Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Acha uzembe. Google utapata CV yake. Ukiishaangalia ya Dr. Mwakyembe, google na ya Freeman Mbowe uone vichekesho!!!Haijawahi kuwa kosa kisheria kufahamu wasifu wa kiongozi wa umma , Kitendo cha Mwakyembe kujinadi hadharani kwamba anamiliki degree 4 kimeamsha ari ya wadau kutaka kufahamu zaidi shule alizosoma na alichosomea , yasemekana alianzia kwenye diploma ya uandishi wa habari baada ya matokeo yake kutomruhusu kuingia moja kwa moja chuo kikuu .
Anayelifahamu jambo hili aje na vielelezo .
Tundu Lissu ulishawahi kumsikia wapi anajinadi na elimu yake na kujidai kuwa hawezi kukosolewa na darasa la saba?
Ngoja tumnyooshe huyu anayejidai ana digrii nne za ufala...
Kwa mtizamo wako huo, believe me, huhitaji kuona CV ya Harrison George Mwakyembe.Hahahaaa....... Najazilizia CV ya Dr Mwakyembe!
😂😂😂 Eti degree Nne za "Ufala"Tundu Lissu ulishawahi kumsikia wapi anajinadi na elimu yake na kujidai kuwa hawezi kukosolewa na darasa la saba?
Ngoja tumnyooshe huyu anayejidai ana digrii nne za ufala...
Kujazia CV.......haimaanishi Mwakyembe siyo kichwa!Kwa mtizamo wako huo, believe me, huhitaji kuona CV ya Harrison George Mwakyembe.
Dr. Mwakyembe ni kichwa cha kuotea mbali.
Hana elimu ya kuunga unga.
Kwenu ninyi wadogo yapo ambayo hamyajui.
Baada ya Azimio la Arusha na kuanzisha Jeshi la Kujenga Taifa, ilikuwa ni lazima kufanya kazi miaka 2 kabla ya kujiunga na Chuo Kikuu.
Ulitolewa mwanya maalum wa kujiunga na mafunzo ya shahada ya Udaktari na Uhandisi tu kutokana na uhaba uliokuwepo kwa kada hizo mbili.
Wengine wote iliwalazimu kufanya kazi miaka 2 kabla ya kwenda University.
Harrison Mwakyembe alipelekwa kufanya kazi Chuo cha Uandishi wa Habari, TSJ, kama Mkufunzi, ambako aliamua kusoma Upaparazi, kabla ya kuanza kuufundisha.
Na huu ni ushahidi tosha kuwa alikuwa kichwa!
Lakini kwa kumalizia, SIASA ni mdudu wa ajabu ambao Mbunge Kasheku Msukuma ni super star kuliko msomi mwenye digrii 4.
Huku duniani, mwenye digrii 4 ni kibarua cha mwenye darasa la saba.
Dr. Mwakyembe aache ulimbukeni na atambue kuwa nje ya kufundisha vyuoni, digrii 4 hazina umuhimu wowote.
Ngoja nikuambie kitu.
Kusoma HKL, HGL au PGM,PCM and so hakuwezi kuthibitisha kuwa wewe kichwani hamnazo au la. Huu ulofa upo shule za kata tu ambapo walimu huwachagulia wanafunzi wao combination kulingana na matokeo yao ya form 2. Shule niliyosoma Mimi wengi tu chemistry na physics form two tulipata A au B lakini tukaachana nayo tulipoingia form 3.
Acha kujitetea hapa!! upate A& B kwenye Chemistry na physics then form 3 usome HKL inamaana unapenda sana kiswahili!!! HKL ni wastani wa fifty fifty tu!Ngoja nikuambie kitu.
Kusoma HKL, HGL au PGM,PCM and so hakuwezi kuthibitisha kuwa wewe kichwani hamnazo au la. Huu ulofa upo shule za kata tu ambapo walimu huwachagulia wanafunzi wao combination kulingana na matokeo yao ya form 2. Shule niliyosoma Mimi wengi tu chemistry na physics form two tulipata A au B lakini tukaachana nayo tulipoingia form 3.
No Tundu ni Div 1 ya Iliboru akaenda Galanos HGL akafumua Div 1 kali, akatinga UDSM.Tundu Lisu wenu mnayemsifia pia alisoma hiyo hiyo arts hkl, hivyo ni kilaza pia kumlinganisha na Roma?
Ngoja nikuambie kitu.
Kusoma HKL, HGL au PGM,PCM and so hakuwezi kuthibitisha kuwa wewe kichwani hamnazo au la. Huu ulofa upo shule za kata tu ambapo walimu huwachagulia wanafunzi wao combination kulingana na matokeo yao ya form 2. Shule niliyosoma Mimi wengi tu chemistry na physics form two tulipata A au B lakini tukaachana nayo tulipoingia form 3.
Jiwe kichwa.. sio kilaza yuleJiwe alisoma na nani hasa PhD yake?
We kibwengu ukisikia jina la Lissu unapagawa. Kwanzs sio HKL ni HGL lakin pia kwakukusaidia pitia kdg Multiple intelligence theoryTundu Lisu wenu mnayemsifia pia alisoma hiyo hiyo arts hkl, hivyo ni kilaza pia kumlinganisha na Roma?
Nilifaulu masomo yote nikachaguliwa na walimu wa shule yangu ya kata kujiunga sayansi wakati haikuwa ndoto zangu. Nikapiga O level nikaenda A level sayansi nikawa sisomi kabisa yani sivutiwi. Mwishoni nikafaulu lakini nikaenda kulekule nilikopenda tokea mwanzoHaijawahi kuwa kosa kisheria kufahamu wasifu wa kiongozi wa umma , Kitendo cha Mwakyembe kujinadi hadharani kwamba anamiliki degree 4 kimeamsha ari ya wadau kutaka kufahamu zaidi shule alizosoma na alichosomea , yasemekana alianzia kwenye diploma ya uandishi wa habari baada ya matokeo yake kutomruhusu kuingia moja kwa moja chuo kikuu .
Anayelifahamu jambo hili aje na vielelezo .
Ngoja nikuambie kitu.
Kusoma HKL, HGL au PGM,PCM and so hakuwezi kuthibitisha kuwa wewe kichwani hamnazo au la. Huu ulofa upo shule za kata tu ambapo walimu huwachagulia wanafunzi wao combination kulingana na matokeo yao ya form 2. Shule niliyosoma Mimi wengi tu chemistry na physics form two tulipata A au B lakini tukaachana nayo tulipoingia form 3.
[/QUOT] alipomaliza HKL akaunga Diploma maana hakuwa amefanikisha credit mpaka. Baada ya Diploma ndio akaunga chuo. Uko nako mbali na hizo degree zake hakuwa kuwa hata Associate Professor. Imeishia u-lecturer tu
Uprofessor atoe wapi?Wasomi wa Tanzania ni mzigo sana nasikia tu professor fulan ila kinacho toka kwa huyo PhD hasara tupu
Kwa mfano tu
Pr mwakyembe
Pr lipumba
Pr kabudi
No Tundu ni Div 1 ya Iliboru akaenda Galanos HGL akafumua Div 1 kali, akatinga UDSM.
P
Unataka tuweke ufaulu wake hapa. Si utakimbiaTundu Lisu wenu mnayemsifia pia alisoma hiyo hiyo arts hkl, hivyo ni kilaza pia kumlinganisha na Roma?
Nimeshangaa pia.hgl- history, geog, literature
hkl-history, Kiswahili, literature
Tofauti iko wapi kati ya hao wawili?