Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Wasomi ni watumwa kwa wanasiasa hiyo elimu yake bure kabisa kama angetaka kuwa mwenye uelewa angebaki huko huko chuoRoma arudi shule jamani
Mtu anaefundisha au aliwahi kufundisha chuo sio wa kumfananisha na alieishia darasa la saba jamani huo ni ukweli usiopingika
Mwakyembe alipasua GPA kubwa Bachelor akabakizwa kuwa mwanataaluma UDSM huwezi fananisha na Msanii yeyote hapa nchini
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?" Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
Kigwangwala naye kila akikosolewa twitter anakuja na utetezi kuwa ana degree nne. Awamu ya wajinga sana hiiEti "nina degree nne"!!
Franco Luambo Makiadi bosi wa TP OK Jazz hata la nne hakumaliza lakini alimpiga dongo kali AG wa Zaire enzi hizo Kengo wa Dondo akamuangushia kibao kinaitwa Tailler (Fundi cherehani). Kengo alimfunga Franco ambaye alitolewa kwa msamaha wa Raisi,katika mwimbo huo Franco alisema "Fundi cherehani tunakuangalia sijui utafanya nini, kwani mwenye sindano yake kaisha ichukua". Hakumtaja jina lakini alipata tabu sana huyo AG kwani kila alipo pita watashi walimwimbia ngoma hiyo baada ya kuondolewa madarakani. Kwa ufupi madaraka yako yasikufanye udharau watu wengine kuna siku utashuka itakuwa soo sana.Mtu anaefundisha au aliwahi kufundisha chuo sio wa kumfananisha na alieishia darasa la saba jamani huo ni ukweli usiopingika
Hakika alichokisema ndicho ccm na viongozi wake wanavyotuchukulia wananchi hapo kwenye wasanii kapatia kipaza sauti."Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?" Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
Mbona wimbo ni full facts.. Wapi kadanganya!!!Roma amedanganywa na wanasiasa wabaya tu
Waimbe zá kusifu tu kama walivyofanya Hármonize, Nandy na Beka flavour.
Inawezekana Roma amenunuliwa ila we umetolewa posa...Roma aachane na siasa aimbe mambo mengine awamu hii inafanya vema sioni kwa nini kelele za kupinga ziwe nyingi hivyo bila shaka AMENUNULIWA huyo Roma
Eti kuwa na degree 4 ndio utakiwi kushauriwa?
Roma degree 1 tu lakini anawahenyesha Phd holder za majalala ajibu hoja zake achaache kuongelea mambo binafsi ata wakina Makonda ni zero lakini kila siku anawaelekeza cha kufanya mawaziri mbona ujamjibu wewe Mwakyembe?.
Kumbe ndio maana nchi kaachiwa magufuli aiendeshe anavyotaka katiba na sheria kaweka pembeni kisa PhD holder
Sijui wazazi wao watakua na digrii ngapi, kama hawataki kukosolewa na wasiokua na digrii, mijitu mingine sijui imetokea wapi. Hao wasio na elimu ndiyo huleta mabadiliko Duniani. Mbona serikali yao inateua mawaziri maprof na maDr na wanakwama wanaanza kulia lia ooooh tumeokotwa matakatakani mara majalalani. Tumbaf kbsKigwangwala naye kila akikosolewa twitter anakuja na utetezi kuwa ana degree nne. Awamu ya wajinga sana hii
Pumbaf Kabisa Mbweha weweRoma arudi shule jamani
Mtu anaefundisha au aliwahi kufundisha chuo sio wa kumfananisha na alieishia darasa la saba jamani huo ni ukweli usiopingika
Mwakyembe alipasua GPA kubwa Bachelor akabakizwa kuwa mwanataaluma UDSM huwezi fananisha na Msanii yeyote hapa nchini
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?" Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
We jamaa umenichekesha sana,hasa nilipomkumbuka mtu fulaniKupona akili baada ya sumu sio rahisi