Roma Mkatoliki ni nani?

Roma aliishia 2015.....

Roma siku hizi anaimba matusi tu....! Ndo nachojua
 
Alikuwa ni mwisilam akadili jina kutoka mussa had adwad baada ya kuingia kwenye ukatorik
Haya tena wewe umekuja na majina mapya ambayo hata hayakutajwa mwanzo...huyu kiumbe ana majina mangapi?
 

Maswali ya kitoto kama haya peleka kule facebook na instagram. Kule kuna dot.com kibao watakujibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…