I like it it's true but take the reality.kwa tz watu wanaona degree ni kigezo kikubwa hata kwenye wakati hata hizo degrees no non performing shamefulNijuavyo mimi wanasiasa na wanaharakati wengi wenye mafanikio wakiwemo wasanii ni wale wenye elimu ya kawaida kabisa.
Angalia elimu za wanasiasa waliowahi kupata umaarufu mkubwa na kusikilizwa kama Sokoine Kawawa, Mrema aliyepewa hadi uNaibu Waziri mkuu, Lowassa, Rostam Aziz na wengine wengi hawana hizo degree 4 lakini wamefanya mambo makubwa kuliko Le Mutuz mwenye degree 7 na wote wakiwa CCM.
Muangalie msanii Diamond mhitimu wa shule ya msingi pale Tandale hata akiingia bungeni PhD zote zinasimama kumpigia makofi.
Watu wenye ujasiri hawahitaji elimu kubwa isipokuwa wale waliopungukiwa karama ya ujasiri.
Waangalie vijana wote wanaowika sasa ndani ya CCM na hata Chadema elimu zao, utafurahi na roho yako.
Niwatakie Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Nimesikitika sana Wazir kusema maneno ,mwakyembe ni very intellectual anadhani amesoma yeye tu hapa duniani....et alimuuliza T-sewage kama wao wanaimba siasa....sewage akamjib siasa hailip, Kwan Roma anaimba siasa au anaimba kufurahisha jamii,kuonya pale inapobid na kuburudisha...Mwakyembe akumbuke msanii ni kioo cha jamii ...Prof Jay na wimbo wake wa Ndiyo mzee na siyo mzee ungeimbwa leo Mbona CCM ingeweweseka sana .Nijuavyo mimi wanasiasa na wanaharakati wengi wenye mafanikio wakiwemo wasanii ni wale wenye elimu ya kawaida kabisa.
Angalia elimu za wanasiasa waliowahi kupata umaarufu mkubwa na kusikilizwa kama Sokoine Kawawa, Mrema aliyepewa hadi uNaibu Waziri mkuu, Lowassa, Rostam Aziz na wengine wengi hawana hizo degree 4 lakini wamefanya mambo makubwa kuliko Le Mutuz mwenye degree 7 na wote wakiwa CCM.
Muangalie msanii Diamond mhitimu wa shule ya msingi pale Tandale hata akiingia bungeni PhD zote zinasimama kumpigia makofi.
Watu wenye ujasiri hawahitaji elimu kubwa isipokuwa wale waliopungukiwa karama ya ujasiri.
Waangalie vijana wote wanaowika sasa ndani ya CCM na hata Chadema elimu zao, utafurahi na roho yako.
Niwatakie Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani umeambiwa kasomea Tanzania?!Le Mutuz ana degrees 7! Kueni serious basi!. Le Mutuz muongea takataka ana degrees 7!!
Kama ni kweli there's something wrong with our education system.
Kwa kauli hii,basi hizo ulizonazo siyo degree ni makaratasi,umeonyesha ulivyo empty kichwani"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?"
Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
CCM wenyewe licha ya kujidai kuwa na wanaojiita wasomi lakini kwenye Siasa propaganda wanawategemea Livingston lusinde kibajaji musukuma cyprian Musiba Joseph yona na wenzao akina Daud Bashite wasio na vyeti.Nijuavyo mimi wanasiasa na wanaharakati wengi wenye mafanikio wakiwemo wasanii ni wale wenye elimu ya kawaida kabisa.
Angalia elimu za wanasiasa waliowahi kupata umaarufu mkubwa na kusikilizwa kama Sokoine, Kawawa, Mrema aliyepewa hadi uNaibu Waziri mkuu, Lowassa, Rostam Aziz na wengine wengi hawana hizo degree 4 lakini wamefanya mambo makubwa kuliko Le Mutuz mwenye degree 7 na wote wakiwa CCM.
Muangalie msanii Diamond mhitimu wa shule ya msingi pale Tandale hata akiingia bungeni PhD zote zinasimama kumpigia makofi.
Watu wenye ujasiri hawahitaji elimu kubwa isipokuwa wale waliopungukiwa karama ya ujasiri.
Waangalie vijana wote wanaowika sasa ndani ya CCM na hata Chadema elimu zao, utafurahi na roho yako.
Niwatakie Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
CCM hata kwenye hujuma zao nyingi humtumia Daud Bashite asiye na vyetiNimekuelewa!
Hata Ph.D za mjengoni humtumia Kibajaji ambaye ni mhitimu wa darasa la 4 kuwasilisha hoja zao.....wenyewe wanaogopa!
Ngoja nimsaidie;Weka majibu ili nichague
Point mkuuDegree nne tena? Hawa watu jamii ya Mwakyembe mbona miguu na njia kwa waganga wa kienyeji often kupata "ushauri wa kitaalamu" ingawa hao hata std 3B hawakuliona?
Kitendo cha Waziri kushuka chini na kuanza kujibizana na "standard 4/7" ni ishara tosha hizo degree 4 zilikuwa za kudesa na kukariri tu na wala hazijamsaidia kitu. Otherwise ile sumu ilimuharibu pakubwa
Kwani elimu ni nini bwashee?Johnthepabtist kumsifia asiye na elimu na kumdharau aliye na elimu, inaonesha ni kwa namna gani bado tuna safari ndefu!
Elimu CCM haina umuhimu ndiyo maana Daud Bashite licha ya kutokuwa na vyeti lakini ndiye mshauri mkuu wa mtukufu malaika toka chato, CCM huwa hawajali hiyo safari ndefuJohnthepabtist kumsifia asiye na elimu na kumdharau aliye na elimu, inaonesha ni kwa namna gani bado tuna safari ndefu!
Elimu ni jinsi unavyoitafsiri wewe.Kwani elimu ni nini bwashee?
Tuanzie hapo maana iko tofauti kati ya kuelimika na kukaririshwa fikra za wasomi weupe!
Vipi kuhusu elimu ya Mtukufu Mbowe? Lema je? Sugu? Pro. Jay? Ahahahah! minyoo umenikumbusha msemo wa "nyani haoni ......."!Elimu CCM haina umuhimu ndiyo maana Daud Bashite licha ya kutokuwa na vyeti lakini ndiye mshauri mkuu wa mtukufu malaika toka chato, CCM huwa hawajali hiyo safari ndefu