ROMA Mkatoliki unaogopa? Mbona hutoi wimbo kuhusu hali ya sasa?

Msaani maarufu wa Hip Hop nchini Tanzania anayejulikana kama ROMA Mkatoliki kwa hali ya kisiasa ilivyo sasa sio kawaida yake kukaa kimya maana huwa lazima atie neno yani aachie angalau kawimbo juu ya yanayoendelea maana katika moja ya mashairi yake kwenye nyimbo zake anasema "mimi ni mtetezi wa wanyonge". Swali je upo chimbo au ndo umeshaingiwa na uwoga juu tasnia ya habari na vyombo vyake hasa kiongozi mfano wa Nape kutumbuliwa kisa kasema ukweli? VIVA ROMA VIVA
 
Labda ageuze Yale mashairi aliyokuwa anaimba awamu iliyopita..yaani nyimbo zake azigeuzie bia angani..maana haya mabadiliko ndio aliyokuwa akiyaimba na tulimuunga mkono kwelikweli
 
Labda ageuze Yale mashairi aliyokuwa anaimba awamu iliyopita..yaani nyimbo zake azigeuzie bia angani..maana haya mabadiliko ndio aliyokuwa akiyaimba na tulimuunga mkono kwelikweli
Mabadiliko ya kuvamia clouds fm na bunduki na kumtimua kazi waziri aliyebaini uvamizi wa kituo cha habari kwa bunduki??
 
Unacheza na 7M[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] kwa usawa huu wa mkulu
 
Then familia yake ataleta kwako uitunze?[emoji23] [emoji23]
Acha kuwaponza wenzio
 
Roma mbna kimya. Huoni mwenzio kapata zari la mentali. Fanya mpango na wewe utupie vitu uitwe mjengon. Usije ukazidiwa hta ma Wagosi wa Kya.
 
Ila vijana muwe waangalifu. Msimchukulie poa rais na taasisi yake. You have no idea what they are capable of.
 
Mbona ww hautoi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…