Kutukomesha? what for?utachakaa sana Huyu ndio The Bold hii stori ataleta baada ya mwezi akiwa anatoa toa zote tunawajua wabongo mtamchoka mapema sana halafu mtakuja kumwona mpuuzi bora aendelee hivi hivi maana wabongo mkishajua kitu mnaleta dharau sasa The bold anawakomesha taratibu mpaka mkae sawa anajua kucheza na Mindset zenyu vizuri sana TUKOMESHE BABA
we ni kachokozi 😂link unadhani inatolewa bure acha kupenda mteremko 😀😀😀😀
Vibaya mno 😀😀we ni kachokozi 😂
So what are u doin here.?? 😀😀😀😀😀😀Kutukomesha? what for?
Ndio mkuu,dah naipenda sana...kama kuna uwezekano endelezaKuna watu bado wanahitaji muendelezo wa Vipepeo season 2??
nimekupenda bila pesa😉😉Vibaya mno 😀😀
Link tu mpunga, kujiunga je?link unadhani inatolewa bure acha kupenda mteremko [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Okay, tatizo hakuna sehemu imeonyesha kwamba Mr. A alitumia Risasi au kumwaga damu ili kufikia ukwasi aliokuwa nao kama kichwa cha habari kilivyelenga kuelezea.
Kwa hiyo story haijakamilika.
Au atekwe na kupotezwaKwenye maisha hakunaga stori inayokamilka isipokuwa tu mpaka mtu afe
Pamoja na kwamba wapo baadhi ya wachangiaji wanaokatisha tamaa katika replies zao, lakini huku pia ni kujishushia heshima kuanzisha simulizi then unapotea mazima, si uungwana hata kidogo labda kama unafanya makusudi ili watu waifuate hiyo namba unayoiweka mwishoni kwa simulizi na yenyewe kiutuuzima si sahihi.
Alafu kuna walakini kwenye baadhi ya maelezo, kwa mfano kuhusu ununuzi wa Sibneft, sio kweli kwamba Berezovsky alitoa pesa zooote bila Abrahimovic kuweka chochote achilia mbali kwamba serikali ya russia iliweka utaratibu wa kuwakopesha wanunuzi wa makampuni yake.
Sio sahihi sana kuelezea kwamba hata kama hakupewa madaraka ya kisiasa na Boris, Bado Abrahimovic alikuwa na interest za kisiasa na amewahi kuwa Governor wa jimbo moja nchini humo mwanzoni mwa miaka ya 2000.
sasa kuacha hii kunaweza sababisha watu kudhani unaweza kuwa bilionea huku umejiweka mbali na siasa,wakati mwingine unahitaji locus ya kisiasa ili ujisafishe
Mimi Binafsi nimemshangaa bwana Hanga kuanza kuelezea namna alivyo na access na sources of intelligence hapa east africa.
Nilidhani makala zake zinatosha kutufanya tuamini access aliyonayo kwa mambo hayo, ama sivyo hana sasa anataka kuwablind watu wasitumie access ya taarifa kama hizi zinazopatikana kwenye internet bwerere kujipatia kipato kama afanyavyo yeye.
Okay, tatizo hakuna sehemu imeonyesha kwamba Mr. A alitumia Risasi au kumwaga damu ili kufikia ukwasi aliokuwa nao kama kichwa cha habari kilivyelenga kuelezea.
Kwa hiyo story haijakamilika.
Duu thank you Oligarch @Habibu B. Anga
Hongera sana nimefurahishwa na simulizi hili mahiri. Sehemu ya Tisa mkuu
mi nadhani lengo la kasasi kama hizi ni kupatikana ibra ndani yake ni kuamsha hisia na kujua kumbe unaweza ukafanya haya na yale kama utakuwa tu na upeo wa kufikiri. Badala ya kumhimiza mleta uzi aendelee na sehemu ingine kwanza jitafakari wewe umepata nini kipya ambacho kitakusaidia kwenye Maisha yako?