Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

[QUOhagahahaaaTE="longi mapexa, post: 33484265, member: 306162"]
maajabu msomi wa shahada nne hajui kazi za fasihi katika jamii
[/QUOTE]
 
Kuna mahali hata akina Isaac Newton walikosolewa.
elimu si kigezo cha kutokosolewa, ingekuwa ni hivyo basi wasomi wasingefungwa na washitaki wao wasiosoma, mwambieni ni ujinga kuwa na mawazo ya namna hiyo
 
wewe fala kweli kufauli Gpa kubwa kabaki chuo ndio akili kubwa huyo alikuwa anakalili njoo mtaani ndio utajua wanafanya mambo mkubwa walikimbia kukaa huko utumwani
 
Sasa nimeelwa kumbe hawa watu walio onja sumu na kupona inaelekea ni wabishi sana ! Inaonekana hata mungu amewablock wasiingie kwenye mahakama za mbinguni maana mungu hata akitaka kuya hukumu yaende Motoni yanabisha matokeo yake yatataka kuishi mahabusu ya mbinguni kula vya Bure mpaka Siku ya mwisho Wa dunia kwenye hukumu ya pamoja ndiyo yapatikane na kosa
 
Yaani nyimbo hata wiki haina.
Mapovu yametoka YAKUTOSHA na chenji imerudi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].
Hizo digrii zake ni kama za profwesa LIPUMBA.
 
Kwani Roma kakwambia anataka kuwa msanii mkubwa duniani??
 
Asingesema nisingejua kuwa ana Degree nne.. [emoji16][emoji16][emoji16]

Sasa ajitahidi kuzitumia Degree zake nne tuzione kwa vitendo na siyo mdomoni..

Kama kweli anazo lakini! [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mh.Waziri,kuna mahali ktk katiba yetu panaposema angalau kujuwa na kusoma tu bila ya kujali ukomo wa darasa nakadhalika,unaweza chaguliwa kuwa mbunge,na ukiwa mbunge unaweza chaguliwa kuwa Spika.
Mh.Waziri huenda hujamuelewa Roma au wananchi hawajakuelewa weye kuhusu maandiko yako uliyo yakana ambayo yalikunyanyuwa
Mh Waziri....hakuna atakae ishi milele,tupendane tumuogope Mungu,tumuombe msamaha.
 
Dokta Mwakyembe
Dokta Manyaunyau
Dokta Mwaka
Dokta Shika
Dokta Kupe wa kitaani kwetu
Profesa Maji Marefu.
N.k. n.k
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
King msukuma nae ni std seven tu.
 
Huyo Roma naona amechoka kulala na mkewake..ni mpenda sifa za kijinga

..inaelekea hujausikiliza wimbo wote na kwa umakini.

..Roma amemsifia mtukufu kwa ukusanyaji mapato, ujenzi wa fly over, na amesema mtukufu aombewe.
 
Roma amedanganywa na wanasiasa wabaya tu
Ninakuelewa, pamoja na kwamba sikubaliani na wewe.
Unachomaanisha, ambacho Waziri Harrison George Mwakyembe hawezi kukipinga ni kwamba, Roma Mkatoliki akikengeuka akaimba siasa kwa mtindo wa Harmonize (na sasa Nandy), atasifiwa sana na wale wenye digrii 4 au zaidi.
Roma Mkatoliki hataambiwa kuwa muziki wa siasa haulipi. Badala yake atatunzwa sana na Wanasiasa wenye digrii nyingi na kushawishiwa kugombea ubunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…