Uliandika
Akiwa mtoto yatima (mama alifariki akiwa na mwaka mmoja na nusu na baba yake alifariki kwa ajali akiwa na miaka minne) Kwa sasa ni mtu wa nne kwa utajiri Russia na mmiliki wa Chelsea FC.
Alifanyaje Kupata Utajiri Wake
- Alivyokuwa Jeshini alifanya biashara ya kuwauzia mafuta ya wizi wanajeshi wengine jambo lililompatia pesa nyingi
- Kuonyesha kwamba anachukua kila opportunity alitumia pesa alizopewa kama zawadi na wazazi wa mke wake (2000USD) kufanya illegal business (black market) huko Moscow
- Kwa faida ya biashara zake alianzisha kampuni ya kutengeneza toys na spea za magari na biashara nyingine nyingi kuanzia biashara za mafuta, nguruwe na bodyguard recruitment
- 1992 alishikwa kwa kuibia serikali, aligushi documents na kupeleka mzigo wa mafuta uliokuwa kwenye treni kwenda sehemu ambako ilikuwa haipaswi kwenda, lakini kesi hii ilikufa kifo cha kawaida
- 1995 kwa kutumia connection za rafiki yake Boris Berezovski, ambae alikuwa close na President Yeltsin walitumia controversial program ya loans for shares (inasemekana Yeltsin alikubaliana na orgarchs (Abramavich akiwa mmoja wao) ili kumsaidia Yeltsin achaguliwe tena. Hii iliwafanya wapate control kubwa ya kampuni kubwa ya mafuta (Sibnet) kwa bei nafuu sana . Na hii program ndio iliozaa matajiri wengi wa sasa huko Russia
- Baada ya Aluminium Industry kubinafsishwa kulitokea competition kubwa sana ya kumiliki hii industry.., watu wengi waliuwawa (waandishi wa habari, wafanyakazi viwandani n.k.) mwisho wa siku mshindi alikuwa ni Roman Abramavich
- 2003 alinunua Chelsea FC
- 2000/2008 alikuwa governor wa Chukotka sehemu masikini sana lakini kwa kazi yake nzuri aliweza kupandisha wastani wa mishahara kutoka 165USD (2000) mpaka 826USD (2006)
My Take
The Man did it all by himself na kwa kipindi kifupi sana kwa kutumia advantage, zilizokuwepo, (corruption na Umafia uliopo Russia). In short jamaa sio wa kuchezea
Kutoka Wikipedia
Roman Abramovich started his multi-billion-dollar business during his army service where he sold stolen gasoline to some of the commissioned officers of his unit.[SUP]
[5][/SUP] After a brief stint in the Soviet Army, he married his first wife, Olga. He first worked as a street-trader and then as a mechanic at a local factory.[SUP]
[6][/SUP] A 2,000-
ruble wedding present from Olga's parents (about £1,000 or US$2,000 at that time[SUP]
[7][/SUP]) was invested by Abramovich in
smuggling of
black market goods or
contraband[SUP]
[7][/SUP] to sell in Moscow in or around December 1987.[SUP]
[8][/SUP]
Abramovich soon doubled, then tripled, the investment, his confidence growing with each success in this smuggling business.[SUP]
[9][/SUP] Soon he progressed to making plastic toys (including plastic ducks and sailors[SUP]
[10][/SUP]) and started up an automobile parts cooperative. He attended the Gubkin Institute of Oil and Gas in Moscow (where he sold retreaded car tires as a sideline[SUP]
[11][/SUP]), then traded commodities for Runicom, a Swiss trading company.[SUP]
[12][/SUP]
However, in 1992, he was arrested and sent to prison[SUP]
[17][/SUP] in a case of theft of government property: AVEKS-Komi sent a train containing 55 cisterns of diesel fuel, worth 3.8 million roubles, from the Ukhta Oil Refinery; Abramovich met the train in Moscow and resent the shipment to the Kaliningrad military base under a fake agreement, but the fuel arrived in Riga. Abramovich co-operated with the investigation, and the case was closed after the oil production factory was compensated by the diesel's buyer, the Latvian-US company, Chikora International.[SUP]
[18][/SUP]
In 1995, Abramovich and
Boris Berezovsky, an associate of President
Boris Yeltsin, acquired the controlling interest in the large oil company
Sibneft. The deal was within the controversial
loans-for-shares program and each partner paid US$100 million for half of the company, below the stake's stock market value of US$150 million at the time, and rapidly turned it up into billions. The fast-rising value of the company led many observers, in hindsight, to suggest that the real cost of the company should have been in the billions of dollars.[SUP]
[19][/SUP] Abramovich later admitted in court that he paid huge bribes (in billions) to government officials and obtained protection from gangsters to acquire these and other assets (including aluminium assets during the aluminium wars).[SUP]
[20]
[/SUP]In early July 2008 it was announced that President
Dmitri Medvedev had accepted Abramovich's latest request to resign as governor of Chukotka, although his various charitable activities in the region would continue. In the period 2000–2006 the average salaries in Chukotka increased from about US$165 (€117/£100) per month in 2000 to US$826 (€588/£500) per month in 2006.[SUP]
[18][/SUP][SUP]
[39][/SUP]
Roman Abramovich - Wikipedia, the free encyclopedia