kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Wewe unazo ngapi mkuu?Roma akili kubwa yule,Sasa waziri anaposema hawezi kuonywa ndio anazidi kudhihirisha kwamba uelewa wake bado mdogo na hizo shahada hazijamsaidia kitu
Ndio maana Jiwe linawashika akili
Jamaa unapotoa haya maoni unawazaga wapiRoma amedanganywa na wanasiasa wabaya tu
Kuwa na GPA kubwa sio guarantee ya kuelemika. Unaweza ukariri na ukafaulu mitihani vizuri tu.Roma arudi shule jamani
Mtu anaefundisha au aliwahi kufundisha chuo sio wa kumfananisha na alieishia darasa la saba jamani huo ni ukweli usiopingika
Mwakyembe alipasua GPA kubwa Bachelor akabakizwa kuwa mwanataaluma UDSM huwezi fananisha na Msanii yeyote hapa nchini
kwani MUSIBA ANA ELIMU GANI?"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?" Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
roma pia ni DEGREE HOLDER WA CIVIL ENGINEERINGRoma arudi shule jamani
Mtu anaefundisha au aliwahi kufundisha chuo sio wa kumfananisha na alieishia darasa la saba jamani huo ni ukweli usiopingika
Mwakyembe alipasua GPA kubwa Bachelor akabakizwa kuwa mwanataaluma UDSM huwezi fananisha na Msanii yeyote hapa nchini
Kwa niaba ya wananchi wa Kyela nachukua nafasi hii kuwaomba radhi sana watanzania wote kwa anayoyafanya mbunge wetu ."Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?" Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
😆😆😆😆Kumbe ukiwa na digrii nne unakuwa na ubavu wa kupiga watu marufuku kufunga ndoa mpaka wawe na vyeti vya kuzaliwa!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Roma amedanganywa na wanasiasa wabaya tu
Imemsaidia niniRoma arudi shule jamani
Mtu anaefundisha au aliwahi kufundisha chuo sio wa kumfananisha na alieishia darasa la saba jamani huo ni ukweli usiopingika
Mwakyembe alipasua GPA kubwa Bachelor akabakizwa kuwa mwanataaluma UDSM huwezi fananisha na Msanii yeyote hapa nchini
Roma arudi shule jamani
Mtu anaefundisha au aliwahi kufundisha chuo sio wa kumfananisha na alieishia darasa la saba jamani huo ni ukweli usiopingika
Mwakyembe alipasua GPA kubwa Bachelor akabakizwa kuwa mwanataaluma UDSM huwezi fananisha na Msanii yeyote hapa nchini
Au kukataza timu kusajili wachezaji wasiochezea timu zao za taifa.Kumbe ukiwa na digrii nne unakuwa na ubavu wa kupiga watu marufuku kufunga ndoa mpaka wawe na vyeti vya kuzaliwa!