Ushauri kwa mleta story unatakiwa kulisaidia taifa lako hasa kuwajenga kupenda kusoma ili wawe na maarifa Zaid kusud kizazi chako kisijekupata tabu huko mbele kwajinsi dunia inavyokwenda.
Hii story unayondefu tuu lakin kwamakusud baada ya kuona unabembelezwa sana Basi nawe unajidai kuringa hakuna cha muda Wala nn ila unacreate attention kwa watu watu washakujua wewe n Nani na shughuli za hadithi Kama hz n Moja ya shughuli zako na humu jf n maarufu kwa Hilo watu washakwambia Kama n pesa waambie wakutumie naona ukaja juu Kama hutak pesa Sasa ile namba yasimu unaweka Yann?
Watu wanasema huko insta Mara wasp ipo mbele Sasa huku jf maarifa kugawana n bure pili ukileta hapa ikiwa full n rahis nawewe kuongeza tuvitu fulan sababu tunaishi kujifunza kilasiku
Hii story ipo Google Sana tuu unadham watu hawajaitafuta washaitafuta na wengine hata hawakujisumbua sababu wanajua ile lugha ile n shida ndo Mana nitag nnying mno toka unaandika ile siku ya kwanza mpakaleo nitag nitag
Copy lote paste hapa
Naheshimu muda wako uliojipa ukatafsir hi kitu inasaidia kuwapa chakula ya ubongo watanzania waanze kufikiri Sasa dunia ilivyo nasio kulaumulaumu tuu watu.
Hongera kwa kazi ya vidole vyako