Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

polisi walitamka hawa tambui utekwaji wala kuwepo kituo chochote sasa kapatikana ostabey polisi.huko kafata nini...? au kajisarimisha
 
FB_IMG_1490989477214.jpg
 
#KAMA NI [HASHTAG]#BASHITE[/HASHTAG] KWELI AMEHUSIKA [HASHTAG]#BASI[/HASHTAG] TUKUTANE JUMAPILI PALE KANISANI KWA [HASHTAG]#GWAJIMA[/HASHTAG] MANA ATAKUWA ANAFAHAMU UKWELI KAMA WA KUVAMIWA KITUO CHA REDIO
 
Msanii Roma Mkatoliki anadaiwa kupatikana na yupo Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar.

Habari ya akina Roma kupatikana imethibitishwa na Mkurugenzi wa Tongwe Records J. Mada.

Taarifa zaidi zinafuata..

View attachment 492792
View attachment 492791
Roma kapatikana na vip wengine maana wapo wengi bado hao watatu maana tusijifanye tuna mkumbuka race ma utadhan alitekwa pekeyake
 
Kama amepatikana ni vizuri kwasababu maswali yamukua mengi mno.
 
Bashite alitafuta namna ya kupunguza watu watakaofuatilia mkutano wa Nape. Ni vita ya chini kwa chini hii.
 
Back
Top Bottom