Romantic guy

Babu Asprin mbona sielewi kinachoendelea hapa?Nilikuita kukupa taarifa ili baadaye unisindikize kutoa mahari lakini ninayoyaona humu naona kama sio!Bibi kaenda wapi kwani?
 
Last edited by a moderator:
Heee bro kiwatengu kuna mtu kahack acount yako?Siamini kama ni wewe unajua?Ndugu yako nimepeleka barua ya maombi kwa Bantu lady unajua!

Yaani uwe makini tu kuna mtu anaitwa Daudi1 anakuja kasi huyo sijui kama utamuweza. Zaidi anasaidiwa na kiwatengu na chocs so kazi ni kwako. Morning.
 
Last edited by a moderator:
Yaani uwe makini tu kuna mtu anaitwa Daudi1 anakuja kasi huyo sijui kama utamuweza. Zaidi anasaidiwa na kiwatengu na chocs so kazi ni kwako. Morning.

Morning Bantu lady,,lakini wewe ndiye wa kutuweka wazi.Kwani ni post ya nani kati yetu ukiiona tu,unasikia moyo unadundadunda kama kitenesi?Sema ukweli hapa Bantu lady
 
Last edited by a moderator:
Yaani uwe makini tu kuna mtu anaitwa Daudi1 anakuja kasi huyo sijui kama utamuweza. Zaidi anasaidiwa na kiwatengu na chocs so kazi ni kwako. Morning.

Hadi hapa najivunia ushindi,yaani baada ya uchambuzi yakinifu na upembuzi wa kina tumebaki wawili tu?Nakushukuru sana Bantu lady kwa kuniona nafaa hadi kuwa kwenye 2 bora.Nipatie hiyo namba 1,nizibe huo upweke moyoni na maishani mwako!
 
Last edited by a moderator:
hivi romantic guy ndo yukoje.....?ANAE LETA KADI NA MAUWAA,ANAE OMBA MSAMAA HATA KAMA KAKOSEWA YEYE....IN THAT CASE am rude bwaiii.....hutuitaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…