Roma: Mwanaume kuoga mwisho mara mbili

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598

STAA namba moja katika Hip Hop kwa sasa nchini, anayetamba na kibao na video yake ya Zimbabwe, Ibrahimu Musa a.k.a Roma Mkatoliki, amesema licha ya usafi kuwa ni muhimu, lakini mtoto wa kiume anastahili kuoga angalau mara mbili tu kwa siku.

Akipiga stori na Risasi Vibes, Roma alisema anapenda kuwaona vijana watanashati, lakini linapokuja suala la kuoga, kama ni lazima, basi angalau aoge mwisho mara mbili kwa siku, vinginevyo, inaleta ukakasi na kuondoa tabia za kiume.

“Kusema ukweli mwanaume kuoga angalau iwe mara mbili tu kwa siku, si vema mtoto wa kiume unaoga kutwa mara nne au tano, inaleta ukakasi na kwa upande wangu huwa namtazama mwanaume wa aina hiyo kwa jicho lenye maswali mengi ndani yake,” alisema.


Muungwana
 
Kwa hiyo suppose umeoga asubuhi, mchana ukapata gemu ya kut**ba, ukaoga gest. Then ukaendelea na mishe mishe. Inamaana ucku wakati wa kulala nisioge!!?
 
Nilienda Rombo bana..nilioga mara moja baadaa ya siku tatu....dar najitahid napiga 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…