Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikitiko langu ni Kwa Wale wenzangu na mie ambao hata kwa Mwenyekiti wa Mtaa hatujulikani, je ukitekwa nani atajua umefanyiwa nini au umepotea? Mungu Aingilie kati Ujinga unaofanywa na Dikteta Uchwara huyu amuumbue.Duh! Mods wamebadili nilichoandika! Wakuu kama hamtaki tuonyeshe hasira zetu dhidi ya huyu dikteta uchwara basi mtwambie nini hatutakiwi kuandika humu.
Wewe mod uliyefuta nilichoandika sidhani kama Roma angekuwa nduguyo ungeona kasoro yoyote ile kwa kile nilichoandika.
Ni lazima Watanzania tuwe kitu kimoja ili kumpinga huyu ShilawaDU na Serikali yake dhalimu jinsi huu uhuni anaoufanya dhidi ya raia wasiokuwa na hatia yoyote. Kama hataki kukosolewa ajiuzulu au afuate katiba ya nchi badala ya kuongoza nchi kama nduli Idi Amin.
[emoji106]Michezo ya hatari hasa ya Kimafia naijua na naifuatilia sana katika ' Sinema ' mbalimbali hivyo nilichokisema ni sehemu yangu ya msaada mkubwa tu Kwake na isitoshe sijamtuhumu yoyote juu ya kukamatwa Kwake bali nimemshauri tu tafadhali.
Amii forum= Jamii forumAmii forum imeandika wapi kuwa bashite ndio anamshikilia?
Au hujui kuwa JF ni nini?
Ni hizi skin tight ndiyo zinawatoa ujasiri wanaume wa Dar kila wakimuona Bashite![]()
Alikuwa wapi?Amepatikana
mnaanza ujinga ujinga!!
Leo Mbowe aseme Roma atapatikana kabla ya Jumatatu kwa maana ya kesho,akapatikana kweli hiyo kesho basi yeye atakuwa anahusika!Kwahiyo leo Mbowe akisema Ben atapatikana, inamaana yeye ndie atakuwa kamshika au ni hizo posho mnazopewa na nyie?
Alikuwa wapi?Amepatikana
mnaanza ujinga ujinga!!
Ili jambo mungu hausiki.maana ni mipango.kumshukuru mungu ni kama kumkejeli.wakati hyo ni movie.Jambo la kwanza ni kumshukuru Mungu ...
Halafu pili tunasema hivi watanzania hatuchezewi akili na Mungu anaona
Makonda Bashite kaogopa kisomo cha mashehe ndipo kamtoa haraka.
Raund hii mtatetea hadi mkipigwa dole.Bavicha bhana wamejazana kwenye huu uzi wakidhani ROMA alikuwa osterbay polisi. Roma kapatikana na kupelekwa kituo cha polisi Osterbay......
Roma hawezi akawa alitekwa na serikali maana hana cha kuitisha au kuzuia serikali....
Roma angekuwa yuko polisi wangelisema kama ilivyokuwa kwa Nay lakini kwakuwa mlishaaamua kumchukia mtu fulani basi mna msingizia kila jambo.
Haimgeukii ni yakeMbona kama hii ishu kama inamgeukia bashite?