Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Sawa mkuu nakuwekea link... au ingia kwenye profile yangu scroll down utauina
Shukran sana mkuu, ngoja nilale nikiwa na tafakuri kibao..siku moja kuja kuwa Oligarch.

Mkuu The bold ukiweza naomba unipatie link ya ule uzi wa Malesian Airline MH...iliyopotea.
 
Bila shaka mkuu, napokea ushauri wako na nakuahidi kuufanyia kazi.
Shukrani sana mkuu.
Karibu sana Mkuu Habibu B. Anga a.k.a The Bold.
Tulizikosa kwa kipindi makala zako murua na zilizoshiba, hali iliyopelekea nijikite youtube kutafuta makala za kujifunzia, ndipo ghafla nikakutana na channel yako.
Naomba kutoa maoni yangu kiasi, ijapokuwa siku hizi kwa Tanzania ukitoa maoni unaitwa "Hater".
Katika channel yako ningekuomba ubadilishe msimulizi na asiwe Abdalla Ambua a.k.a Dullah Planet na umuweke msimulizi mzuri zaidi ama kama atabaki huyohuyo basi arekebishe usomaji wake na apunguze mbwembwe nyingi.
Nb: Ni maoni yangu na muono wangu tu.
 
Vitabu tusubiri kidogo... kuna jambo lilitokea huwezi amini.
Kuna content kuhusu masuala ya hapa nchini niliiweka humo. "Wenye nchi" yao wakapiga pini wanataka niondoe hiyo content ndio niuze kitabu. Nikajaribu kutumia watu wa juu yao... bado niko napambana maana nataka kitabu kiwe cha tofauti sana kilete mapinduzi flani ya uandishi wa kichunguzi. Tumuombe Mungu... kitatoka.
Vitabu vyako vinapatikana wapi?
 
Back
Top Bottom