Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Asante
 
Uwiii sasa ulikichokiandika ni nini sasa, pumba mwanzo mwisho mzee jitathin kwanza, mwenzio kaja na uzi mzuri wewe hata wakutudanganyia huna unakosoa nn Sasa wakati mwenzio anazungumzia enzi za miaka ya 90 Rushia, utaolewa mapema
 
ashidodi, post: 33091663, member: 385259"]
Uwiii sasa ulikichokiandika ni nini sasa, pumba mwanzo mwisho mzee jitathin kwanza, mwenzio kaja na uzi mzuri wewe hata wakutudanganyia huna unakosoa nn Sasa wakati mwenzio anazungumzia enzi za miaka ya 90 Rushia, utaolewa mapema
[/QUOTE]


Yaani huelewi kabisa. Wewe endelea tu.
 


Yaani huelewi kabisa. Wewe endelea tu.[/QUOTE]Watu wajinga wajinga kama nyie muwe mnakaa kimya, sasa huu uzi au mleta uzi anakuhusu nini? Ungesoma ukapita kuleeeeeeeee siyo kuja na maneno kanga humu, Kama unaakili lete uzi, manna
 
the bold niekuwa nakusoma tu ila sijawahi kuchangia kiukweli una kipaji sana ya uandishi na usomaji wa mambo mengi tofauti tofauti umesoma fani gani mkuu nakuona kama multigenius. Sio wa kchezo mchezo ukiamua kufuatilia jambo. nimekuwa na wewe kwa mara ya kwanza kwenye kisa cha malaysian airways, septemba eleven, ujasusi sebuleni kwetu na hii hapa ya abramovich unatakiwa kupewa kazi na idara yetu nyeti ya taifa kama bado.

Heko sana kwa umri wako mdogo unafanya mambo kama ya abramovich nimeipenda jinsi unavyojua kufuatilia wakati mwingine mpaka nashtuka sana kwa jinsi ulivyo informed.
 


Yaani huelewi kabisa. Wewe endelea tu.[/QUOTE]Pole kwakuwa Mpumbavu na Mjinga na ajabu zaidi unatetea ujinga na upumbavu wako..
 
ashidodi, post: 33091923, member: 385259"]
Yaani huelewi kabisa. Wewe endelea tu.[/QUOTE]Watu wajinga wajinga kama nyie muwe mnakaa kimya, sasa huu uzi au mleta uzi anakuhusu nini? Ungesoma ukapita kuleeeeeeeee siyo kuja na maneno kanga humu, Kama unaakili lete uzi, manna
[/QUOTE]


Ulivyo panic sasa kama umeshikwa na majibu kwenye chumba cha mtihani.

Teeeeh teeeeh teeeeh , relax guy then read my comments between the lines you will understand my ability to analyse details.
Just go back and re-read my comment no. 1022 , I believe you will get something tangible to feed your empty skull then enhance your brain.
 
Waliosoma comment yangu namba 1022, wengi wamepanic sana. Tatizo mlioisoma hiyo comment hamna uelewa hebu rudieni kuisoma mtaelewa.

Poise, huwa sitaki kudanganywa au kusoma jambo lililopotoshwa kwa makusudi huku naelewa ukweli eti nikubali tu kwa sababu mleta mada ameandika au ameleta mada nyingi siyo usomi huo.

Pia, hii Tasnia aliyoizungumzia kuwa ana taarifa zote za intelijensia za afrika ya mashariki nimeonyesha asivyokuwa na taarifa sahihi au za kweli.

Sasa kinachowasababisha ku-panic hivyo ni kipi kama siyo kuwa nanyi ni walewale wadanganyika?

Mliopanic someni mtapata maarifa na kuelewa mambo kwa usahihi na siyo kusoma kama kuku waliokatwa vichwa.
 
Umewahi kusom makala ya the bold, ya the richest man in africa.? Ndyo utajua kwann watu wameishangaa comment yako kuwa hana taarfa sahihi kuhus east afric...
 
Umewahi kusom makala ya the bold, ya the richest man in africa.? Ndyo utajua kwann watu wameishangaa comment yako kuwa hana taarfa sahihi kuhus east afric...

msafwa,

Elewa kuwa Poise, nikisoma post na kuona kuwa imechanganywa ukweli na uongo kidogo basi huwa naangalia logic ya kuwekwa uongo/misleading information as a salient feature which might distort the whole content.

Such style of writing intends to mislead readers or to attract unnecessary attention which is plagiarism and unacceptable too.
 
Poise wewe ni mpiga kelele tu humu na tutakuvumilia kwani haitatuzuia kuendelea kupata uhondo toka kwa The Bold. Nina hamu sana na Episode 13! Naisubiria!
 
Poise in academic grounds you don't just make noise; you falsify what has been stated by giving what you assume to be correct argument by giving data. What you've written is mere words not supported by facts.

The Bold has presented names, dates and events. He has shown connectivity and the like. What have you given? Lamentation, blah, blah, blah! and other rubbish. If you really know "Wild, Wild Africa" give us names, give us dates, give us events, give us location just like The Bold does. If you cannot, you will be very stupid and I'll not argue with you anymore!
 
Huyu jamaa kwa umri wake angelikuwa mwanafunzi wangu wa "Writing". Lakini, sasa hivi ni ndio najifunza kutoka kwake.
 

When you are fed by your relatives and friends you won't realize their faults its the same to you.
Any way, its not your problem but your core skull.
 
Mimi nimekuelewa.
The bold ni mwandishi mzuri lakini concern yako pia muhimu hasa bandiko lako la kwanza. Ila vumilia tu, wabongo wengi tukipenda tunapenda haswaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…