So kwa akili zako Finyu Reign ndo anaeogopeka pale wweHere comes another mistake of you! Sijaandika hapo kuwa ni mtu wa kawaida, nimesema sio mtu anayeogopeka!
Suala la ushabiki halikosekani kwa mtu yeyote, ndo maana hata wewe unasimama kidete kumtetea hapa. Unadhani unafanya nini kama sio ushabiki?
Get to your senses pal! So far me sina mtu permanent ninayemshabikia, mfano kwenye match yake ya mwisho na Joe nilikuwa upande wa Brock.
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Naomba urekebishe kauli, me huwa sijadili mijadala yenye matusi!So kwa akili zako Finyu Reign ndo anaeogopeka pale wwe
Na ukifuatilia maelezo ya wale commentators wakat roman anapigana, huchelewi kuskia wanasema "A MAN WHO DEFEATED THE DEAD MAN"
Biff la undertaker na roman lilianza mwaka jana roman alimtoa nje ya ulingo kwenye wrestlemania na akashinda akawa bingwa, taker alikasirika wakaanza kutaftana wakapangiwa pambano kwenye Royal rumble ambayo roman alishinda! Lakini kabla ya hapo, wrestlemania ya mwaka huu roman alimtoa tena taker ulingoni!
Kwa wachezaji wa sa hizi, brawn strawman ndo mpinzani halali wa Roman
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Unaposema rekebisha kauli na ww naomba urekebishe hyo hapo. Maana Interpretation ya hayo maneno nikama umeniambia am not Ok.Here comes another mistake of you! Sijaandika hapo kuwa ni mtu wa kawaida, nimesema sio mtu anayeogopeka!
Suala la ushabiki halikosekani kwa mtu yeyote, ndo maana hata wewe unasimama kidete kumtetea hapa. Unadhani unafanya nini kama sio ushabiki?
Get to your senses pal! So far me sina mtu permanent ninayemshabikia, mfano kwenye match yake ya mwisho na Joe nilikuwa upande wa Brock.
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
lesnar mYani unasema Brock Wa kawaida 😀 unachekesha sana, Mtu ambaye alienda UFC akachukua Ubingwa wa dunia kule unasema wa kawaida, Mtu aliyemvunja mkono CEO wa wwe na Shawn Michaels unasema wa kawaida, Mtu aliyempa John Cena almost 12 German Suplex unasema wa kawaida we dogo bana
mimi brock sitakaa nimpende never[emoji22]Here comes another mistake of you! Sijaandika hapo kuwa ni mtu wa kawaida, nimesema sio mtu anayeogopeka!
Suala la ushabiki halikosekani kwa mtu yeyote, ndo maana hata wewe unasimama kidete kumtetea hapa. Unadhani unafanya nini kama sio ushabiki?
Get to your senses pal! So far me sina mtu permanent ninayemshabikia, mfano kwenye match yake ya mwisho na Joe nilikuwa upande wa Brock.
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Uneongea Fact hao uliowataja ni kweli kabisa bila ushabikiActually roman is among the best wrestlers.. He is the fighting champion.. Ushindi wake Hakuna cheating yyt... Akiamua game kushinda anashinda.. Kwenye wwe saiv ambaye anamsumbua roman sn lbd Brock lesnar, Samoa joe ,Braun strowman
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Mimi huyo sio chaguo langu la kwanza, sema siku wamekutana na Joe nililaszimika kumpenda maana Joe aliniudhi
ndio adui wa adui yako sometimes ni rafikiMimi huyo sio chaguo langu la kwanza, sema siku wamekutana na Joe nililaszimika kumpenda maana Joe aliniudhi
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Ha ha haaaaandio adui wa adui yako sometimes ni rafiki
Hili jamaa nalo baada ya kuachana na yule mchawi limepata akiliHii mechi ilikuwa kali balaa , haitakaa isahaulike, ichek hapa chini
Station namba ngapi hyo etv bossetv africa ya sauz ipo kwenye king'amuzi cha azam channel [HASHTAG]#205[/HASHTAG] kwa malipo ya tsh 23,000 wanaonyesha jumapili sa nane mchana na sa 12 kamili jioni..hawa wapo current kidogo sometime baadhi ya game wanakuaga live.
[HASHTAG]#205[/HASHTAG]