawana hizo degree 4 lakini wamefanya mambo makubwa kuliko Le Mutuz mwenye degree 7 na wote wakiwa CCM.
Muangalie msanii Diamond mhitimu wa shule ya msingi pale Tandale hata akiingia bungeni PhD zote zinasimama kumpigia makofi.
Watu wenye ujasiri hawahitaji elimu kubwa isipokuwa wale waliopungukiwa karama ya ujasiri.
Waangalie vijana wote wanaowika sasa ndani ya CCM na hata Chadema elimu zao, utafurahi na roho yako.
Niwatakie Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Yaani CCM hata ikiongewa shudu gani lazima itapata watetezi tuRoma arudi shule jamani
Mtu anaefundisha au aliwahi kufundisha chuo sio wa kumfananisha na alieishia darasa la saba jamani huo ni ukweli usiopingika
Mwakyembe alipasua GPA kubwa Bachelor akabakizwa kuwa mwanataaluma UDSM huwezi fananisha na Msanii yeyote hapa nchini