Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Roma alijiteka na wahuni wenzake next week wanatoa wimbo mpya na video jinsi alivyojiteka ovaaaaaaaaaaa
 
Duuh pumzi imeshuka bashite we kubwa la maadui kweli kabla ya jumapili lahaula [emoji122]
 
Bavicha bhana wamejazana kwenye huu uzi wakidhani ROMA alikuwa osterbay polisi. Roma kapatikana na kupelekwa kituo cha polisi Osterbay......
Roma hawezi akawa alitekwa na serikali maana hana cha kuitisha au kuzuia serikali....
Roma angekuwa yuko polisi wangelisema kama ilivyokuwa kwa Nay lakini kwakuwa mlishaaamua kumchukia mtu fulani basi mna msingizia kila jambo.
 
Nasubilia kwa hamu kuipata full story, maana mpaka Mond kafungukia hili swala, na pengine wamehofu kuwa ishu itakuwa kubwa sana wakimpoteza, ndio maana wamecheza bongo movie.
Akina Diamond na Babu Tale wamekula mpunga mrefu japo movie yenyewe wameikosea sana, Nchi hii kila kitu ni Dili, mkasa huu Wajanja wamepiga pesa, hata watekaji wamepiga pesa, inashangaza Daud Bashite kutumia pesa za Umma kutengeneza sinema feki.
 
Ili kuiunga Mkono serikali hii ya Magufuli (siongelei Chama), inahitajika uwe na mojawapo kati ya haya mambo matatu au yote; mahaba-niue kwa Magufuli/Bashite yaani wewe huambiwi-husikii chochote negative kuhusu Magufuli/Bashite yaani umejifyatua akili AU una maslahi binafsi ya kiuchumi na utawala(sio uongozi) huu AU unaendekeza ukabila/ukanda
Kama cocochan... Maana amejifyatua jumla
 
Bavicha bhana wamejazana kwenye huu uzi wakidhani ROMA alikuwa osterbay polisi. Roma kapatikana na kupelekwa kituo cha polisi Osterbay......
Roma hawezi akawa alitekwa na serikali maana hana cha kuitisha au kuzuia serikali....
Roma angekuwa yuko polisi wangelisema kama ilivyokuwa kwa Nay lakini kwakuwa mlishaaamua kumchukia mtu fulani basi mna msingizia kila jambo.

Jana Makonda alisema kabla ya jumapili Roma na wenzake watakua wamepatikana.
 
Back
Top Bottom