Roma Mkatoliki usiposema ukweli kesho, wakatoliki halisi tutausema Jumanne

Status
Not open for further replies.
Njoo jamani
Tuko tayari kukukopesha bundle
 
Nina uhakika kabisa huu mjadala hata Bashite na Ngosha wanaufuatilia hapa JF sasa hivi kimya kimya huku kijasho chembamba kikiwatoka....
Maana Kuna mtu ameamua kumwaga Mboga na Ugali hapo hapo....

Usishangae ile Saver ya JF ikivamiwa ghafla muda sio mrefu
 
Some few minutes to come JF (NOC) itavamiwa sasa hivi na watachukua server zote ...

Tomito funguka fasta tufanye buck up mapema ...
 
Kila asemaye ukweli ni yule atandaye yaliyo haki mbele za Mungu.
 
Siti ya mbele kabisaa macho kodoo sim 98% charged nasubiri ukweli tomito weka nondo haraka haraka sevar watakuja na mitutuu apo mzeyaaaaa
 
Mkuu tomato it's now or never, shusha Nondo mkuu. Anything can happen tukaukosa ukweli! Do it now hii nchi saiv hata haitabiliki kabsaa[emoji848][emoji848]
 
Una maana hatutapata tena muendelezo wa hii picha!!??
 
Sasa kama ni uongo ya nini apotezewe wadhifa kwa kitu cha uongo? Mnafichaga wapi uwezo wenu wa kufikiri?
 
Tehehehe nakugawa bure kwa Bashite.
 

Heheeeee mmeshaanza kuvuana nguo na kulana nyama???

Popcorn na Pepsi please
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…