Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
- Thread starter
- #121
Hahahah poa mkuu..
Mpe hi sana ontario
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpe hi sana ontario
Mkuu fanya mazuri, kesho mchana ilikua jana
Unitag ikiileta
Mzee baba lete mambo
Katususa humu mzeeHahahah poa mkuu..
Channel yako ya YouTube naweza kuipataje/kuingiaje mkuu ili nipate simulizi zako zaidi.
Naona umerudi mkuu baada ya forex kushindikana
Katususa humu mzee
Kwa hiyo haukua na id yeyote kwa mwaka mzima
Ndio ivo mkuu forex imenishinda, nimeuza ki-IST changu, kitanda changu cha 5x4, godoro, mashuka, ki-tecno changu, sabufa... yani hapa nimebakia na soksi tu hata bukta sina...
Hiyo comment imekaaje mkuu? Naamini nimekusaidia hapo kujazia nyama au vipi... Haya sasa tujadilia mada iliyoko jukwaani...
Naona umerudi mkuu baada ya forex kushindikana
Vitabu tusubiri kidogo... kuna jambo lilitokea huwezi amini.
Kuna content kuhusu masuala ya hapa nchini niliiweka humo. "Wenye nchi" yao wakapiga pini wanataka niondoe hiyo content ndio niuze kitabu. Nikajaribu kutumia watu wa juu yao... bado niko napambana maana nataka kitabu kiwe cha tofauti sana kilete mapinduzi flani ya uandishi wa kichunguzi. Tumuombe Mungu... kitatoka.
OK ahsante mkuu,sikuwa serious kivile ila basi awamu hii usituache mkuu njiani kama kwenye story ya the richest man in africaNdio ivo mkuu forex imenishinda, nimeuza ki-IST changu, kitanda changu cha 5x4, godoro, mashuka, ki-tecno changu, sabufa... yani hapa nimebakia na soksi tu hata bukta sina...
Hiyo comment imekaaje mkuu? Naamini nimekusaidia hapo kujazia nyama au vipi... Haya sasa tujadilia mada iliyoko jukwaani...
Basi sawa mkuu na mi naanda makalaHapana mkuu sina ID nyingine zaidi ya hii... nilipumzika kweli kwa mwaka mzima, I needed it