Magnesium
JF-Expert Member
- Nov 9, 2014
- 317
- 185
Msanii anayefanya muziki wa Hip Hop kiharakati zaidi, Roma Mkatoliki kaamua kuwafungukia mastaa wenye tabia ya kuomboleza misiba kupitia account zao za Instagram pekee bila kushiriki msiba.
Roma amefunguka hayo kufuatia msiba wa mwanzilishi wa kundi la Tip Top Connection ambaye pia ni kaka yake Babu Tale, Abdul Bonge ambapo Roma amehoji baadhi ya maswali.. Yasome hapo chini:
Yupi bora kati ya;
1. ANAEFIKA NYUMBA/ENEO LA MSIBA HARAKA BILA KUPOST INSTAGRAM!! 2.ANAEWAPIGIA SIMU WAFIWA AMA KUWATUMIA UJUMBE WA POLE WAFIWA KWA NJIA YA TXT YA KAWAIDA AU WHATSSAP
BILA KUPOST INSTAGRAM!! 3.AMBAYE ANAPOST INSTAGRAM KUHUSU MSIBA NA KISHA KUENDELEA NA SHUGHULI ZAKE BILA HATA KUSHIRIKI MSIBANI WALA KUWASOGELEA WAFIWA!! NB: #INSTAGRAM ISITUHARIBU
#AKILI #NGUVU #UWEZO#MAARIFA
#UTU #AMANI #UPENDO#HESHIMA
#THAMANI
#INSTAGRAM tumeijua juzi tu isitutawale kiasi kwamba iwe ndio inaendesha maisha yetu katika kila jambo!! Kuchunguza nani kapost na nani hajapost!!Mashabiki msiwakwaze wasanii na wasanii msiwakwaze mashabiki wenu!!
Kwani kabla instagram haijafika tuliishije!!?? #Pole kwa #familia ya #TIPTOP
cc Babutale @dj_kwame madeeali kassimmganga tundamantz
#WE_FEEL_YO '_PAIN_HOMIES
Roma amefunguka hayo kufuatia msiba wa mwanzilishi wa kundi la Tip Top Connection ambaye pia ni kaka yake Babu Tale, Abdul Bonge ambapo Roma amehoji baadhi ya maswali.. Yasome hapo chini:
Yupi bora kati ya;
1. ANAEFIKA NYUMBA/ENEO LA MSIBA HARAKA BILA KUPOST INSTAGRAM!! 2.ANAEWAPIGIA SIMU WAFIWA AMA KUWATUMIA UJUMBE WA POLE WAFIWA KWA NJIA YA TXT YA KAWAIDA AU WHATSSAP
BILA KUPOST INSTAGRAM!! 3.AMBAYE ANAPOST INSTAGRAM KUHUSU MSIBA NA KISHA KUENDELEA NA SHUGHULI ZAKE BILA HATA KUSHIRIKI MSIBANI WALA KUWASOGELEA WAFIWA!! NB: #INSTAGRAM ISITUHARIBU
#AKILI #NGUVU #UWEZO#MAARIFA
#UTU #AMANI #UPENDO#HESHIMA
#THAMANI
#INSTAGRAM tumeijua juzi tu isitutawale kiasi kwamba iwe ndio inaendesha maisha yetu katika kila jambo!! Kuchunguza nani kapost na nani hajapost!!Mashabiki msiwakwaze wasanii na wasanii msiwakwaze mashabiki wenu!!
Kwani kabla instagram haijafika tuliishije!!?? #Pole kwa #familia ya #TIPTOP
cc Babutale @dj_kwame madeeali kassimmganga tundamantz
#WE_FEEL_YO '_PAIN_HOMIES
Last edited by a moderator: