Roma Mkatoliki sasa ameamua kuokoka...anaimba nyimbo za dini

Roma Mkatoliki sasa ameamua kuokoka...anaimba nyimbo za dini

Ningekuwa Roma mkatoliki ningechukua familia ningeenda ubalozi wa Marekani kuomba ukimbizi..wanampa kwa kuwa hakuna MTU asiyejua alitekwa na kutishiwa maisha..MTU anayejuana nae ampe Roma huu mchongo...maana kwenye hiphop kuna kitu kinaitwa street credibility ameshaipoteza alivyoshindwa kuwataja waliomteka kwenye ile press....hiphop career yake ilifia pale
 
inaonekana yamemkuta makubwa mpk na Mungu amekumbukwa
hawa jamaa uwasikie tu hivyo hivyo ,.
Itakuwa kuna kiungo wamekitia kasoro maana baada kuwa output wakakageuza kainput ,.
 
Binadam mbaya sana marahii hata huyu kijana alie mstar wambele kuutetea upinzan miaka yake yote mnamtendea namna hii inaogopesha sana.kama je walimdhalilisha kingono mlitaka aje aseme kua aliingiliwa jaman hakuna mwenye ujasir huo.hivo msingemfanyia haya mnayomfanyia kila mwenye uwezo wakuusaidia upizan akiliona hili hawez kuthubutu hata kidogo maana unapendwa dakika moja baada yahapo unaonekana uwozo.da kwel dunia hadaa
Hivi muunganiko wa hichi kilichopostiwa hapa na upinzani ni nini au akili zangu nyembamba hazielewi misemo?
 
Baaada ya kumjua roma nimpinzan au ni mtawala hapo kuna kitu utaelewa napia baada yakujua hawa wanaomkashifu roma niwakinanan na walikua wanataka roma aongee nini nakwann wamemchukia kwakile alichoongea hapo utapata picha tunaongea nn lakin kwaakili ya kawaida kamwe hiwezi kuelewa hii mision wataelewa wale2 wanaoujua huu mchezo ulipotokea mpaka hapa ulipo nawap unaelekea.endelea kuufatilia usipoelewa hutakaa ukaelewa.
 
Back
Top Bottom