Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

platozoom, post: 33104613, member: 67909"]
Mimi nimekuelewa.
The bold ni mwandishi mzuri lakini concern yako pia muhimu hasa bandiko lako la kwanza. Ila vumilia tu, wabongo wengi tukipenda tunapenda haswaa
[/QUOTE]

Mkuu, asante kuona tatizo lilipo.

Namie pia, nilimpongeza, The bold, kwa kazi nzuri ila tatizo lipo kwenye vyanzo anavyovitumia kutoka kwenye vyombo vya kiintelijensia sababu taarifa zake ni za uongo ambapo watu wengi hawaoni hilo.
Ila anaaminisha watu kuwa anazo taarifa sahihi za Intelijensia yote ya Afrika ya Mashariki haaaa haaaaa haaaa wacha tu nijichekee.

Tutafika tu hatakama tukiwa tumechoka kukumbushia kuwa makini na taarifa tunazozisoma/kusikia hata kuona.

Most of us, we don't know this simple and clear principle - Whatever you see nothing seems to be what you see" by Poise, October, 2019 - Jamiiforums.
 
platozoom, post: 33104613, member: 67909"]
Mimi nimekuelewa.
The bold ni mwandishi mzuri lakini concern yako pia muhimu hasa bandiko lako la kwanza. Ila vumilia tu, wabongo wengi tukipenda tunapenda haswaa

Mkuu, asante kuona tatizo lilipo.

Namie pia, nilimpongeza, The bold, kwa kazi nzuri ila tatizo lipo kwenye vyanzo anavyovitumia kutoka kwenye vyombo vya kiintelijensia sababu taarifa zake ni za uongo ambapo watu wengi hawaoni hilo.
Ila anaaminisha watu kuwa anazo taarifa sahihi za Intelijensia yote ya Afrika ya Mashariki haaaa haaaaa haaaa wacha tu nijichekee.

Tutafika tu hatakama tukiwa tumechoka kukumbushia kuwa makini na taarifa tunazozisoma/kusikia hata kuona.

Most of us, we don't know this simple and clear principle - Whatever you see nothing seems to be what you see" by Poise, October, 2019 - Jamiiforums.[/QUOTE]Kwahyo mkuu, shida yako kubwa ni nini.???

Tuache kusoma makala za The bold.????

Andika yako basi, .!!!

Silly..
 
sweettablet,
Huo ni utumwa wa kuandikiwa na kuletewa machapisho ndiyo matokeo yake, unaona kila kitu kipo sahihi.
Simply, you have nothing in your brain no way you can see fake news, false information and such like.

Poise, huwa nasoma threads ila iliyo na uongo naipinga apo hapo.
Kinachonishangaza zaid wewe muelewa wa mambo ndo kwanza hata kuleta uzi uliosahihi huwezi, Kama unayajua mambo leta uzi faras mweupe ww, you know nothing my dear empty headed.
 
Habibu B. Anga,
Kwa akili ya haraka haraka tu suala kama hili haliwezekani likafanyika kwenye nchi za magharibi au hata hapa Afrika leo hii. Lakini hivyo ndivyo mambo yalivyoendeshwa kihuni nchini Rusia miaka ya tisini na mwanzo mwa 2000. Hiyo ndio maana hasa ya 'Wild Wild East.!""

Mwandishi, hapo penye kivuli (bolded paragraph) ''nimepatoa kwenye utunzi wako'' hii inafanyika hata sasa tena kote duniani siyo ulaya, Russia, Asia tena Afrika ndiyo watu wanauana kila sekunde kama kuku.

Nafanya, forensic investigation katika financial institutions na crime scenes wengi wao ni mambo hayo yanaendelea tena dunia nzima labda nikusaidie tu kuwa matukio hayo bado yanatokea lakini yamepungua.

Kama unajinadi kuwa una vyanzo vya intelijensia hapo Tanzania na Afrika ya mashariki usingeweza kushindwa kuelewa kuwa mambo hayo yapo kila sekunde.
Kajielimishe tena kuhusu mauaji ya hapo Tanzania na Afrika Mashariki hata Afrika nzima.

Mfano hapo Tanzania ; unaelewa ni kwa nini wahindi wanaishi maisha wanayoishi ?
Mfano, hapo hapo Tanzania, unadhani kuwa distributor /wholesaler wa bidhaa fulani fulani hivi ambazo baadhi ya watu wanajiona kuwa ni haki yao ; unadhania ni watu wangapi wamekufa? Mfano SODA, Vituo vya Mafuta, kumiliki hotels (humu JF tu kuna uzi wa mmiliki mmoja wa hotel hapo Jiji la Makonda alipigwa risasi kisa umiliki wa eneo na hotel, wanajukwaa ndiyo wameandika humu JF ) n.k.
Je, unajua ni watu wangapi wamekufa kwa sababu ya kutaka kuuza bidhaa hizo hapo tu Tanzania?.

Twende Kenya , kwao ni biashara na siasa wanauana kila wakati; mfano miaka 2 tu iliyopita Kenya walimzingira kigogo (biashara na siasa chanzo cha kifo chake) wakamtoa roho yake mbele ya familia yake (mke na watoto wakishuhudia).

Rwanda ndiyo usiseme kwa jinsi palivyochafuka. (Rwanda mwezi hauishi), sasa Uganda nako hali tete.
Afrika ya Kusini, Nigeria, kote tunaelewa.

Nchi za Magharibi hasa huko USA, wanamuziki wanauana kama kuku kwa risasi, sumu, ajali za barabarani za kutengenezwa.

Hivyo, ukiandika kuwa Ulaya, USA hata Afrika hakuna hayo sijui unazungumzia dunia nyingine yenye majina haya au ni hii tuijuayo wote?

Kama nawe u mtu wa intelijensia huko uliko yaani utakuwa ni mzigo kwa hiyo taasisi.

Boy, you got wrong information from your secret service compatriots.
Mfano hapo Tanzania ; unaelewa ni kwa nini wahindi wanaishi maisha wanayoishi ?
Mkuu hapa unaweza kufanunua?umenigusa sana wale jamaa mi huwa siwaelewelew
 
ashidodi, post: 33091663, member: 385259"]
Uwiii sasa ulikichokiandika ni nini sasa, pumba mwanzo mwisho mzee jitathin kwanza, mwenzio kaja na uzi mzuri wewe hata wakutudanganyia huna unakosoa nn Sasa wakati mwenzio anazungumzia enzi za miaka ya 90 Rushia, utaolewa mapema


Yaani huelewi kabisa. Wewe endelea tu.[/QUOTE]Watoto hawawezi kukuelewa.
 
Mfano hapo Tanzania ; unaelewa ni kwa nini wahindi wanaishi maisha wanayoishi ?
Mkuu hapa unaweza kufanunua?umenigusa sana wale jamaa mi huwa siwaelewelew

Mkuu nitaharatisha mambo nikifafanua maisha ya watu. Elewa tu kuwa dunia hii ya sasa yaliyotendaka Russia hata leo hivi yapo tena ni kwa dunia nzima.
 
dumbi, post: 33113210, member: 472600"]
Yaani huelewi kabisa. Wewe endelea tu.[/QUOTE]Watoto hawawezi kukuelewa.
[/QUOTE]
Mkuu, ni kweli. Watoto wanasoma bila kitu vichwani mwao hivyo hapa JF ndipo wanapopata cha kuweka kwenye vichwa vyao sasa lazima wapokee kila kitu kwa maana hawana kitu vichwani.
Ni tatizo sana kwa nchi yetu, "most of the population are not well informed or not at all' Bad indeed sometimes they are fed wrong information or misleading.
 
platozoom, post: 33104613, member: 67909"]
Mimi nimekuelewa.
The bold ni mwandishi mzuri lakini concern yako pia muhimu hasa bandiko lako la kwanza. Ila vumilia tu, wabongo wengi tukipenda tunapenda haswaa

Mkuu, asante kuona tatizo lilipo.

Namie pia, nilimpongeza, The bold, kwa kazi nzuri ila tatizo lipo kwenye vyanzo anavyovitumia kutoka kwenye vyombo vya kiintelijensia sababu taarifa zake ni za uongo ambapo watu wengi hawaoni hilo.
Ila anaaminisha watu kuwa anazo taarifa sahihi za Intelijensia yote ya Afrika ya Mashariki haaaa haaaaa haaaa wacha tu nijichekee.

Tutafika tu hatakama tukiwa tumechoka kukumbushia kuwa makini na taarifa tunazozisoma/kusikia hata kuona.

Most of us, we don't know this simple and clear principle - Whatever you see nothing seems to be what you see" by Poise, October, 2019 - Jamiiforums.
[/QUOTE]
Nilishalisema hili, watu wakanijia juu. Jamaa naona anajiinua kwa wapumbavu wasioweza kudigest kila kitu wanachopewa.

Huyu bwana mdogo anajikuta ni afisa usalama ila hakuna analolijua, watu wanaoelewa mambo wanapita bila kusema.
 
sweettablet,
Huo ni utumwa wa kuandikiwa na kuletewa machapisho ndiyo matokeo yake, unaona kila kitu kipo sahihi.
Simply, you have nothing in your brain no way you can see fake news, false information and such like.

Poise, huwa nasoma threads ila iliyo na uongo naipinga apo hapo.
We nawe tutolee upumbavu wako hapa.
 
Mliopanic someni mtapata maarifa na kuelewa mambo kwa usahihi na siyo kusoma kama kuku waliokatwa vichwa.
[/QUOTE]
Msomi mwenzangu, naamini research inapingwa na research, uongo unapingwa na ukweli kama kweli unazungumzia usomi na sio majungu.. Kwahiyo utaheshimika kama utatuletea kilicho cha kweli kwa jinsi unavyofahamu tukisome nasi tufuatatlie na kulinganisha. Lakini pia upate muda utueleze hicho unachokijua wewe kuwa ni cha kweli ndipo sasa wasomaji wengine tutachuja na kuona kipi ni cha kweli.. Sio kuleta upingamizi tu bila kuleta ushahidi kwa kina.. Mpaka sasa wewe ni mpika majungu tu na unachemkwa na roho mbaya na wivu juu, ndio tafsiri tunayoiona kwako wasomi wenzako.. Na usipoleta hicho cha kwako unachokliita cha kweli, tafadhali ukae kimya utuache wajinga tusiopenda kujisomea kama wewe mjanja tuendeleee kudanganywa..
 
Yesu alikosolewa,sshangai kuona habibu anakosolewa na tusishangae kuona anakosolewa..wakosoaji wapo tu snce day one...ni kuwapuuza tu...ttzo watz wengi ni much kno sana..wew km una ukwel wako ambao unaona unafaa kuletwa hapa ulete sio unaongea ongea km barmaid ameona mwekundu...
 
Mkuu, asante kuona tatizo lilipo.

Namie pia, nilimpongeza, The bold, kwa kazi nzuri ila tatizo lipo kwenye vyanzo anavyovitumia kutoka kwenye vyombo vya kiintelijensia sababu taarifa zake ni za uongo ambapo watu wengi hawaoni hilo.
Ila anaaminisha watu kuwa anazo taarifa sahihi za Intelijensia yote ya Afrika ya Mashariki haaaa haaaaa haaaa wacha tu nijichekee.

Tutafika tu hatakama tukiwa tumechoka kukumbushia kuwa makini na taarifa tunazozisoma/kusikia hata kuona.

Most of us, we don't know this simple and clear principle - Whatever you see nothing seems to be what you see" by Poise, October, 2019 - Jamiiforums.
Nilishalisema hili, watu wakanijia juu. Jamaa naona anajiinua kwa wapumbavu wasioweza kudigest kila kitu wanachopewa.

Huyu bwana mdogo anajikuta ni afisa usalama ila hakuna analolijua, watu wanaoelewa mambo wanapita bila kusema.[/QUOTE]Huyu bwana mdogo anajikuta ni afisa usalama ila hakuna analolijua, watu wanaoelewa mambo wanapita bila kusema.

Ww ni mjinga huandiki unachokijua kazi kukosoa.
 
Poise nenda kaandike hata nyimbo za singeli zitakulipa kuliko kuja kufatilia facts za mwenzako, sisi ambao hatuwezi ku-digest tuache, Kama kweli wew ni gwiji njoo na uzi tofaut na hapo ntaendelea kukuona bonge la boga ambalo halina mbegu( empty headed)
 
sirmweli
sirmweli
sirmweli

Hizi sijui ni bange.?? Au ni akili za kawaida.!!!!

Mtu kaleta makala yake, tunaosoma mnatuita wapumbavu, sasa nyie waelevu tuleteeni zenu ili tuache za The bold hamtaki.. kazi kupiga majungu kama m#0o imewanasa m#u*D&nI..

Ndugu ,sisi ni wapumbavu tumekubali, sasa tufanye tunamlaumu the bold kwa kutufanya wapumbavu, basi tunakuomba wewe ututoe kwenye upumbavu tuletee makala kama hizi.!! Huwezi.!!!!

Kuna matakataka mnatia hasira jamani, khaaa...
 
sirmweli
sirmweli
sirmweli

Hizi sijui ni bange.?? Au ni akili za kawaida.!!!!

Mtu kaleta makala yake, tunaosoma mnatuita wapumbavu, sasa nyie waelevu tuleteeni zenu ili tuache za The bold hamtaki.. kazi kupiga majungu kama m#0o imewanasa m#u*D&nI..

Ndugu ,sisi ni wapumbavu tumekubali, sasa tufanye tunamlaumu the bold kwa kutufanya wapumbavu, basi tunakuomba wewe ututoe kwenye upumbavu tuletee makala kama hizi.!! Huwezi.!!!!

Kuna matakataka mnatia hasira jamani, khaaa...
Wana wivu!
 
Back
Top Bottom