Roma: Mwanaume kuoga mwisho mara mbili

Roma: Mwanaume kuoga mwisho mara mbili

Kwa hiyo suppose umeoga asubuhi, mchana ukapata gemu ya kut**ba, ukaoga gest. Then ukaendelea na mishe mishe. Inamaana ucku wakati wa kulala nisioge!!?
Huku kaskazini kuoga ni x2 tu kwa wiki ikienda sana tatu. Kumbe wako wanaume wanaooga x2 kwa siku, wakat sisi iyo moja tu yenyewe inatushinda, uoge kila siku na dada ako naye afanyeje?
 
Issue ni kwanini unaoga. Kama unasababu unaweza kuoga hata mara tatu.
 
Ukiona mwanaume anaoga Mara 3 kwa siku report haraka Sana kituo kilicho karibu na wewe , huyo ni punga
 
Acha upoyoyo wewe!!! Sio kila mada JF unaichukulia serious!!!

Btw, hivi wewe ni Ke au Me?! I thought you're ME! Kama ME, how come unasema hujakutana na mwanaume anayeoga mara kwa mara?! Hujakutana nae wapi?!

Kama ni KE, then and good
Povu jingi.

Don't raise your voice improve your argument punk as.s

Wewe bado mvulana mdogo, Unashindwa kujiuliza Roma alietoa mada ameona wapi wanaume wanaoga zaidi ya Mara moja. Je yeye anahitaji kuulizwa jinsi yake Kama ni Ke ama Me?.

Kuna uhusiano gani wa kujadili swala hili na jinsi ya MTU, Akiwa Me ama ke? Manake unaropokwa na povu LA Omo.

Kuoga ni sehemu ya usafi wa mwili.
Unless Una tafsiri nyingine ya kuoga.



Kua na mke haiwezi kua sababu ya kuoga Mara kwa Mara. Ukikua utajua zaidi.
Save your energy
Na log off.
 
Kuoga mara mbili ni sawa asubui kwenda mishe, jioni kurudi mishe
 
Povu jingi.

Don't raise your voice improve your argument punk as.s

Wewe bado mvulana mdogo, Unashindwa kujiuliza Roma alietoa mada ameona wapi wanaume wanaoga zaidi ya Mara moja. Je yeye anahitaji kuulizwa jinsi yake Kama ni Ke ama Me?.

Kuna uhusiano gani wa kujadili swala hili na jinsi ya MTU, Akiwa Me ama ke? Manake unaropokwa na povu LA Omo.

Kuoga ni sehemu ya usafi wa mwili.
Unless Una tafsiri nyingine ya kuoga.



Kua na mke haiwezi kua sababu ya kuoga Mara kwa Mara. Ukikua utajua zaidi.
Save your energy
Na log off.
Jibu swali we boyaa! We mwanaume au mwanamke?! Kama ni mwanaume; ni wapi huko unakotaka kukutana na wanaume wanaoogza zaidi?! Mburula ju'ha mkubwa wewe!!!

Mtoto kiume unaongea kama shoga; boya wewe!!!
 
Hvi kuna wanaume wanaoga mar mbili kwa siku?
Darisilama buana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jibu swali we boyaa! We mwanaume au mwanamke?! Kama ni mwanaume; ni wapi huko unakotaka kukutana na wanaume wanaoogza zaidi?! Mburula ju'ha mkubwa wewe!!!

Mtoto kiume unaongea kama shoga; boya wewe!!!
Wewe ni incapable. Hua sijibu maswali ya kipumbavu ya kitineja Kama hilo.

Ungekua smart ulipaswa ku-admit kua nimekuumbua. .ila bado Utoto unakuendesha Sana. Na unavyoropokwa ndivyo unavyonithibitishia kua wewe ni zwazwa kabisa. Hujui kujenga hoja na ukizidiwa unatukana. Asante kwa keyboard.
Nina uhakika numb nut kama wewe ungekua karibu yangu usingethubutu kutapikwa omo regardless of your corky stupid a.ss

Acha kufuatilia maisha ya watu wanavyoishi.
Pambana na hali yako kijana.

Loser[emoji107]
 
Aisee mimi siwezi kuvumilia jasho kwa kweli.

Huo ni ugumu wa kishamba .

Kuwa Me hakukupi tiketi ya kuwa mchafu mchafu.

Jitahidini aisee mjipende.
Umenena vyema mkuu,eti hapa wanaangalia u gumu. ...wakati ni uchafu na ujinga
 
Wewe ni incapable. Hua sijibu maswali ya kipumbavu ya kitineja Kama hilo.

Ungekua smart ulipaswa ku-admit kua nimekuumbua. .ila bado Utoto unakuendesha Sana. Na unavyoropokwa ndivyo unavyonithibitishia kua wewe ni zwazwa kabisa. Hujui kujenga hoja na ukizidiwa unatukana. Asante kwa keyboard.
Nina uhakika numb nut kama wewe ungekua karibu yangu usingethubutu kutapikwa omo regardless of your corky stupid a.ss

Acha kufuatilia maisha ya watu wanavyoishi.
Pambana na hali yako kijana.

Loser[emoji107]
Dadangu mbona mapovu?! Mtoto wa kike kuwa na matusi sio poa bhana!!!!

Btw, wapi nimesema mimi smart! Au bado unaweweseka na nondo nilizokushushia kwenye uzi wa Kiba na Vevo kiasi cha kukuonesha ni namna gani ulivyo beauty with no brain!!!

Halafu, nijibu basi swali langu la msingi!!! Ni wapi huko ambako hujakutana na wanaume wanaooga zaidi ya mara mbili?! Relax baby, kisha nipo ujibu manake usipofanya hivyo utaendeleza tabia zako za matusi kitu ambacho sio poa kwa mtoto wa kike!!!

Eti umeniumbua?! Kivipi? Sio umejiumbua mwenyewe kwa kuweka wazi jinsia yako halisi?!

And, ni nani ameanza kutukana kama sio wewe dada Trace baada ya kuweka wazi your beauty with no brain kuhusu PhD?! Nimekuuliza maswali na yote umeshindwa kujibu na kuishia kutukana!
 
Dadangu mbona mapovu?! Mtoto wa kike kuwa na matusi sio poa bhana!!!!

Btw, wapi nimesema mimi smart! Au bado unaweweseka na nondo nilizokushushia kwenye uzi wa Kiba na Vevo kiasi cha kukuonesha ni namna gani ulivyo beauty with no brain!!!

Halafu, nijibu basi swali langu la msingi!!! Ni wapi huko ambako hujakutana na wanaume wanaooga zaidi ya mara mbili?! Relax baby, kisha nipo ujibu manake usipofanya hivyo utaendeleza tabia zako za matusi kitu ambacho sio poa kwa mtoto wa kike!!!

Eti umeniumbua?! Kivipi? Sio umejiumbua mwenyewe kwa kuweka wazi jinsia yako halisi?!

And, ni nani ameanza kutukana kama sio wewe dada Trace baada ya kuweka wazi your beauty with no brain kuhusu PhD?! Nimekuuliza maswali na yote umeshindwa kujibu na kuishia kutukana!

Blah blah blah blah

Wewe ni Mpumbavu.

Am out.
 
Back
Top Bottom