Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

MASAMILA,
hahahaha Mwakyembe huyu huyu ama kuna mwingine

huyu aliye kana andiko lake lililo mpa moja ya degree zake (kifupu hatakiwi jitapa kuwa nayo maana alisha ikana)

Mwakyembe akili ndogo sana ambaye hajui hata principle za natural justice (alishindwa msikiliza eddo akakimbilia kuandika ripoti ya kipumbavu)

kifupi Mwakyembe ni mjinga aliye fanikiwa pita shule, ila hakuelimika.

angekuwa na akili pale alipo ondolewa kwenye Katiba na sheria kupewa sanaa alitakiwa ajitafakari ila akili ndogo hadi leo ajielewi kashadharaulika
 
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?" Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
Mi naona hayo ameyatoa kama maoni yake tuu maana kimwonekano hoja yake kiprotokali haina mashiko
 
Wape. Waambie ukweli. Kushabikia ujinga hakujawahi kumtoa mtu. Wasanii wote waliotajirika dunian sio wale waliochanganya siasa na sanaa. Wasanii wote dunian kote waliojaribu kuchanganya siasa na sanaa waliishia kubaya sana.

Sanaa haijawahi kuchanganywa na siasa na ikabaki kuwa sanaa.

Mnavyochangia jaribun kuwa real kwenye reality. Sio kushabikia vitu ambavyo havijawahi kuwa positive hapa dunian.
 
Wanapiga Mabomu Mochwari halafu wanajisifu wameua hapa nimemuelewa sana Roma yaani Wasimamizi wa uchafuzi wa serikali za mitaa/ vitongoji/ vijiji wamewakata wagombea wa upinzani halafu wanakuja kujisifu kwamba wamepita bila kupingwa.
 
Wape. Waambie ukweli. Kushabikia ujinga hakujawahi kumtoa mtu. Wasanii wote waliotajirika dunian sio wale waliochanganya siasa na sanaa. Wasanii wote dunian kote waliojaribu kuchanganya siasa na sanaa waliishia kubaya sana.

Sanaa haijawahi kuchanganywa na siasa na ikabaki kuwa sanaa.

Mnavochangia jaribun kuwa real kwenye reality. Sio kushabikia vitu ambavyo havijawahi kuwa positive hapa dunian.

Mnhh sasa kachanganya siasa kivipi kwani kagombea kura kupitia wimbo wake???mnapendwa kusifiwa tu??? mbona wakati wa Kampeni mnataka wasanii wawasaidie??..hio sio kuchanganya usanii na siasa.?? au tatizo ni pale mkiimbiwa kinyume na matarajio yenu?
 
Unataka kufundisha watu uoga co?
Wape. Waambie ukweli. Kushabikia ujinga hakujawahi kumtoa mtu. Wasanii wote waliotajirika dunian sio wale waliochanganya siasa na sanaa. Wasanii wote dunian kote waliojaribu kuchanganya siasa na sanaa waliishia kubaya sana.

Sanaa haijawahi kuchanganywa na siasa na ikabaki kuwa sanaa.

Mnavochangia jaribun kuwa real kwenye reality. Sio kushabikia vitu ambavyo havijawahi kuwa positive hapa dunian.
 
Na hapa ndo utamheshimu mwenyezi Mungu,
Mwenye elimu akijidai kuandika cv yake usoni ili kila mtu
aione atachafua uso na kuitwa kichaa.
Usomi unadhihirishwa kwa kile unachoifanyia jamii inayokuzunguka
kinyume na hapo mengine ni maneno matupu.
 
Kwa viongozi wetu kama hawa naweza kusema tunakazi kubwa sana,
 
Kwahiyo ndiyo mentality ya Magu sio? Kwamba kwa vile ni PhD holder (hata kama kuna kasoro) hawezi kushauriwa na Majaliwa wala Samia maana hawana hivyo "vyeti' vyake?
Kumbe ndio maana tupo hapa tulipo!
 
Degree nne halafu umeishia kujipendekeza kwa mhalifu mmoja hivi kisa mkono uende kinywani.

Usomi ni kujielewa na kuweza kujitegemea pasipo kuuza utu wako.

Mwakyembe, Kabudi, Polepole na wengineo njaa zenu zimetoka tumboni zikahamia kichwani.
 
Roma aachane na siasa aimbe mambo mengine awamu hii inafanya vema sioni kwa nini kelele za kupinga ziwe nyingi hivyo bila shaka AMENUNULIWA huyo Roma
 
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?" Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
Roma achana na siasa nchi ipo shwari na uongozi imara
 
Kwani kufundisha vyuo vikuu ndo kuwa na akili? aliyesema kaokotwa jalalani hakuwa professor wa chuo kikuu kabla ya kuokotwa?Huyu ahurumiwe tu maana ile sumu bado haijaisha
Aisee ndivyo unavyofikiria
 
Back
Top Bottom