Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Jawabu sawia kabisa..
 
Nakuongeza kwenye taglist mkuu... tafadhali pia nifollow ili upate updates mapema pindi nikipost kitu
Umekuwa ukinisahau sana mkuu napenda sana iz vit coz napataga chakula ya ubongo
naomba usinisahau mkuu
 
Weka tu night kali, mapopo wapo kibao mbona.
 
Hahahah... ndio strategy zenyewe hizo za kioligarch
Bila kunisahau mimi kwenye tag zako,manake stori kama hizi nazitumiaga sana kwenye mass nikiwa na washikaji wasiopenda kusoma soma basi wananiona bonge la encyclopedia kumbe Zee la kudesa Kwa the Bold na kina Mshana Jr hahahahaha
 
Kumradhi kwa alosto oligarch... tayari nimewela sehemu ya sita na kesho asubuhi usikose kupita hapa usome sehemu ya saba
 
Wazo zuri mkuu... lakini ubaya ni kwamba siruhusiwi na Jamii Forums kuweka haya maelezo unayopendekeza. Niliwahi kufanya hivyo tukaingia kwenye mgogoro mkubwa sana... wale wakongwe wanaonifuatilia tangu enzi hizo nadhani wanakumbuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…