Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

Cv ya mwakyembe The great Dr
SalutationHon.
Member picture
1394.jpg
First Name:Dr. Harrison
Middle Name:George
Last Name:Mwakyembe
Member Type:Elected Member
Constituent:Kyela
Political Party:Chama Cha Mapinduzi
Office Location:P.O.Box 9423, Dar Es Salaam
Office Phone:+255 782 242 526
Office E-mail:hmwakyembe@parliament.go.tz
Member Status:Active
Date of Birth10 December 1955
Kituli Primary School - Shinyange
CPEE​
1964​
1968​
Primary School​
Tukuyu Primary School - Rungwe
CPEE​
1961​
1962​
Primary School​
Ndembela Primary School
CPEE​
1963​
1964​
Primary School​
Milambo High School
ACSEE​
1973​
1974​
Secondary School​
Tabora Secondary School
CSEE​
1969​
1972​
Secondary School​
Tanzania School of Journalism
Diploma (Journalism)​
1975​
1977​
Diploma​
University of Dar es Salaam
Bachelor of Laws (LL.B) Hons​
1980​
1983​
Bachelor​
University of Turin - Italy
PostGraduate Certificate in Intellectual Property​
2001​
2001​
Postgraduate Diploma​
University of Dar es Salaam
Master of Laws (LL.M)​
1984​
1986​
Masters Degree​
University of Hamburg (FRG)
Master of Laws (LL.M)​
1990​
1991​
Masters Degree​
University of Hamburg (FRG)
Doctor of Laws​
1992​
1995​
PhD​
Ministry of WorksDeputy Minister
2010​
To Date​
The Parliament of TanzaniaMember - Kyela Constituency
2005​
2015​
Zanzibar GovernmentCommissioner
2001​
2005​
East African CommunityMember of Parliament
2001​
2005​
University of Dar es SalaamHead, Department of Constitutional Admin. Law
1999​
2002​
University of Dar es SalaamSenior Lecturer in Law
1998​
2005​
University of Dar es SalaamHead, Department of International Law
1997​
1999​
South Law Chambwers AdvocatesAdvocates (Hight Court of Tanzania)
1996​
2002​
University of Dar es SalaamLecturer in Law
1991​
1997​
University of Dar es SalaamAssistant Lecturer in Law
1986​
1990​
University of Dar es SalaamTutorial Assistant in Law
1984​
1986​
Tanzania News Agency (SHIHATA)Journalist
1978​
1980​
Information Services DivisionJounalist
1977​
1977​
Chama Cha Mapinduzi - CCMMember - National Executive Committee (NEC)
2006​
2010​
Chama Cha Mapinduzi - CCMYouth Commander - Dar es Salaam
2004​
2009​
Chama Cha Mapinduzi - CCMLaw Advisor
2001​
2005​
Dr. H. Mwakyembe: Tanzania's 8th Constitutional Amendments & Its Implications on Constitutionalism (2000)Democracy & The Union Question, LIT Publishers, Hamburg, Germany.1995










Tunazitambua degree zote 4 bali hoja yetu ni kwamba alitokea kwenye HKL na baadaye diploma ya uandishi wa habari .
 
Watu walikua wakisema yule ni SHIHATA means mmbea...[emoji23][emoji23][emoji23]kumbe Mh. Yupo kwenye fani yake sikujua alipitia uandishi wa habari. Hongera zake.
 
Enzi za akina Mwakyembe chuo kikuu kilikua kimoja nchi nzima , kuingia chuokikuu moja kwa moja ilikua shunguli wakati wa akina roma mkatoliki vyuo kibao shule kibao yeyote anasoma tu akiamua.huwezi linganisha shule enzi ya mwakyembe na enzi ya romamkatoliki.
Chuo kimoja halafu watu wachache kinyama halafu wanasomeshwa mpaka nje bure bila mikopo ya kibaguzi
 
HGL ni tofauti na HKL,fuatilia.


Tofauti pekee ipo kwenye Kiswahili-Geog, lkn haisemi chochote kuhusu IQ ya mtu, anayefaulu hkl atafaulu hgl pia na kinyume chake, na ndo maana wote wanastahili kusoma Sheria, na zote ni arts!
 
Kiburi hicho!! uchaguzi mkuu unakuja tutapeleka kyela hayo!!
 
Lissu ana ufaulu mkubwa sana wa masomo ya sayansi kwa O level


Weka hapa masomo makubwa ya Sayansi aliyofaulu kwa ukubwa, na kwa nini alichagua/pangiwa arts kama alikuwa mzuri kwenye Sayansi? Nijuavyo mimi wengi huenda arts baada ya kuona Sayansi/Hisabati ngumu kwao kuna exception lkn no mara chache sana Mwanafunzi mzuri kwenye Sayansi/Hisabati akachagua/pangiwa arts.
 
Mara nyingi Tundu Lisu amejigamba, tena mbele ya Bunge alisema Majaji wa JMTZ ni vilaza na hawajui Kiingereza wakati hata yeye hajui vizuri pia.
Umeshasema majaji kwani hao ni darasa la saba,halafu kwani uongo kuwa hawajui kiingereza?labda nikukumbushe Jaji mkuu alisema mwenyewe aliwafanyia usaili wahitimu wa uwakili 900 mwaka juzi lakini 100 tu ndio waliweza kutiririka kiingereza hizo ni mada mbili tofauti.
 
Chuo kimoja halafu watu wachache kinyama halafu wanasomeshwa mpaka nje bure bila mikopo ya kibaguzi
Pamoja na uchache huo , ratio ya chuo kimoja nchi nzima ilikua haikidhi haja , ukimaliza form six , jeshi mwaka mmoja , internship miaka miwili ndio uende chuo , kuingia sekondari tu mbinde , shule ya sekondari moja inahudumia si chini ya mikoa mitatu,si kazi ndogo , kipindi cha akina mkatoliki , shule kama unaenda kwenye sherehe.
 
Pamoja na uchache huo , ratio ya chuo kimoja nchi nzima ilikua haikidhi haja , ukimaliza form six , jeshi mwaka mmoja , internship miaka miwili ndio uende chuo , kuingia sekondari tu mbinde , shule ya sekondari moja inahudumia si chini ya mikoa mitatu,si kazi ndogo , kipindi cha akina mkatoliki , shule kama unaenda kwenye sherehe.
Sio kweli mimi nime survive zama zote enzi za mwalimu na saiv ni tofaut sana enz hizo kutokusoma ukiwa na vigezo ni hiari yako tu watu wamesoma sana ulaya bure ila hizi zama zakibepari kusoma ni hela yako tu hata vile vyuo vya mawizara kama ualimu na kilimo sikuiz kupata chance ni mtiti ,jkt enzi hizo watu wanakamatwa kwanguvu sikuhiz mpaka kuhonga kwa ufupi tu nikwamba tumekua wengi kuliko facilities
 
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?"

Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
ANAITWA ROMAAAAAAAAAAAA-HAKUNA WA KUMSTOPISHA
ROMAAA ROMAA-HAKUNA WA KUMNYAMAZISHA

ZAMA ZAMAA-KAZI KUONGEA, ONGEA KISHA YEYE KUONEA KESHOKUTWA KAPTEAAAA
ANAITWA ROMAAAAAAAAAAAA-HAKUNA WA KUMSTOPISHA
ROMAAA ROMAA-HAKUNA WA KUMNYAMAZISHA
 
Dharau ni dharau, kama unadharau watu ambaye mmesoma Chuo kimoja, fani moja na mmehitimu kwa vigezo sawa vilivyowekwa na nchi ni sawa tu na dharau nyingine yoyote ile.

Unawezaje kusema Jaji wa JMTZ hajui kiingereza wakati wote mmepitia njia moja? Kama ni hivyo na yeye hajui pia.

Sasa kusema mtu hajui kiingereza ni dharau? Hao wote ni kweli hawajui kiingereza, hata kiswahili!

Hata wewe binafsi hujui kiingereza, hata kiswahili hicho ulichoandika na unachokiongea hukijui! Na huo ndio ukweli.

Dharau anazifanya huyu mshamba eti hawezi kuambiwa kitu na darasa la saba kwa kuwa ana madigrii ya upupu manne... sh£n$& typ€ kabisa!
 
Roma katupa Jiwe Gizani Kwa kupitia fasihi kama tawi la sanaa[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]

Kilicho cha Haki kitafika tu kwa mlengwa hata akiwa nyuma ya dunia...
Akiki kubwa ama ni matope
 
Roma arudi shule jamani

Mtu anaefundisha au aliwahi kufundisha chuo sio wa kumfananisha na alieishia darasa la saba jamani huo ni ukweli usiopingika

Mwakyembe alipasua GPA kubwa Bachelor akabakizwa kuwa mwanataaluma UDSM huwezi fananisha na Msanii yeyote hapa nchini
Na BASHITE je?
 
Wana UDSM wanazidi kujidhalilisha.

Huyu ni wa JALALANI kabisa
 
Sifa za mtu mwenye kuelewa na kusimamia maadili ni unyenyekevu na utu (humility, humbleness). Kutokuwa na kujigamba au kujipandisha kwa kuwa na kipato au elimu sanifu.
Huwezi kuwa na humility kwa mtu ambaye hajitambui. Wasanii wetu sehemu kubwa, hawajitambui kabisa. Hata mitaani wanaamini wao ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi hii. mItaani ni watu wa kufanya ´vituko wakiamini wana immunity. Njia pekee ya kuwaonesha kwamba siyo muhimu kiasi hicho, ni kuwapa maneno kama hayo ya mwakyembe.

Wengi shule iligoma. Mwakyembe muziki haukuwahi kugoma maana hakuwahi kuujaribu. Wakishajua hilo, they will come down to earth! Tusiwape vichwa.
 
Back
Top Bottom