Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baba zurii kavurugwaa vibayaa, yaan ustawi wa jamii anazungushwa kila leo, hasira anapeleka kwa kipenzii chetuu ROMA.
amuachee Mr mathematics kabisaa.
Wewe unayekasirika kisa wimbo ambao haukufaidishi kwa chochote ndiye mpumbavu.Hilo andazi analichagua wapi? Ndio maana nasema roma na washabiki wake wote ni wapumbavu
Hayo ni mawazo yako sio lazima tufanane...mie namwelewa
Roma ni msanii na ni mwanaharakati, uwanaharakati unaweza ukawakilishwa kwa njia nyingi Kama hii moja wapo ya mziki. Kama wewe Countrywide humuelewi Roma na unawaelewa kina Kondeboy, Zuchu na the likes, wapo wanaomuelewea Roma kama Mimi na Mrs LissuHuwa najiuliza kuna mtu anapenda muziki anaofanya Roma? Sijawahi kumuelewa hata siku moja, nyimbo zake nyingi huwa ni kama risala, Hakuna flow nzuri, mistari migumu meusi wala melodies za kueleweka.
Roma mara kadhaa amekua akitumia beef na wasanii wengine kama kiki kwake, lakini wasanii wengi wamekua wakimpuuza.
Media zimekua zikimpa sana attention lakini hamna kitu, Kuna wasanii wengi wazuri sana wenye flow nzuri na mistari migumu kabisa ya hiphop hawapati attention
Roma anasema ikiwekwa ccm na andazi anachagua andazi. Hivi kweli mtu mwenye akili anaweza kuimba kitu Kama hiki? How andazi linaweza kuwekwa kwenye ballot paper? Huwa naona hii mifano inatolewa na Watoto au watu wazima wenye utoto, ni kama zamani tulipokua watoto tunatembea tunatoleana mifano ikitokea likadondoka kontena la hela hapa tunagawana vipi.
Hizi nyimbo za Roma ni ngumu sana kudumu, ni nyimbo ambazo ukisikiliza Leo kesho hutamani tena kusikiliza.
View attachment 2593145
Countrywide ana ubaridiRoma ni msanii na ni mwanaharakati, uwanaharakati unaweza ukawakilishwa kwa njia nyingi Kama hii moja wapo ya mziki. Kama wewe Countrywide humuelewi Roma na unawaelewa kina Kondeboy, Zuchu na the likes, wapo wanaomuelewea Roma kama Mimi na Mrs Lissu
Ngumu sana Kwa asiye mwanafasihi kumuelewa RomaHuwa najiuliza kuna mtu anapenda muziki anaofanya Roma? Sijawahi kumuelewa hata siku moja, nyimbo zake nyingi huwa ni kama risala, Hakuna flow nzuri, mistari migumu meusi wala melodies za kueleweka.
Roma mara kadhaa amekua akitumia beef na wasanii wengine kama kiki kwake, lakini wasanii wengi wamekua wakimpuuza.
Media zimekua zikimpa sana attention lakini hamna kitu, Kuna wasanii wengi wazuri sana wenye flow nzuri na mistari migumu kabisa ya hiphop hawapati attention
Roma anasema ikiwekwa ccm na andazi anachagua andazi. Hivi kweli mtu mwenye akili anaweza kuimba kitu Kama hiki? How andazi linaweza kuwekwa kwenye ballot paper? Huwa naona hii mifano inatolewa na Watoto au watu wazima wenye utoto, ni kama zamani tulipokua watoto tunatembea tunatoleana mifano ikitokea likadondoka kontena la hela hapa tunagawana vipi.
Hizi nyimbo za Roma ni ngumu sana kudumu, ni nyimbo ambazo ukisikiliza Leo kesho hutamani tena kusikiliza.
View attachment 2593145
Wewe ni miongoni mwa wanawake wachache sana mnaojitambua kwenye nchi hii.Yani katika wasanii wote bongo Roma ni my favorite artist….[emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253]
Aisee! Ametumia Risasi kuua Nzi! Hayo ni matumizi mabaya ya Silaha! Anyang'anywe bunduki apewe Fimbo.Punguza hasira mkuu, huyu mleta mada ni chawa tu haitaji kutumia risasi....😂
Ndivyo unavyoelewa hivyo!?Kwa hiyo anataka kupewa maua ya jeneza akiwa hai?
Bas sema hospital uliyopo tuje kupima vichochoUnataka kila mtu awe mhasibu? Nani atatibu wagonjwa?
hahaha,Wewe ni miongoni mwa wanawake wachache sana mnaojitambua kwenye nchi hii.
Una hoja unapaswa kusikilizwa..... [emoji41] [emoji41] [emoji41]