ROMA ni Msanii wa ovyo. Aambiwe maua wanapewa wanawake

ROMA ni Msanii wa ovyo. Aambiwe maua wanapewa wanawake

Hilo andazi analichagua wapi? Ndio maana nasema roma na washabiki wake wote ni wapumbavu
Wewe unayekasirika kisa wimbo ambao haukufaidishi kwa chochote ndiye mpumbavu.

Kila mtu anachagua awe mpumbavu kwa angle ipi, wewe umechagua kuwa mpumbavu kwa namna hiyo, acha na mashabiki wake wawe wapumbavu kwa namna yao
 
Hayo ni mawazo yako sio lazima tufanane...mie namwelewa
Huwa najiuliza kuna mtu anapenda muziki anaofanya Roma? Sijawahi kumuelewa hata siku moja, nyimbo zake nyingi huwa ni kama risala, Hakuna flow nzuri, mistari migumu meusi wala melodies za kueleweka.

Roma mara kadhaa amekua akitumia beef na wasanii wengine kama kiki kwake, lakini wasanii wengi wamekua wakimpuuza.

Media zimekua zikimpa sana attention lakini hamna kitu, Kuna wasanii wengi wazuri sana wenye flow nzuri na mistari migumu kabisa ya hiphop hawapati attention

Roma anasema ikiwekwa ccm na andazi anachagua andazi. Hivi kweli mtu mwenye akili anaweza kuimba kitu Kama hiki? How andazi linaweza kuwekwa kwenye ballot paper? Huwa naona hii mifano inatolewa na Watoto au watu wazima wenye utoto, ni kama zamani tulipokua watoto tunatembea tunatoleana mifano ikitokea likadondoka kontena la hela hapa tunagawana vipi.

Hizi nyimbo za Roma ni ngumu sana kudumu, ni nyimbo ambazo ukisikiliza Leo kesho hutamani tena kusikiliza.
View attachment 2593145
Roma ni msanii na ni mwanaharakati, uwanaharakati unaweza ukawakilishwa kwa njia nyingi Kama hii moja wapo ya mziki. Kama wewe Countrywide humuelewi Roma na unawaelewa kina Kondeboy, Zuchu na the likes, wapo wanaomuelewea Roma kama Mimi na Mrs Lissu
 
Roma ni msanii mkali ila nyimbo zake are getting generic, nyingi zinafanana sana, and can't stand the test of time maana ni nyimbo za matukio.

Nyimbo zake kama mtoto wa kigogo, usimsahau mchizi na mkombozi are my favourite.
 
Maua huwa yanawekwa kwenye makaburi mtu akifa. Sasa huyu jamaa anaomba Yale maua ambayo mtayaweka kwenye kaburi lake apewe mapema Ili ayafaidi kuliko mumpe akiwa amekufa . Ule wimbo nimeuona na ni mzuri. Ukiona kazi ya fasihi huielewi ujue haikuhusu huenda inataka wenye uelewa na mlengo Fulani wa maisha.
 
Wewe mwehu kuna kupindi nchi hii kiliwekwa kivuli kipigiwe kura unalijua hilo. Na kuna watu walipigia kura kivuli wakaacha picha ya Mwinyi mzee.

Ulivo mpuuzi hata lugha ya picha hujuihalafu unajifanya kuchambua mziki.
 
Huwa najiuliza kuna mtu anapenda muziki anaofanya Roma? Sijawahi kumuelewa hata siku moja, nyimbo zake nyingi huwa ni kama risala, Hakuna flow nzuri, mistari migumu meusi wala melodies za kueleweka.

Roma mara kadhaa amekua akitumia beef na wasanii wengine kama kiki kwake, lakini wasanii wengi wamekua wakimpuuza.

Media zimekua zikimpa sana attention lakini hamna kitu, Kuna wasanii wengi wazuri sana wenye flow nzuri na mistari migumu kabisa ya hiphop hawapati attention

Roma anasema ikiwekwa ccm na andazi anachagua andazi. Hivi kweli mtu mwenye akili anaweza kuimba kitu Kama hiki? How andazi linaweza kuwekwa kwenye ballot paper? Huwa naona hii mifano inatolewa na Watoto au watu wazima wenye utoto, ni kama zamani tulipokua watoto tunatembea tunatoleana mifano ikitokea likadondoka kontena la hela hapa tunagawana vipi.

Hizi nyimbo za Roma ni ngumu sana kudumu, ni nyimbo ambazo ukisikiliza Leo kesho hutamani tena kusikiliza.
View attachment 2593145
Ngumu sana Kwa asiye mwanafasihi kumuelewa Roma

We tulia tu ufupi na upungufu wa fasihi
 
Kitu pekee nilicho note kwenye bandilo lako ni kwamba wewe ni mzee wa kujikomba komba a.k a... mlamba asali wa ccm( chama cha malimbukeni)
 
Yani katika wasanii wote bongo Roma ni my favorite artist….[emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253]
Wewe ni miongoni mwa wanawake wachache sana mnaojitambua kwenye nchi hii.

Una hoja unapaswa kusikilizwa..... [emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Back
Top Bottom