Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Jawabu sawia kabisa..
Hata na wewe ni msukule umejuaje wameshinda wakisubiria hadithi za kutungwa kama wewe hufungui hii thread kila baada ya dk 5 na kusoma comments za wadau kuhusu kusubiria? Na ulijuaje ni hadithi ya kutunga kama hujaisoma?..Kubali tu kuwa na wewe ni sehemu ya misukule kama unavyowaita wenzako...

Akina bashite??Ebu tusaidie angalau kuanzisha vuguvugu la kumng'oa jiwe maana akishaondoka ndo utakuwa mwisho wa bashite...Ebu tusaidie mkuu na sisi tutakuunga mkono maana lazima tuwe na kiongozi..Ongoza hilo vuguvugu hata sisi akina bashite wanatukera sana ila tumekosa tu mtu mwenye uthubutu kama wewe...Tunakuomba uwe MUSA wetu....anza kesho kuita waandishi wa habari na umnyee jiwe na genge lake mwanzo mwisho uone jinsi tutakavyokuunga mkono..
 
Nakuongeza kwenye taglist mkuu... tafadhali pia nifollow ili upate updates mapema pindi nikipost kitu
Umekuwa ukinisahau sana mkuu napenda sana iz vit coz napataga chakula ya ubongo
naomba usinisahau mkuu
 
Hahahah... ndio strategy zenyewe hizo za kioligarch
Bila kunisahau mimi kwenye tag zako,manake stori kama hizi nazitumiaga sana kwenye mass nikiwa na washikaji wasiopenda kusoma soma basi wananiona bonge la encyclopedia kumbe Zee la kudesa Kwa the Bold na kina Mshana Jr hahahahaha
 
Kumradhi kwa alosto oligarch... tayari nimewela sehemu ya sita na kesho asubuhi usikose kupita hapa usome sehemu ya saba
Habibu B. Anga Mkuu unatunyanyasa sana kisaikolojia, kama unajua utakua busy kiasi hicho usiwe unaleta kabisa story zako nzuri, mana toka umemaliza episode ya 5 mm Nasubili episode ya 6 hadi nashindwa kufanya kazi zangu kwa ufanisi... Hii alosto unayotusababishia sio kabisa, unafanya tuharibu kazi za watu....
 
Wazo zuri mkuu... lakini ubaya ni kwamba siruhusiwi na Jamii Forums kuweka haya maelezo unayopendekeza. Niliwahi kufanya hivyo tukaingia kwenye mgogoro mkubwa sana... wale wakongwe wanaonifuatilia tangu enzi hizo nadhani wanakumbuka
Ni bora hapa awe anaweka intro tu, then anaweka price ya story yote kama ni elfu 5, then kama uko interested unamfollow whatsapp unalipa then unapata story yote...or aweke katika hardcopy tununue vitabu...lakini sio kama anavyofanya hapa anaweka story nusu then anapotea kabisa bila kutoa notification muendelezo wa story tunapata wapi, akirudi anakuja na story mpya kabisa. Mfano The Other half na Vipepeo Weusi part 2
 
Back
Top Bottom