Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Kitabu kwa story zipi.....hizi story mbona zipo internet ila huyu jamaa anafanya kutafsiri tu...
We jamaa unanikumbusha enzi za shule, kuna mshkaji wetu alikuwa na mambo kama yako. Mwalimu akianza kufundisha somo jipya anajifanya "Hiyo naijua, nimeisoma jana mchikidown"
Kumbe mburula, zumbukuku ulimwengu uko huku.
Sasa kama unajua namna ya kuzipata wewe ulishindwa nini kuandika makala zako au ni nini kilikufanya ukaja huku hima hima?
Kukaa kimya muda mwingine hakukufanyi uonekane mjinga broo.
 
Tahadhari: Tafadhali ugopa kiwa mteja wa stori za The Bold

Waswahili huwa tuna fail hapo tu ( integrity ) hakuna.. unapo ahidi jamii jambo flani kwa mda flani hata kama ni lako ni lazima ufanye kama ukishindwa toa taarifa. Ila mswahili kwake kawaida sana kuahirisha jambo
 
Ushauri kwa mleta story unatakiwa kulisaidia taifa lako hasa kuwajenga kupenda kusoma ili wawe na maarifa Zaid kusud kizazi chako kisijekupata tabu huko mbele kwajinsi dunia inavyokwenda.

Hii story unayondefu tuu lakin kwamakusud baada ya kuona unabembelezwa sana Basi nawe unajidai kuringa hakuna cha muda Wala nn ila unacreate attention kwa watu watu washakujua wewe n Nani na shughuli za hadithi Kama hz n Moja ya shughuli zako na humu jf n maarufu kwa Hilo watu washakwambia Kama n pesa waambie wakutumie naona ukaja juu Kama hutak pesa Sasa ile namba yasimu unaweka Yann?

Watu wanasema huko insta Mara wasp ipo mbele Sasa huku jf maarifa kugawana n bure pili ukileta hapa ikiwa full n rahis nawewe kuongeza tuvitu fulan sababu tunaishi kujifunza kilasiku

Hii story ipo Google Sana tuu unadham watu hawajaitafuta washaitafuta na wengine hata hawakujisumbua sababu wanajua ile lugha ile n shida ndo Mana nitag nnying mno toka unaandika ile siku ya kwanza mpakaleo nitag nitag

Copy lote paste hapa

Naheshimu muda wako uliojipa ukatafsir hi kitu inasaidia kuwapa chakula ya ubongo watanzania waanze kufikiri Sasa dunia ilivyo nasio kulaumulaumu tuu watu.

Hongera kwa kazi ya vidole vyako
 
Back
Top Bottom