Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Hana access yoyote ya taarifa za kiusalama, ameweka huo mstari kuwatisheni...
 
Tushamshauri sana humu ila anapotezea.Nadhani hilo group la whatsapp linamlipa zaidi.
 
Asante kwa kazi nzuri iriyotukuka mkuu,
Wakati mwingine usisahau kunitag na mimi
 
Mi nawashangaa watu wanaolalamika story iendelee huwa hawana majukum au kazi zakufanya mpaka wanawaza story?mi huwa nasoma inapoishia ndo hapohapo naisahau kabisa siku nikiingia nikiiona ndo naendelea nayo yani siweki kichwani kwamba kuna story sijaimaliza.
 
Historia tamu sana hii, pia upo sahihi, iyo makala hasa ya richestman itoe. ila.uko vuzuri. ni tag makala ya tisa
 
mkuu huku kuna mafala lever ya facebook
 
Naomba nitarg ukitupia Uzi mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…