Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Nifah Divine... glory to yhwh BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea shareef conscious wambeke The Boss Deejay nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully Van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi @Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad Fazzaly the wolf everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope mamaafacebook II JEKI likikima Compact scorpio me G'taxi YNWA adna yuzo ntamaholo Otorong'ong'o naan ngik-kundie kandukamo1 AFRICA101 mwalidebe Kobe Blaki Womani kalendi savius The Great Emanuel r2ga Ntaluke.N. Transcend Msemachochote Mchumiajuone mwampepec MTOTO WA KUKU Fukara proto cute kawombe zinginary MLALUKO JR Vupu barafu BlackPanther Ntuzu Matola impongo ntamaholo Mkoroshokigoli Deadbody KING easy mahoza Msolo kkenzki deborah1 KIDUDU buffalo44 winlicious riziki Allys MUHUNZI Moses2015 nacktary Liuumi dochivele Renzo @barbers hmjamii mbere TATIANA famicho LUCKDUBE mwanadome Straton memphis ghazar Graph Theory Honey Faith Shunie Slave ddcmanesto zinginary pacesetter Nkanaga KOMUGISHA mikatabafeki johnsonmgaya lee empire wigo MJINI CHAI Asprin mtzmweusi Erasto kalinga Chrizo kichakaa man LULU bike FORTALEZA poleni shibumi ZE DONE umande Edger Sr sir joshua sammoo Roram Password Bavaria hambiliki mwanangu Asili100 Evarist Massawe nice1 Jumong S Rogie 1babake nasreen uberito baest dustless Kilemachocho Tumosa mtembea kwa miguu Debbs Joe scorpnose musacha shibumi seeker of knowledge Simuchi Veni Vidi Vici TUJITEGEMEE abuu garcia Hon Nkundwe Festo Festo marion09 mike2k The dream bro kay vandelintz kirikou1 POINT LOAD lusaka city Dirham Rodcones bato MANCNOO multiphill90 GEORGE Dalali mwanamalundi90 MwaFreeca Roram Ta-kibombo troublemaker mambo KOMUGISHA calabocatz Papaa Azonto Msemachochote Mdomo bakuli tizo1 option dikembe iL Buono fakalava ABDUL KAREEM @Gobe Justine Marack Goodluck Mchika MR UNINFORMED darcity nkasoukumu nG'aMBu thatonegAl kabanga MPARE KIBOGOYO Edward Sambai Rassa mnonje srinavas last king of uscoch proto cute Kennedy krava Rais2020 kbosho Mzee wa BsN sam2000 fuma 999 Bableee dawa yenu The Certified DON SINYORI mij addenbwii ONTARIO Kobe The Vein Mondray jaxonjaxon successor mzee wa liver sawariya Sitaki ukuda Domhome Mpatanishi MKANDAHARI mtugani wa wapi huyo wealthier cluecell Toyota escudo mgumu2 troublemaker Linamo shedede kamtu33 SteveMollel ngushi Donald stewart Mshuza2 Glycel mnonje Ochuanilove SingleFather Santi DEOD 360 ngushi anatory antony ukhuty chris van chicha auxillius Goma Son Hubeb pes KING DUBU VILLAIN mwayena donbeny Aleppo JipuKubwa shoo61 BOMBAY John mungo Nyakageni bato Dogo 1 sufra chamlungu painscott wegman Bravo Engliash MOSELBAY wa stendi FaizaFoxy bigmind cadabraa Internal Kelvin mwalukas mnonje Kelvin X Somoche Wgr30 Miiku Poise Jabman kalamuyamwalimu BOMBAY the say juxhb witnessj Gide MK Mmanyema mgogoone Mnongane Mandingo koncho77 afsa ngaboru Paradoxer Heavy Metal KIMBURU 06 Raaj kichekoh ngumba njeche kikale DullahTza Goodluck Mshana julius Darcy Denis Kasekenya mashonga kitalembwa Khaleed Shaban middle east SirChief jiwe jeusi Mkambarani mansakankanmusa gambada ynwa ney kush mossad 03 white wizard xtaper Mzigua90 Ollachuga Oc Gidbang Mateja M.G Yango jipu abaa4all DIBAJI Agenda1 Grahnman The MaskmaN Slim5 Xubzero agprogrammer JoJiPoJi Architectus blance86 Mamtolo monde arabe Ngao Ya Imani stardust JK naiman64 Dharra seledunga ABB SHAMMA Richard Waziri wa Kaskazini Mwinjuma1 Kanungila Karim baracuda Mwamba028 besaro Pyepyepye Bilionea Asigwa ibn Kiti Chema Tugas Royal Warrior mederii mmangO manzi james LIKUD adrenaline Royal Son Mhadzabe salaniatz Natasha Ismail jiwe jeusi chibalangunamchezo
John Mloy conjuget Van Pauser great G Mtoto wa nzi Zeus1 hindustan Sci-Fi MAN OF PEACE kashata emnly danny baraka bb MTOTELA kbosho TEMLO DA VINCA
Hivi Unaweza je kunisahau usitag..??
 
Nifah Divine... glory to yhwh BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea shareef conscious wambeke The Boss Deejay nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully Van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi @Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad Fazzaly the wolf everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope mamaafacebook II JEKI likikima Compact scorpio me G'taxi YNWA adna yuzo ntamaholo Otorong'ong'o naan ngik-kundie kandukamo1 AFRICA101 mwalidebe Kobe Blaki Womani kalendi savius The Great Emanuel r2ga Ntaluke.N. Transcend Msemachochote Mchumiajuone mwampepec MTOTO WA KUKU Fukara proto cute kawombe zinginary MLALUKO JR Vupu barafu BlackPanther Ntuzu Matola impongo ntamaholo Mkoroshokigoli Deadbody KING easy mahoza Msolo kkenzki deborah1 KIDUDU buffalo44 winlicious riziki Allys MUHUNZI Moses2015 nacktary Liuumi dochivele Renzo @barbers hmjamii mbere TATIANA famicho LUCKDUBE mwanadome Straton memphis ghazar Graph Theory Honey Faith Shunie Slave ddcmanesto zinginary pacesetter Nkanaga KOMUGISHA mikatabafeki johnsonmgaya lee empire wigo MJINI CHAI Asprin mtzmweusi Erasto kalinga Chrizo kichakaa man LULU bike FORTALEZA poleni shibumi ZE DONE umande Edger Sr sir joshua sammoo Roram Password Bavaria hambiliki mwanangu Asili100 Evarist Massawe nice1 Jumong S Rogie 1babake nasreen uberito baest dustless Kilemachocho Tumosa mtembea kwa miguu Debbs Joe scorpnose musacha shibumi seeker of knowledge Simuchi Veni Vidi Vici TUJITEGEMEE abuu garcia Hon Nkundwe Festo Festo marion09 mike2k The dream bro kay vandelintz kirikou1 POINT LOAD lusaka city Dirham Rodcones bato MANCNOO multiphill90 GEORGE Dalali mwanamalundi90 MwaFreeca Roram Ta-kibombo troublemaker mambo KOMUGISHA calabocatz Papaa Azonto Msemachochote Mdomo bakuli tizo1 option dikembe iL Buono fakalava ABDUL KAREEM @Gobe Justine Marack Goodluck Mchika MR UNINFORMED darcity nkasoukumu nG'aMBu thatonegAl kabanga MPARE KIBOGOYO Edward Sambai Rassa mnonje srinavas last king of uscoch proto cute Kennedy krava Rais2020 kbosho Mzee wa BsN sam2000 fuma 999 Bableee dawa yenu The Certified DON SINYORI mij addenbwii ONTARIO Kobe The Vein Mondray jaxonjaxon successor mzee wa liver sawariya Sitaki ukuda Domhome Mpatanishi MKANDAHARI mtugani wa wapi huyo wealthier cluecell Toyota escudo mgumu2 troublemaker Linamo shedede kamtu33 SteveMollel ngushi Donald stewart Mshuza2 Glycel mnonje Ochuanilove SingleFather Santi DEOD 360 ngushi anatory antony ukhuty chris van chicha auxillius Goma Son Hubeb pes KING DUBU VILLAIN mwayena donbeny Aleppo JipuKubwa shoo61 BOMBAY John mungo Nyakageni bato Dogo 1 sufra chamlungu painscott wegman Bravo Engliash MOSELBAY wa stendi FaizaFoxy bigmind cadabraa Internal Kelvin mwalukas mnonje Kelvin X Somoche Wgr30 Miiku Poise Jabman kalamuyamwalimu BOMBAY the say juxhb witnessj Gide MK Mmanyema mgogoone Mnongane Mandingo koncho77 afsa ngaboru Paradoxer Heavy Metal KIMBURU 06 Raaj kichekoh ngumba njeche kikale DullahTza Goodluck Mshana julius Darcy Denis Kasekenya mashonga kitalembwa Khaleed Shaban middle east SirChief jiwe jeusi Mkambarani mansakankanmusa gambada ynwa ney kush mossad 03 white wizard xtaper Mzigua90 Ollachuga Oc Gidbang Mateja M.G Yango jipu abaa4all DIBAJI Agenda1 Grahnman The MaskmaN Slim5 Xubzero agprogrammer JoJiPoJi Architectus blance86 Mamtolo monde arabe Ngao Ya Imani stardust JK naiman64 Dharra seledunga ABB SHAMMA Richard Waziri wa Kaskazini Mwinjuma1 Kanungila Karim baracuda Mwamba028 besaro Pyepyepye Bilionea Asigwa ibn Kiti Chema Tugas Royal Warrior mederii mmangO manzi james LIKUD adrenaline Royal Son Mhadzabe salaniatz Natasha Ismail jiwe jeusi chibalangunamchezo
John Mloy conjuget Van Pauser great G Mtoto wa nzi Zeus1 hindustan Sci-Fi MAN OF PEACE kashata emnly danny baraka bb MTOTELA kbosho TEMLO DA VINCA
Dah...kweli wakukosa ni wakukosa tu. Orodha yote hiyo simo?? Naomba vigezo Mkuu nami niwepo next time [emoji3][emoji3]
 
4C82681800000578-0-image-a-19_1526943554357.jpg



ROMAN ABRAMOVICH: UTAJIRI WA DAMU, RISASI NA UMAFIA









SEHEMU YA PILI







Nimeona niwekee sehemu hii ya pili usiku usiku ili tukalale na tafakuri nzito kuhusu ulimwengu wetu na nama ambavyo unakwenda




Sasa,

Kipindi hiki ambacho nimeeleza kwamba Abramovich aliomba kutambulishwa kwa Yumachev, Abramovich alikuwa ni kijana mdogo tu wa umri wa miaka 28. Kutokana na urafiki wao wa kushibana na Berezovsky, Berezovsky alimtambulisha Abramovich kwa Yumachev bila kusita. Nimeeleza kwamba kipindi hicho Yumachev alikuwa ni afisa habari tu wa Ikulu lakini hakuwa na ushawishi wowote kwa Rais Boris Yeltsin.



Lakini baada ya urafiki wa Yumachev na Abramovich kukolea… Abramovich akaanza ‘kumuazima akili’ Yumachev. Kumuonyesha ni kwa namna gani uhusiano wake wa kimapenzi na mtoto wa Rais wa nchi kama akichanga karata zake vyema uhusiano huo unaweza kumuinua kutoka mavumbini kwenye uafisa habari wa ikulu na pengine kumfanya kuwa moja ya watu muhimu zaidi kwenye ‘inner circle’ ya Rais Yeltsin.

Yule binti wa Rais ambaye Yumachev ana uhusiano naye wa kimapenzi hakuwa binti tu legelege wa kula mkate kwa siagi mezani… binti huyu alikuwa ni moja ya washauri wakuu wa Rais Yeltsin. Alikuwa ni moja ya watu wenye kuaminiwa zaidi na Rais. Sasa ambacho Abramovich alikuwa anakifanya ni kumpa mikakati ya Yumachev na kisha Yumachev anakwenda kushauriana na Tatyana na kisha wanaenda kumshauri Rais. Kadiri muda ulivyokuwa unakwenda Yumachev akaanza kuonekana kwamba naye ni mtu mwenye bongo makini na mwenye kujua mikakati. Si miezi mingi, Yeltsin akamapandisha cheo Yumachev akamfanya kuwa ‘Head of Adminstration’ wa Ikulu, cheo ambacho kwa kipindi hicho nchini Urusi kilikuwa adhimu mno. Si hapo tu kwa ushauri wa Abramovich Yumachev akamuoa kabisa Tatyana. Hapo ndipo hasa pale ambapo Abramovich alikuwa anapataka.



Kwa pamoja Abramovich, Yumachev na safari hii pamoja na Tatyana urafiki wao ukaota mizizi haswa. Kutokana na ukaribu huu wa Abramovich na Afisa mkuu wa masuala ya utumishi Ikulu na nchi pamoja na ukaribu na binti wa rais ambaye pia ni mshauri mkuu wa Rais moja kwa moja Abramovich akatambulishwa na ‘marafiki’ zake hao wawili kwa Rais Yeltsin na kutokana na uwezo wake wa hali ya juu wa kimikakati na kufikiri, Abramovich hakuchukua muda sana akawa sehemu ya ‘The Family’.



Nilieleza pale mwanzoni kuhusu ‘The Family’, ile inner circle ya Rais Yeltsin ambayo ilikuwa inaundwa na wanafamilia ya Rais pamoja na ma-Oligarch wa Urusi. Hii ‘The Family’ ndio hasa ilikuwa inaendesha nchi ya Urusi kipindi kile. Sasa baada ya Abramovich kuwa sehemu ya ‘The Family’ kukaibuka inner circle ndani ya Inner circle. Yaani kwamba kwenye wale watu wachache ambao walikuwa wanaaminiwa mno na Rais Yeltsin (The Family) kukaibuka kikundi cha watu wachache zaidi kati yao The Family ambao walikuwa wanaaminiwa zaidi na Rais uzidi wengine wote, ndio hapa nasema inner circle ndani ya inner circle. Watu hawa walibatizwa jina la “Utatu Mtakatifu” na utatu huu mtakatifu walikuwa Abramovich, Yumachev na Tatyana.



Kijana yule yatima, aliyekimbia umasikini kutoka kwenye maisha ya kulelewa na ndugu zake jimboni Komi, ati leo hii akiwa na miaka ishirini na nane tu anaketi meza moja na moja ya binadamu mwenye ushawishi na nguvu zaidi duniani, Rais wa Urusi na tena anaketi akiwa moja ya watu ambao Rais anawaamini sana na kuwasikiliza sana.



Ndani ya hii ‘The Family’ Abramovich alipachikwa jina la ‘Family Wallet’. Hii ni kutokana na kutumiwa sana na Rais Yeltsin na familia yake kwenye usimamizi wa masuala yao ya fedha na utajiri wao.

Nimeeleza, wakati huu ndipo ambapo Ujamaa ulikuwa umedondoka na Ubepari kuanza kushamiri… kwa hiyo kwa wanasiasa na wazee ambao wamekuwa kwenye maisha ya kijamaa hawakuwa na uelewa mpana sana wa namna ambavyo mizania ya kibepari inavyofanyakazi. Lakini Abramovich alikuwa ni mfanyabiashara japo hata kama alikuwa akiuza midoli na matairi, amekulia mtaani akijua ni namna gani kanuni za ‘natural selection’ zinafanyakazi… vyenye nguvu vinakula dhaifu… na zaidi ya yote Roman alikuwa na uwezo wa kuzaliwa wa kiakili, mikakati na ‘kujiongeza’. Kwa hiyo akatumia ujuzi wake huu kushauri familia ya Rais namna bora zaidi ambavyo wanaweza kutunza utajiri wao… akaanza kuwafundisha na kuwezesha familia ya Rais Yeltsin kufungua offshore accounts, uwekezaji kwenye masoko ya hisa, kufungua offshore companies ambazo wamiliki wanafichwa kwenye mifumo ‘complex’ kujua nani hasa ni mmiliki na mambo mengine mengi ya kibepari. Kwa maneno mengine Abramovich alikuwa anawafungua macho namna ya ‘kuiba’ na kuficha fedha za umma kisasa katika namna ambayo ni ngumu kujulikana na namna za uhakika zaidi kwa fedha hizo kuwa salama.



Urusi ilikuwa inabadilika haraka mno… kutoka kuwa mpigia chapuo mkuu wa Ujamaa duniani na kuwa nchi ya kibepari tena ubepari wa kihuni kabisa. Japo suala la ubinafsishaji wa makampuni ya umma kwenda kwenye umiliki wa watu binafsi lilipongezwa sana na nchi za magharibi wakiona kama hatua nzuri ya nchi hiyo kuhama kutoka kwenye uchumi unaoshikiliwa na dola na kuanza kwa ‘soko huru’ la kiuchumi ndani ya Urusi lakini wananchi wa Urusi hawakuona kile ambacho wadosi hawa wa magharibi walikuwa wanakiona. Wananchi walikuwa na hasira wakihisi kwamba nchi yao na uchumi unaganywa kwa kikundi cha watu wachache huku wao wakiendelea kuteseka na hali duni za kimaisha.



Kipindi cha ubinafsishaji wa makampuni ya umma kuna jambo mojaambalo mwanzoni lilikuwa jema lilikuwa limefanyika kabla ya kugeuka shubiri mbeleni.



Kila mwananchi alipewa ‘voucher’ yenye thamani ya fedha ya Urusi rouble 10,000. Lengo la vocha hii ilikuwa ni kuwapa nafasi kila mwananchi wa urusi kumiliki hisa kwenye kampuni za serikali ambazo zilikuwa zinabinafsishwa. Kivipi? Yaani kwamba kampuni ya serikali ikiwa inauzwa na ikatangazwa kwamba kampuni hiyo ina thamani ya kiasi fulani cha fedha… ni kweli watajitokeza matajiri ambao watanunua hisa nyingi zaidi lakini bado mwananchi wa kawaida alikuwa anaweza kupeleka vocha ile ya rouble elfu kumi na akanunua hisa zenye thamani ya vocha hiyo.



Lakini kwenye miti hapana wajenzi na mtu aishiye mwituni ambaye hajui thamani ya almasi siku akiishika hawezi kuona tofauti yake na kokoto, aweza kuipiga kwenye manati kama jiwe ili aue ndege chiriku akafanye kitoweo. Ndicho ambacho kilitokea Urusi. Nchi ilikuwa ndio kwanza ilikuwa imetoka kwenye ujamaa… wananchi hawakuwa wanajua namna gani hasa ubepari unafanyakazi. Nini kilichotokea? Wajanja wachache wakawa wanatuma mawakala wao vijijini na mijini kwa wananchi… wanawashawishi wananchi wawape vocha na wao wanawapa fedha tasilimu. Karibia kila mwananchi alikuwa anakubali. Anatoa vocha yenye thamani ya rouble 10,000 alafu yule ajenti anampa labda rouble 200 cash. Unaweza kujiuliza wananchi hawa walikuwa vichaa au?? Hapana… maarifa… maarifa… fikiri mwananchi huyu amezaliwa na kukulia kwenye ujamaa. Leo hii ati unampa kipande cha karatasi unamwambia kina thamani ya pesa (wakati yeye anaona ni karatasi tu) alafu unamwambia atumie karatasi hiyo kwenda kununua hisa za kampuni (hajui hata hisa ina maana gani zaidi ya kusikia tu kwenye rediio inatajwa tajwa)… alafu unamueleza akiwa na hisa kwenye kampuni fulani siku moja inawezekana labda (hakuna uhakika) kama kampuni hiyo husika ikianza kutengeneza faida atalipwa ‘dividends’ (dividends ndio ‘mdudu’ gani). Unaweza kuona mnyumbuliko wa mawazo ya mtu huyu aliyekulia kwenye ujamaa? Yawezekana hata sisi tungekuwa kwenye nafasi zao tungeuza vocha ya thamani ya rouble elfu kumi kwa rouble 200 cash tukale wali na nyama tushibe, tulale, tuamke tuanze kuhangaika tena kesho.



Na hii imetokea hata hapa kwetu nchini tena juzi juzi tu hapa… unakumbuka kipindi cha ruzuku ya pembejeo za kilimo za serikali katika utawala wa Mzee Kikwete? Watu walikuwa wanauza vocha kwa shilingi elfu kumi tu alafu wale mawakala wanapeleka NMB wanalipwa laki na sitini kwa kila vocha au zaidi.!! Yale yae, almasi kuiona kokote…



Sasa pale Urusi wajanja wachache sana walinunua hizi vocha na na kuzitumia kununua hisa za makampuni yaliyokuwa yanabinafsishwa… makampuni ya mafuta, gesi asilia na kadhalika. Ndipo hapa kukaibuka matajiri wale ambao nilisema wakabatizwa jina ma-Oligarch. Mbaya zaidi Yeltsin akawaweka karibu mno ma-Oligarch akishirikiana nao kuendesha nchi.



Wananchi walikuwa na hasira kweli kweli na Yeltsin.

Umaarufu wa kisiasa wa Rais Yeltsin ulikuwa umeshuka mno kupitiliza. Ukichangiwa pia kwa sehemu nyingine kutokana na matatizo ya moyo mara kwa mara akipatwa na mshituko na kufanyiwa upasuaji na kumfanya asionekane sana kwa umma.



Ukafika mwaka 1996… mwaka wa uchaguzi mkuu wa Urais. Kila mtu alikuwa anasubiri kusikia Yeltsin atamtangaza nani kama mgombea kwenye chama chake maana hakuna ambaye alikuwa anadhani kwamba Yeltsin atagombea tena maana umaarufu ulikuwa umeporomoka mno, wananchi wanamchukia na afya yake ilikuwa mgogoro.

Ajabu ni kwamba mwezi February mwaka huo 1996 Yeltsin akatangaza kwamba atawania muhula mwingine wa uonngozi. Vyama vya upinzani vilishangilia maana walijua kwamba ushindi wa kishindo uko barazani kwao.



Kabla ya kupiga kura mwezi Desemba, katikati ya mwezi July yalitolewa matokea ya kura za maoni na mgombea wa chama cha Upinzania cha Kikomunisti Bw. Gennady Zyuganov alikuwa anaongoza kwa asilimia nyingi akimuacha mbali kabisa Rais Boris Yeltsin.



Kambi ya Rais presha ikawapanda… paniki ikiwatawala. Kila mti unateleza. Hakuna mwenye kujua wafanyeje… waliona kabisa wanaelekea kuupoteza ‘mnofu’ wao. Nani awaokoe?



Pale mwanzoni niliandika kwamba… a born tactician, haijalishi ni mazingira gani utamuwekea lazima apate namna ya ‘ku-survive’, lazima aone upenyo mwembamba wa shaba kwenye giza totoro. Mpe limao ukidhani unamkomoa, ukirudi baadae utakuta amelikamua na kutengeneza juisi ya ‘lemonade’ akinywa kwa starehe kabisa. Hivi ndivyo ambavyo Roman Abramovich akili yake inanyumbulika… wakati ambapo timu nzima ya Rais Yeltsin imepaniki hawajui nini cha kufanya yeye aliona hiyo ndio fursa kwake kumdhihirishia Boris Yeltsin kwamba kichwa chake kimebeba mbongo ambayo sio ya mchezo mchezo…







Tukutane kesho mchana wakuu,






The Bold

To Infinity and Beyond
 
SEHEMU YA PILI


Nifah Divine... glory to yhwh BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea shareef conscious wambeke The Boss Deejay nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully Van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi @Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad Fazzaly the wolf everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope mamaafacebook II JEKI likikima Compact scorpio me G'taxi YNWA adna yuzo ntamaholo Otorong'ong'o naan ngik-kundie kandukamo1 AFRICA101 mwalidebe Kobe Blaki Womani kalendi savius The Great Emanuel r2ga Ntaluke.N. Transcend Msemachochote Mchumiajuone mwampepec MTOTO WA KUKU Fukara proto cute kawombe zinginary MLALUKO JR Vupu barafu BlackPanther Ntuzu Matola impongo ntamaholo Mkoroshokigoli Deadbody KING easy mahoza Msolo kkenzki deborah1 KIDUDU buffalo44 winlicious riziki Allys MUHUNZI Moses2015 nacktary Liuumi dochivele Renzo @barbers hmjamii mbere TATIANA famicho LUCKDUBE mwanadome Straton memphis ghazar Graph Theory Honey Faith Shunie Slave ddcmanesto zinginary pacesetter Nkanaga KOMUGISHA mikatabafeki johnsonmgaya lee empire wigo MJINI CHAI Asprin mtzmweusi Erasto kalinga Chrizo kichakaa man LULU bike FORTALEZA poleni shibumi ZE DONE umande Edger Sr sir joshua sammoo Roram Password Bavaria hambiliki mwanangu Asili100 Evarist Massawe nice1 Jumong S Rogie 1babake nasreen uberito baest dustless Kilemachocho Tumosa mtembea kwa miguu Debbs Joe scorpnose musacha shibumi seeker of knowledge Simuchi Veni Vidi Vici TUJITEGEMEE abuu garcia Hon Nkundwe Festo Festo marion09 mike2k The dream bro kay vandelintz kirikou1 POINT LOAD lusaka city Dirham Rodcones bato MANCNOO multiphill90 GEORGE Dalali mwanamalundi90 MwaFreeca Roram Ta-kibombo troublemaker mambo KOMUGISHA calabocatz Papaa Azonto Msemachochote Mdomo bakuli tizo1 option dikembe iL Buono fakalava ABDUL KAREEM @Gobe Justine Marack Goodluck Mchika MR UNINFORMED darcity nkasoukumu nG'aMBu thatonegAl kabanga MPARE KIBOGOYO Edward Sambai Rassa mnonje srinavas last king of uscoch proto cute Kennedy krava Rais2020 kbosho Mzee wa BsN sam2000 fuma 999 Bableee dawa yenu The Certified DON SINYORI mij addenbwii ONTARIO Kobe The Vein Mondray jaxonjaxon successor mzee wa liver sawariya Sitaki ukuda Domhome Mpatanishi MKANDAHARI mtugani wa wapi huyo wealthier cluecell Toyota escudo mgumu2 troublemaker Linamo shedede kamtu33 SteveMollel ngushi Donald stewart Mshuza2 Glycel mnonje Ochuanilove SingleFather Santi DEOD 360 ngushi anatory antony ukhuty chris van chicha auxillius Goma Son Hubeb pes KING DUBU VILLAIN mwayena donbeny Aleppo JipuKubwa shoo61 BOMBAY John mungo Nyakageni bato Dogo 1 sufra chamlungu painscott wegman Bravo Engliash MOSELBAY wa stendi FaizaFoxy bigmind cadabraa Internal Kelvin mwalukas mnonje Kelvin X Somoche Wgr30 Miiku Poise Jabman kalamuyamwalimu BOMBAY the say juxhb witnessj Gide MK Mmanyema mgogoone Mnongane Mandingo koncho77 afsa ngaboru Paradoxer Heavy Metal KIMBURU 06 Raaj kichekoh ngumba njeche kikale DullahTza Goodluck Mshana julius Darcy Denis Kasekenya mashonga kitalembwa Khaleed Shaban middle east SirChief jiwe jeusi Mkambarani mansakankanmusa gambada ynwa ney kush mossad 03 white wizard xtaper Mzigua90 Ollachuga Oc Gidbang Mateja M.G Yango jipu abaa4all DIBAJI Agenda1 Grahnman The MaskmaN Slim5 Xubzero agprogrammer JoJiPoJi Architectus blance86 Mamtolo monde arabe Ngao Ya Imani stardust JK naiman64 Dharra seledunga ABB SHAMMA Richard Waziri wa Kaskazini Mwinjuma1 Kanungila Karim baracuda Mwamba028 besaro Pyepyepye Bilionea Asigwa ibn Kiti Chema Tugas Royal Warrior mederii mmangO manzi james LIKUD adrenaline Royal Son Mhadzabe salaniatz Natasha Ismail jiwe jeusi chibalangunamchezo
John Mloy conjuget Van Pauser great G Mtoto wa nzi Zeus1 hindustan Sci-Fi MAN OF PEACE kashata emnly danny baraka bb MTOTELA kbosho TEMLO DA VINCA
 
Back
Top Bottom