Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Kutukomesha? what for?
 
mi nadhani lengo la kasasi kama hizi ni kupatikana ibra ndani yake ni kuamsha hisia na kujua kumbe unaweza ukafanya haya na yale kama utakuwa tu na upeo wa kufikiri. Badala ya kumhimiza mleta uzi aendelee na sehemu ingine kwanza jitafakari wewe umepata nini kipya ambacho kitakusaidia kwenye Maisha yako?
 
Okay, tatizo hakuna sehemu imeonyesha kwamba Mr. A alitumia Risasi au kumwaga damu ili kufikia ukwasi aliokuwa nao kama kichwa cha habari kilivyelenga kuelezea.

Kwa hiyo story haijakamilika.

Kwenye maisha hakunaga stori inayokamilka isipokuwa tu mpaka mtu afe
 
Kilama, heshima yako mkuu...

Oligarch nilisema hapo mwanzo mkiona niko kimya mjue nimebanwa na majukumu.
Siwezi kukimbia story yangu mwenyewe. Nitaweka Episode ya tisa ikiwezekana leo usiku.

Kumradhi na tuwe tuna sameheana bure. Kuna muda majukumu yanakuwa mengi hata simu huwezi shika. Kwa mfano ndani ya wiki moha oliyopita leo ndio kwa mara ya kwanza nalogin JF.

Anyaways, tukutane leo usiku...
 
Oligarch, wewe ndio sawa na mfano wa hadithi chura tuliyokuwa tunaambiwa utotoni... kabla maelezo hayajamaliza kutokewa anadakia. Mwishowe kaingia kwenye karai la mafuta ya moto ako na mapere mpaka leo.

Naamini unaongelea Abramovich kuwa Governor wa Chukokta.
Ndio kwanza tuko sehemu ya nane, ngoma bado mbichi kabisa. Nitaongelea huko mbeleni.
Nikukumbushe tu kipindi anaipata Sibneft hakuwa na cheo chochote kisiasa.

Huu mtori Oligarch... nyama ziko chini. Relax..
 
Unataka nikupe info alafu nikwambie ukaitafute huko internet kama utaipata.??

Sema suuuuu nikuoe moja tu ya mfano. Nijibu tu nikuonyeshe mfano.

(Ila tukubaliane, nikikupa hiyo info na ukashindwa kuipata huko kwenye internent, tukubaliane kwamba ukishindwa kuipata kuanzia sasa utakuwa ukiniamkia kila tunapoonana kwenye nyuzi)
 
Oligarch, mbona una papara kama waoga barazani... teh



Makala ndio kwanza iko sehemu ya nane. Relax.
Okay, tatizo hakuna sehemu imeonyesha kwamba Mr. A alitumia Risasi au kumwaga damu ili kufikia ukwasi aliokuwa nao kama kichwa cha habari kilivyelenga kuelezea.

Kwa hiyo story haijakamilika.
 
Oligarch, you are very intelligent... kudos
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…