Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Hahaha hiyo ya moto chief
........ Kuna wengine wanahisi hata rais fulani hapa Afrika Mashariki mwaka 2015 aliukwaa Urais kwa bahati mbaya bila kujua historia yake ndani ya Idara ya Ujasusi wa nchi hiyo na bila kujua kikao cha kimkakati cha April 23, 2015 kilichofanyika nje kidogo ya mji wa Morogoro kati ya maafisa waandamizi wa idara ya ujasusi wa nchi hiyo na viongozi watatu wakubwa wastaafu. Too bad siwezi kuandikia hayo..,......

[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji2534][emoji115][emoji2534][emoji115][emoji2534][emoji115][emoji2534]Ungeongeza nyama na hapa kidogo mkuu.[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Pamoja sana oligarch
Asante The bold kwa kazi nzuri.wengine hatuishii kuburudika tu bali tunajifunza pia.hasa wale ambao tunafikiria kuwa kuna mambo huwa yanatokea kwa bahati mbaya.naomba ni add tena kwenye tag list yako mkuu.
 
Habibu B. Anga mm nilikua na ushauri tu japo inawezekana umeshashauriwa mara kwa mara, ni hivi, una kipaji Kikubwa sana cha uhandishi na namna ya kupangilia mtiririko wa story na hata kumfanya mtu anayesoma asiruke hata sentensi moja... Ushauri wangu, nadhani kama nia ya kuleta story humu ili ujulikane ishatimia kwa asilimia 100,hakuna asiyekujua humu au ku appreciate kipaji chako. Sasa nilikua nakushauri tumia hii fursa sasa kuanza kutoa vitabu na kuviuza kwa bei itakayokulipa faida, mmoja wa wateja wako wakuu takua mimi, tena kwa bei yoyote isiyozidi Milioni 1 kwa kitabu kimoja. Nimeona kiu ya kila mtu hata kule Insta watu wana kiu kubwa ya kusoma vitabu vyako...itakua jambo jema kama utalifanyia kazi hili.
 
Daah mpaka wazee Wa kina faiza foxy wanatagiwa mm sitagiwi au nna nyota ya bundi?
 
Naiona alama ya akina Ben R Mtobwa na Elivis Musiba ndani kwako Habibu B. Anga
May God bless you.
 
Nimesoma nakurudia mara 3 maelezo hayo natamani aongeze nyama nyingi
Binafsi yangu huwa naamini watu kupiga kura ni kuidhinisha maamuzi ya watu fulani ambao unakuta wamisha panga nani atakuwa rais wa nchi baada ya mtu fulani.
Na huwa ninawashangaa sana watu wanaosema magufuli ameokota embe dodo kutokana na ugomvi wa membe na lowassa kitu ambacho ni very wrong,kwa michezo inavyochezwa utaana ni hivyo lakini uhalisia huwa sio hivyo kabisa.
 
Binafsi yangu huwa naamini watu kupiga kura ni kuidhinisha maamuzi ya watu fulani ambao unakuta wamisha panga nani atakuwa rais wa nchi baada ya mtu fulani.
Na huwa ninawashangaa sana watu wanaosema magufuli ameokota embe dodo kutokana na ugomvi wa membe na lowassa kitu ambacho ni very wrong,kwa michezo inavyochezwa utaana ni hivyo lakini uhalisia huwa sio hivyo kabisa.
Kabisa mambo yalipangwa kitambo na staili ya kuileta ikaonekana kuna ugomvi kumbe sio tusubiri the bold aongeze nyama kidogo....
 
Habibu B. Anga mm nilikua na ushauri tu japo inawezekana umeshashauriwa mara kwa mara, ni hivi, una kipaji Kikubwa sana cha uhandishi na namna ya kupangilia mtiririko wa story na hata kumfanya mtu anayesoma asiruke hata sentensi moja... Ushauri wangu, nadhani kama nia ya kuleta story humu ili ujulikane ishatimia kwa asilimia 100,hakuna asiyekujua humu au ku appreciate kipaji chako. Sasa nilikua nakushauri tumia hii fursa sasa kuanza kutoa vitabu na kuviuza kwa bei itakayokulipa faida, mmoja wa wateja wako wakuu takua mimi, tena kwa bei yoyote isiyozidi Milioni 1 kwa kitabu kimoja. Nimeona kiu ya kila mtu hata kule Insta watu wana kiu kubwa ya kusoma vitabu vyako...itakua jambo jema kama utalifanyia kazi hili.
Kitabu kwa story zipi.....hizi story mbona zipo internet ila huyu jamaa anafanya kutafsiri tu...
 
Sehemu ya nane unitag
SEHEMU YA SABA


Nifah Divine... glory to yhwh BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea shareef conscious wambeke The Boss Deejay nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully Van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi @Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad Fazzaly the wolf everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope mamaafacebook II JEKI likikima Compact scorpio me G'taxi YNWA adna yuzo ntamaholo Otorong'ong'o naan ngik-kundie kandukamo1 AFRICA101 mwalidebe Kobe Blaki Womani kalendi savius The Great Emanuel r2ga Ntaluke.N. Transcend Msemachochote Mchumiajuone mwampepec MTOTO WA KUKU Fukara proto cute kawombe zinginary MLALUKO JR Vupu barafu BlackPanther Ntuzu Matola impongo ntamaholo Mkoroshokigoli Deadbody KING easy mahoza Msolo kkenzki deborah1 KIDUDU buffalo44 winlicious riziki Allys MUHUNZI Moses2015 nacktary Liuumi dochivele Renzo @barbers hmjamii mbere TATIANA famicho LUCKDUBE mwanadome Straton memphis ghazar Graph Theory Honey Faith Shunie Slave ddcmanesto zinginary pacesetter Nkanaga KOMUGISHA mikatabafeki johnsonmgaya lee empire wigo MJINI CHAI Asprin mtzmweusi Erasto kalinga Chrizo kichakaa man LULU bike FORTALEZA poleni shibumi ZE DONE umande Edger Sr sir joshua sammoo Roram Password Bavaria hambiliki mwanangu Asili100 Evarist Massawe nice1 Jumong S Rogie 1babake nasreen uberito baest dustless Kilemachocho Tumosa mtembea kwa miguu Debbs Joe scorpnose musacha shibumi seeker of knowledge Simuchi Veni Vidi Vici TUJITEGEMEE abuu garcia Hon Nkundwe Festo Festo marion09 mike2k The dream bro kay vandelintz kirikou1 POINT LOAD lusaka city Dirham Rodcones bato MANCNOO multiphill90 GEORGE Dalali mwanamalundi90 MwaFreeca Roram Ta-kibombo troublemaker mambo KOMUGISHA calabocatz Papaa Azonto Msemachochote Mdomo bakuli tizo1 option dikembe iL Buono fakalava ABDUL KAREEM @Gobe Justine Marack Goodluck Mchika MR UNINFORMED darcity nkasoukumu nG'aMBu thatonegAl kabanga MPARE KIBOGOYO Edward Sambai Rassa mnonje srinavas last king of uscoch proto cute Kennedy krava Rais2020 kbosho Mzee wa BsN sam2000 fuma 999 Bableee dawa yenu The Certified DON SINYORI mij addenbwii ONTARIO Kobe The Vein Mondray jaxonjaxon successor mzee wa liver sawariya Sitaki ukuda Domhome Mpatanishi MKANDAHARI mtugani wa wapi huyo wealthier cluecell Toyota escudo mgumu2 troublemaker Linamo shedede kamtu33 SteveMollel ngushi Donald stewart Mshuza2 Glycel mnonje Ochuanilove SingleFather Santi DEOD 360 ngushi anatory antony ukhuty chris van chicha auxillius Goma Son Hubeb pes KING DUBU VILLAIN mwayena donbeny Aleppo JipuKubwa shoo61 BOMBAY John mungo Nyakageni bato Dogo 1 sufra chamlungu painscott wegman Bravo Engliash MOSELBAY wa stendi FaizaFoxy bigmind cadabraa Internal Kelvin mwalukas mnonje Kelvin X Somoche Wgr30 Miiku Poise Jabman kalamuyamwalimu BOMBAY the say juxhb witnessj Gide MK Mmanyema mgogoone Mnongane Mandingo koncho77 afsa ngaboru Paradoxer Heavy Metal KIMBURU 06 Raaj kichekoh ngumba njeche kikale DullahTza Goodluck Mshana julius Darcy Denis Kasekenya mashonga kitalembwa Khaleed Shaban middle east SirChief jiwe jeusi Mkambarani mansakankanmusa gambada ynwa ney kush mossad 03 white wizard xtaper Mzigua90 Ollachuga Oc Gidbang Mateja M.G Yango jipu abaa4all DIBAJI Agenda1 Grahnman The MaskmaN Slim5 Xubzero agprogrammer JoJiPoJi Architectus blance86 Mamtolo monde arabe Ngao Ya Imani stardust JK naiman64 Dharra seledunga ABB SHAMMA Richard Waziri wa Kaskazini Mwinjuma1 Kanungila Karim baracuda Mwamba028 besaro Pyepyepye Bilionea Asigwa ibn Kiti Chema Tugas Royal Warrior mederii mmangO manzi james LIKUD adrenaline Royal Son Mhadzabe salaniatz Natasha Ismail jiwe jeusi chibalangunamchezo
John Mloy conjuget Van Pauser great G Mtoto wa nzi Zeus1 hindustan Sci-Fi MAN OF PEACE kashata emnly danny baraka bb MTOTELA kbosho TEMLO DA VINCA
 
Mkuu Bold, usiache kutupa dodoso kwa nini Abarmovich amechukua uraia wa Israel, Itapendeza kama utagusia iwapo Israel ndiyo inayoongoza Kinyemela Marekani na Urusi kwa wakati mmoja!.

Je Abramovich alikuwa ni recruitted Mossad agent aliyekuwa akipewa mbinu toka alipoanza mpaka mwishoni na Mossad?

Je zile Video za Ngono ambazo Abramovich alizitumia kummaliza yule aliyetaka kumchunguza hakuzipata kwa Mossad ambayo inasemwa kuendesha michezo ya kuwavuta viongozi influential katika starehe mbalimbali kama vile ngono dhidi ya watoto, au ushoga na kisha kuwarekodi na kisha kuwablackmail viongozi hawa pindi wakienda against maslahi yao?

Nimesikia yule Epstein aliyekuwa akijihusisha na ring ya ngono kwa watoto wadogo inasemekana alikuwa ni Mossad agent na kazi yake ni kuwavuta watu influential katika mambo hayo kisha kuwarekodi kwa siri lakini baadae kuwablackmail ili wasiende kinyume na maslahi ya Israel!.
Na sasa wanasema amejinyonga Jela, lakini wengine wanandai amededishwa ili asije akamwaga siri au mambo yasije yakaenda yasivyotazamiwa?!

Unaweza kugusiagusia hili suala
 
Back
Top Bottom