nyanimzungu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 1,204
- 934
We kijana hujui maana ya ushindi.roman reing alimchapa hiyo mechi na akamshinda undertaker hivyo ni bora kuliko hata hao kina landy orton ambaye alichapwa mpaka akfloat na dingi yake pia akafuatwa akachapwa.na ni bora kuliko wengine ambao hawajawahi kumchapa undertakerUnaposema aliweza kumchampa Undertaker mpaka akafloat sio sahihi. Watu wawili tu ndo waliweza kumchapa deadman mpka akashindwa kutembea mwenyewe.
Wakwanza ni Triple H pambano lao la kwanza Wrestlemania alimpiga mpka pambano lilipoisha Undertaker akaja kubebwa na Machela alishindwa kutembea mwenyewe though pambano Undertaker alishinda.
Wapili Ni The Beast Incarnate Bbbrooooooock Lesnar, huyu ndo mwanaume pekee katika Wrestling aliyempiga Undertaker na kumshinda katika Wrestlemania. Hata pambano lilipoisha alipotoka tu kwenye Ring akaangua na akashindwa kutembea kabisa ikabidi wamuwahishe Hospitali.
Sasa unaposema Reigns Ni bora kushinda hao nakuwa sikuelewi kabisa. Hata kwenye pambano lao mechi ilipoisha mwanaume Undertaker akatoka bira jeraha lolote na hakuwa na haja ya kupelekwa hospitali kama alivyofanywa na hao wengine, plus Reigns kila anapoingia kwenye uwanja anazomewa sana kwa sababu anabebwa sana na WWE kuna watu wanakipaji kushinda yeye pale sema kwa sababu ana sura ya Marketing ndo maana anapewa Push kubwa.
Kiufupi ni kwamba katika wresstlering ukiweza kumchapa the undertaker wengine wote hawakusumbui maana yule ndo alikua mbabe kuliko wote ktk zama hizi
Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app